Leo sijaenda kazini na sijatoa taarifa, nimechoka

Leo sijaenda kazini na sijatoa taarifa, nimechoka

Naelewa Mkuu I was kidding [emoji23]
Maisha ni kupambana mpaka siku mwili unagoma kwenda au kufanya kitu
Mbali na hapo ni kufanyishwa au kufanya mwenyewe

Majukumu hayaishi na tumbo halina shukurani yaani kila siku linataka
Nimekupata vyema mkuu kazi Iendelee
 
Mkuu kisa chako kimezidi kunifurahisha hii meme nilikutana nayo jana nadhani umeiishi vyema
FB_IMG_1655234996428.jpg
 
Mkuu toa ufafanuzi mtaji ni upi na unapatikanaje?

Kama huwezi kutoa ufafanuzi basi tutakuwa tunabishana na mtu wa kusadikika kwenye ulimwengu wa utambuzi wa mambo husika

mtaji unaweza kua asset yoyote uliyonayo, lakini sio salary! mshahara unaopata ni sehem ya mapato makubwa ya biashara kubwa iliofanyika, ukiwa unafanya kazi maaana yake unapokea sehem ndogo ya faida kubwa iliopatikana!

- Ukiona unasubiria mshahara ufungue biashara basi huna imani na plan nzima ya biashara ulioandaa na unacheza safe, mfano kama biashara yako inataka mil 10 kama mtaji kama ni legit idea unaweza ingia joint venture ama unaweza chukua mkopo, hapa ndo tunasema unafanya biashara! usishangae matajiri kua na madeni ni legitimate ya biashara yao na hata wanaowakopesha wanajua wanamkopesha nani, sasa wewe tayar unasubiria mshahara ufund biashara tayar uko nje ya ecosystem
 
Utuambie pia uliacha kazi ukiwa na hali gani kiuchumi.

Unaposhawishi watu kuacha kazi, pia wape muongozo wa namna ya kusurvive nje ya kazi za kuajiriwa

Kama upo above 35 , hakuna mbadala zaidi ukiacha kazi jitahidi tu upate mshahara mzuri maaana mda mzuri wa kujenga biashara ulikua before 35
 
mtaji unaweza kua asset yoyote uliyonayo, lakini sio salary! mshahara unaopata ni sehem ya mapato makubwa ya biashara kubwa iliofanyika, ukiwa unafanya kazi maaana yake unapokea sehem ndogo ya faida kubwa iliopatikana!

- Ukiona unasubiria mshahara ufungue biashara basi huna imani na plan nzima ya biashara ulioandaa na unacheza safe, mfano kama biashara yako inataka mil 10 kama mtaji kama ni legit idea unaweza ingia joint venture ama unaweza chukua mkopo, hapa ndo tunasema unafanya biashara! usishangae matajiri kua na madeni ni legitimate ya biashara yao na hata wanaowakopesha wanajua wanamkopesha nani, sasa wewe tayar unasubiria mshahara ufund biashara tayar uko nje ya ecosystem
Mkuu bado hoja yako haishawishi

Labda kama unajua uchumi wa makaratasi

Ila uchumi halisi unahitaji uongeze kujifunza zaidi
 
Mkuu bado hoja yako haishawishi

Labda kama unajua uchumi wa makaratasi

Ila uchumi halisi unahitaji uongeze kujifunza zaidi

kama hujaelewa mpaka apo endelea na ajira tu, sahau kufanya biashara! kama utakua na hela hazina kazi jaribu kuwekeza hata dar es sakaam stock exchange MTP (onlinetrading.dse.co.tz/guest/login) maaana we na biashara bado mko mbali sana
 
Pole sana Mkuu, work burnout hio, unafanya kazi sana unaona hu accomplish vitu unavyovitaka , unaweza ukachukua likizo ili ujipe nguvu mpya au kama unaona hio kazi haikusaidii chochote waombe ufanye part time huku ukiangalia other options.
 
Mimi niliacha kazi nikawa nafanya mambo yangu kwa muda wangu. Ajira ni zaidi ya utumwa
ni utumwa wa milele akili haijitumi kufanya yako.

kimbembe kustaafu uje uyazoee mazingira ya mtaani shughuli
 
Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?

Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini

Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!

Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!

And how long are we supposed to do this for?

Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Ongeza siku mbili zaidi usikilizie !!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Nahitaji kitabu kinachoitwa All you need to know about music business, first to fifth edition.
[emoji419]Je unajua wajua unaweza kuvisikiliza vitabu vyote maarufu, badala ya kusoma?

[emoji419]Ndio, wasiliana nami ili niweze kukupatia kitabu chochote unachokihitaji ktk format ya audiobook.

[emoji419]Utapata vitabu vyote, mfano;
[emoji736]Think like a monk - Jay Shetty
[emoji736]Can't hurt me - David Goggins
[emoji736]Ikigai - Hector Garcia
[emoji736]The psychology of money - Morgan Housel
[emoji736]Rich Dad Poor Dad - Robert Kiyosaki

[emoji736]Na vingine vingi ..

Faida za vitabu ktk mfumo wa sauti (audiobook);

[emoji3591]UTASIKILIZA VITABU VINGI KWA MUDA MFUPI. Mfano; Kama unasoma kitabu kimoja kwa muda wa mwezi mmoja, kwa speed hiyohiyo utasikiliza zaidi ya vitabu 20 kwa kutumia audiobooks.

[emoji3591]Kiingereza kinachotumika ni rahisi kueleweka, audiobooks pia zitakusaidia KUKINOA KIINGEREZA CHAKO.

[emoji3591]Utapata MAARIFA mapya.

[emoji3591]HAUHITAJI MUDA MAALUM KUSIKILIZA VITABU, unaweza kusikiliza NJIANI ukiwa UNAENDA au KURUDI KAZINI, BARABARANI UKIWA UNAKIMBIA, n.k

[emoji3591]Unaweza KUSIKILIZA UKIWA UNAFANYA SHUGHULI INGINE
.
[emoji3591]Utajifunza jinsi ya KUTAWALA HISIA zako. Mf; HASIRA, UVUMILIVU.

[emoji3591] Utaboresha MAHUSIANO yako.

[emoji3591]Utajifunza jinsi ya KUONGEZA KIPATO chako.

[emoji3591]Utakuwa KIONGOZI bora.

[emoji3591]Utakuwa MZUNGUMZAJI mzuri.

[emoji3591]Utakuwa na FURAHA.

[emoji3591]UTABURUDIKA.

[emoji3591]Njia sahihi ya KUONDOA STRESS.

[emoji3591]Utapunguza muda unaotumia ktk TV na MITANDAO YA KIJAMII.

[emoji3591]UTABORESHA MAISHA YAKO.

[emoji3591]Utapata MAWAZO MAPYA YA BIASHARA.

[emoji3591]Utapata UZOEFU WA WENGINE.

[emoji3591] Na faida nyingine nyingi ..

Audiobook zinapatikana

+255625536510 WhatsApp

Ukihitaji audiobook ya kitabu chochote, nicheck WhatsApp

BEI YA KITABU NI SH. 5000 TU.
 
mtaji unaweza kua asset yoyote uliyonayo, lakini sio salary! mshahara unaopata ni sehem ya mapato makubwa ya biashara kubwa iliofanyika, ukiwa unafanya kazi maaana yake unapokea sehem ndogo ya faida kubwa iliopatikana!

- Ukiona unasubiria mshahara ufungue biashara basi huna imani na plan nzima ya biashara ulioandaa na unacheza safe, mfano kama biashara yako inataka mil 10 kama mtaji kama ni legit idea unaweza ingia joint venture ama unaweza chukua mkopo, hapa ndo tunasema unafanya biashara! usishangae matajiri kua na madeni ni legitimate ya biashara yao na hata wanaowakopesha wanajua wanamkopesha nani, sasa wewe tayar unasubiria mshahara ufund biashara tayar uko nje ya ecosystem
Usirudie tena kushauri watu wachukue mkopo ili waanzishe Biashara, UNAWAPOTEZA, Mkopo chukua ili uendeleze Biashara kwani utakuwa umefika stage ya kujua Changamoto zake

Lakin mambo ya kuchukua Mkopo halafu ndio uanze Biashara hata kama ni legit idea [emoji777]
 
Kazi za kukaa kwa ofisi zinachosha, deskini kila ukiamka hadi jioni, probably unafanya kitu hicho hicho kila siku, no adventure, no kubuni, no kuchora..tiresome!

Kazi za site hazichoshi kabisa ukimalizana na hii, unatamani inayokuja coz itakuja na challenges zake.
 
Back
Top Bottom