Leo sijaenda kazini na sijatoa taarifa, nimechoka

Leo sijaenda kazini na sijatoa taarifa, nimechoka

Kiukweli wengine hawajaumbwa kuajiriwa, na wakiajiriwa huwa wanaona wanateseka sana, mtoa mada upo kwenye hilo kundi nakushauri fanya mpango wa kuacha kazi. Mm nipo kwenye hilo kundi, ajira yangu ya kwanza niliteseka sana, mkataba ulipoisha sikuongeza mwingine
Wacha na mm nijilipue
 
Mtu kaajiriwa kuamka asubuh anaona uvivu anaona ni utumwa ss biashara yake sijui ndio atakua analala huku inajiendesha yenyewe ama vip
Mtu mvivu huwa na kauli mbaya sehemu wanazo tolea huduma maana muda mwingi anahisi anasumbuliwa kumbe ni wajibu wake

Anapo kuwa amejiajiri ndio huwa na kiburi zaid huku akisahau ukiwa umejiajiri boss wako ni yule anae pata hudruma kwako anahitaji unyenyekee umshauri

Kwa mfano mtu anapo waza kujiari huwa hawezi kujua kwanini anahitaji kujiajri badala yake anajikuta anajutia maamz yake
 
Na waliojiajiri kupita kusave mishahara yao wao waliwezaje? Mtaji hauwezi kutoka katika mshahara?

hakuna biashara inafunguliwa kwa kusave mshahara. biashara zote zenye mizizi mizuri imeanzishwa na joint venture, mmoja ana wazo mwingine ana hela wanaungana
 
Mshara ni mtaji kabisa

Matumizi yako yataamua ni jinsi gani mshahara uwe mtaji

Hapa patategemea malengo yako binafsi

Maamzi yako ndio maisha yako

mshahara sio mtaji, ukiwa na nia kwel ya biashara mshahara sio mtaji, biashara sio sehem ya kukimbia ugumu wa maisha, biashara is very complicated kuliko mnavodhan
 
mshahara sio mtaji, ukiwa na nia kwel ya biashara mshahara sio mtaji, biashara sio sehem ya kukimbia ugumu wa maisha, biashara is very complicated kuliko mnavodhan
Mkuu toa ufafanuzi mtaji ni upi na unapatikanaje?

Kama huwezi kutoa ufafanuzi basi tutakuwa tunabishana na mtu wa kusadikika kwenye ulimwengu wa utambuzi wa mambo husika
 
Back
Top Bottom