Leo sijaenda kazini na sijatoa taarifa, nimechoka

Leo sijaenda kazini na sijatoa taarifa, nimechoka

Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?

Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini

Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!

Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!

And how long are we supposed to do this for?

Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Daaah mwana kosaa kubwa sana hilo jmosi hutaona utamu wa kupumzika.
 
Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?

Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini

Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!

Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!

And how long are we supposed to do this for?

Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Unamkomoa nani?
 
.
JamiiForums1510998594.jpg
 
Una familia? Au unaishi geto peke yako huku ukijifukiza bangi?
 
Ndugu mshukuru Mungu kwa kuwa na kazi , wengine wanalilia kazi na hawapati, huo uvivu unaoupata basi utakufanya uwe masikini katika maisha yako . Ukemee huyo ni shetani anakutafuta.
 
Production inapunguaje sasa? Akati umesema Kuna watu wengine wapo ready kwa kazi in case haupo si wanakureplace tu
Sio kila sehemu kuna watu, mfano ofisi za serikali mtu kajisikia haendi tu, nani atamreplace? Ile kazi yake ya siku hiyo haitafanyika. Ndio maana unakuta mtu wiki hii anaumwa, wiki ijayo mtoto anaumwa, inayofuata jirani kafa basi wiki ya mshahara ndio ataonekana ofisini
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu hapo nilichomaanisha ni kuheshimu na kuwa na nidhamu ya kazi, na pia hata kama unatumikia basi tufanye kwa malengo na pindi malengo yako yatakapotimia unaweza kuishi maisha ya ndoto zako kinyume na hapo itakubidi kuendelea kupambana pasipo kuchoka ili ufanikishe malengo

Naelewa Mkuu I was kidding [emoji23]
Maisha ni kupambana mpaka siku mwili unagoma kwenda au kufanya kitu
Mbali na hapo ni kufanyishwa au kufanya mwenyewe

Majukumu hayaishi na tumbo halina shukurani yaani kila siku linataka
 
Naanza kuwaelewa wazungu wanavyopenda kuuliza “Do you love your job” hahaha
 
Kiukweli wengine hawajaumbwa kuajiriwa, na wakiajiriwa huwa wanaona wanateseka sana, mtoa mada upo kwenye hilo kundi nakushauri fanya mpango wa kuacha kazi. Mm nipo kwenye hilo kundi, ajira yangu ya kwanza niliteseka sana, mkataba ulipoisha sikuongeza mwingine
 
Brother, hiyo inaitwa routine.. inawezekana ya kwako inakuchosha lakini routine ni muhimu sana kwa afya ya mwili na akili ya binadamu.. ni rahisi mtu asiye na ratiba inayoeleweka kuathirika na msongo wa mawazo hasa anapopata changamoto za maisha
 
Ndugu mshukuru Mungu kwa kuwa na kazi , wengine wanalilia kazi na hawapati, huo uvivu unaoupata basi utakufanya uwe masikini katika maisha yako . Ukemee huyo ni shetani anakutafuta.
Sawa ila acha hao wasio na Kazi wapate Kazi ili waone Kazi kufanya Kazi
 
Sio kila sehemu kuna watu, mfano ofisi za serikali mtu kajisikia haendi tu, nani atamreplace? Ile kazi yake ya siku hiyo haitafanyika. Ndio maana unakuta mtu wiki hii anaumwa, wiki ijayo mtoto anaumwa, inayofuata jirani kafa basi wiki ya mshahara ndio ataonekana ofisini
Hii nayo ni techniques safi sana, lakin ni mbaya kama kazi ni ya kwako
 
Back
Top Bottom