Leo sijaenda kazini na sijatoa taarifa, nimechoka

Leo sijaenda kazini na sijatoa taarifa, nimechoka

Nami nimekuwa nikipitia changamoto kama zako mleta thread!!
Kufanya kazi kwa kuajiliwa ni zaid ya utumwq ila waafrica tumejiwekea mkataba kuwa lazima tuajiliwe ili tuweze kuishi.
Niliacha kazi mwaka jana mwezi wa tisa baada ya kuwa na muendelezo wa matukio kama ya kwako.

Mpaka leo sijawahi kujutia why niliacha kazi.
Lakini uliacha kazi ukiwa ushajipanga... right?
 
Hahahah! Uwiii nimecheka. Ndugu kazi ni maisha iwe ya kuajiriwa au ya kujiajiri. Kujiajiri pia sio rahisi, kama uko ambitious enough kuna siku utafanya kazi hata siku 3 mfululizo usiku na mchana bila kupumzika sababu you are pushing your own na hautaki ukwame. Advantage ya kujiajiri ni kuwa unaweza ukafika stage pesa ikakufanyia kazi na wewe ukastay indoors siku nzima, Changamoto ni kuifikia hiyo stage hiyo!!!!

Yote kwa yote kila mtu lazima afanye kazi.
Naomba kujua kama ww Umeajiriwa au Umejiajiri?
 
Mie job naingia jtatu saa5 asubuh, na ijumaa naondoka sa 3 asbh narudi town iliko familia na michepuko yangu.

Tena nina raha sana, na sijawah fokewa na boss mwaka wa 7 sasa.

Kuna wiki nazikata bila kwenda kimwili lakn mahudhurio yapo.
 
Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?

Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini

Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!

Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!

And how long are we supposed to do this for?

Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha

sjawahi kuajiriwa hua nashangaa nyie mnaoenda kazini kila wiki mnawezaje
 
Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?

Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini

Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!

Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!

And how long are we supposed to do this for?

Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
KAZI NI NGUMU AU INACHOSHA UKIWA NAYO.
 
Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?

Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini

Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!

Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!

And how long are we supposed to do this for?

Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha

Leo ni tarehe 14 - utakuja badilisha Hii kauli karibia na mwisho wa mwezi
 
Mie job naingia jtatu saa5 asubuh, na ijumaa naondoka sa 3 asbh narudi town iliko familia na michepuko yangu.

Tena nina raha sana, na sijawah fokewa na boss mwaka wa 7 sasa.

Kuna wiki nazikata bila kwenda kimwili lakn mahudhurio yapo.
Usipoenda kimwili huwa unaenda kiroho au?....sijaelewa hapa
 
Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?

Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini

Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!

Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!

And how long are we supposed to do this for?

Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Uko sahihi, kuna watu wanalipwa mishahara Kwa kuzomea wenzao Dodoma. Si Bora wewe umelala wala hujafokea Mtu?
 
Chezea Mshahara usichezee Kazi,

Fanya kazi kama mtumwa uje uishi kama mfalme.

Sasa hapo mswahili alikuwaje sijui
Yaani kachezea mshahara weeee kafanya kazi kama mtumwa
Halafu aje aishi kama Mfalme HOW?

Mbona amechezea sasa hela zote?
Ataishi kama Mfalme Really?
Naelewa maana ya hili ila nimechomekea kuwa [emoji23][emoji23]
 
Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?

Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini

Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!

Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!

And how long are we supposed to do this for?

Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Endelea tu kutafakari mkuu,ila jua kuwa wanaotafuta hiyo ajira ni wengi kuliko unavyowaza...
 
Back
Top Bottom