Leo sijaenda kazini na sijatoa taarifa, nimechoka

Leo sijaenda kazini na sijatoa taarifa, nimechoka

Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?

Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini

Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!

Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!

And how long are we supposed to do this for?

Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Binafsi napenda tu kuwa bize bize maisha yangu yote,so automatically najikuta tu napenda kufanya fanya kazi muda wote. Ni kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 2 usiku nakua kazini.
 
kaka maisha n magum sana kitu nakuambia kwenye ukoo wenu mzma hakuna ndugu wa kukupa hata laki na nusu kwa mwez ndan ya miez 6 ukiipoteza iyo kaz.. Tuko hapa tunakusubr uje ulete mrejesho
 
Hata hayo mambo yako unayofanya ni ajira, maana yake una ajira binafsi.

Nadhani utumwa unaoongelea wewe ni wa ajira ya kuajiriwa sio kujiajiri.
Mimi niliacha kazi nikawa nafanya mambo yangu kwa muda wangu. Ajira ni zaidi ya utumwa
 
Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?

Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini

Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!

Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!

And how long are we supposed to do this for?

Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Kwani nini usingechukua muda wa tafakari siku isiyo ya kazi? Haya baada ya kutafakari, umeamua nini?
 
Hata hayo mambo yako unayofanya ni ajira, maana yake una ajira binafsi.

Nadhani utumwa unaoongelea wewe ni wa ajira ya kuajiriwa sio kujiajiri.
Mkuu ajira inashabihi ujira, yaani malipo kwa kazi iliyopimwa. Shughuli zangu ni zangu,,nikipata sawa, nikikosa hewala
 
Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?

Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini

Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!

Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!

And how long are we supposed to do this for?

Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Inasikitisha sana,mtu kutafuta kazi unatoa jasho, ukipata kazi unaanza kuzingua......ukipewa barua ya onyo unaanza kuona HR Officer anakuonea......
 
kaka maisha n magum sana kitu nakuambia kwenye ukoo wenu mzma hakuna ndugu wa kukupa hata laki na nusu kwa mwez ndan ya miez 6 ukiipoteza iyo kaz.. Tuko hapa tunakusubr uje ulete mrejesho
Una uhakika na hili unalolisema?
 
Kwani nini usingechukua muda wa tafakari siku isiyo ya kazi? Haya baada ya kutafakari, umeamua nini?
Nimeamua kesho naenda Kazini then katika siku zangu 30 za off kwa mwaka naomba likizo ya siku 7 kwanza coz hii siku ya Leo haijanitosha, Yani sijapata majibu ya kile ninachokitaka
 
kaka maisha n magum sana kitu nakuambia kwenye ukoo wenu mzma hakuna ndugu wa kukupa hata laki na nusu kwa mwez ndan ya miez 6 ukiipoteza iyo kaz.. Tuko hapa tunakusubr uje ulete mrejesho
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji1787]
 
[emoji419]Je unajua wajua unaweza kuvisikiliza vitabu vyote maarufu, badala ya kusoma?

[emoji419]Ndio, wasiliana nami ili niweze kukupatia kitabu chochote unachokihitaji ktk format ya audiobook.

[emoji419]Utapata vitabu vyote, mfano;
[emoji736]Think like a monk - Jay Shetty
[emoji736]Can't hurt me - David Goggins
[emoji736]Ikigai - Hector Garcia
[emoji736]The psychology of money - Morgan Housel
[emoji736]Rich Dad Poor Dad - Robert Kiyosaki

[emoji736]Na vingine vingi ..

Faida za vitabu ktk mfumo wa sauti (audiobook);

[emoji3591]UTASIKILIZA VITABU VINGI KWA MUDA MFUPI. Mfano; Kama unasoma kitabu kimoja kwa muda wa mwezi mmoja, kwa speed hiyohiyo utasikiliza zaidi ya vitabu 20 kwa kutumia audiobooks.

[emoji3591]Kiingereza kinachotumika ni rahisi kueleweka, audiobooks pia zitakusaidia KUKINOA KIINGEREZA CHAKO.

[emoji3591]Utapata MAARIFA mapya.

[emoji3591]HAUHITAJI MUDA MAALUM KUSIKILIZA VITABU, unaweza kusikiliza NJIANI ukiwa UNAENDA au KURUDI KAZINI, BARABARANI UKIWA UNAKIMBIA, n.k

[emoji3591]Unaweza KUSIKILIZA UKIWA UNAFANYA SHUGHULI INGINE
.
[emoji3591]Utajifunza jinsi ya KUTAWALA HISIA zako. Mf; HASIRA, UVUMILIVU.

[emoji3591] Utaboresha MAHUSIANO yako.

[emoji3591]Utajifunza jinsi ya KUONGEZA KIPATO chako.

[emoji3591]Utakuwa KIONGOZI bora.

[emoji3591]Utakuwa MZUNGUMZAJI mzuri.

[emoji3591]Utakuwa na FURAHA.

[emoji3591]UTABURUDIKA.

[emoji3591]Njia sahihi ya KUONDOA STRESS.

[emoji3591]Utapunguza muda unaotumia ktk TV na MITANDAO YA KIJAMII.

[emoji3591]UTABORESHA MAISHA YAKO.

[emoji3591]Utapata MAWAZO MAPYA YA BIASHARA.

[emoji3591]Utapata UZOEFU WA WENGINE.

[emoji3591] Na faida nyingine nyingi ..

Audiobook zinapatikana

+255625536510 WhatsApp

Ukihitaji audiobook ya kitabu chochote, nicheck WhatsApp

BEI YA KITABU NI SH. 5000 TU.
Madhara ya audio book ni haya kama kuna sehemu labda umegate point huwezi ukamark mfana kama unasoma kitabu unaweza fika ukurasa fulani ukaweka alama, hiyo haipo
 
Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?

Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini

Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!

Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!

And how long are we supposed to do this for?

Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Muunganishe jirani yako mmoja asiye na ajira apate hiyo nafasi yako
 
Back
Top Bottom