Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Umefikiri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba ufike kazin muda huu kabla sijakuandalia barua ya onyoHivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?
Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini
Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!
Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!
And how long are we supposed to do this for?
Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Nipe elimukama umechoka chukua likizo ya bila ya malipo
Tafadhali naomba kujua jinsia yako.Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?
Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini
Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!
Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!
And how long are we supposed to do this for?
Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
hata mm hiyo situation inanitokeaga sana uwa nalalaga tuuHivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?
Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini
Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!
Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!
And how long are we supposed to do this for?
Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Kufanya kazi ni lazima na ndio itakua hivyo Maisha yote. Hii ni Mungu mwenyewe kaiweka hivyo tena kasisitiza Na Asiyefanya Kazi Na Asile. Kimsingi wewe leo hutakiwi kula kwani hujafanya kazi. Kazi ni Lazima, hapa itatofautiana tu kati ya kazi ya kuajiliwa au kujiajiri. ya kutumia Nguvu zaidi au Akiri zaidi. Lakini Lazima Tufanye Kazi tena kwa Bidii hii ndio hali ya Dunia mpaka Mwisho.Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?
Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini
Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!
Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!
And how long are we supposed to do this for?
Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Asiyefanya kazi, asile! Leo jipe pia wasaa mzuri wa kushinda na njaa, ili uone faida mojawapo ya kufanya hiyo kazi.Hivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?
Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini
Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!
Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!
And how long are we supposed to do this for?
Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Hakuna namna unaweza kuishi kama mfalme kwa kazi za kuajiriwa , unless uwe mwizi, hiyo ni viscous cycle na waliotengeneza huo mfumo ni wajanja haswaChezea Mshahara usichezee Kazi,
fanya kazi kama mtumwa uje uishi kama mfalme.
Hela Kwanza au kitabu Kwanza?[emoji419]Je unajua wajua unaweza kuvisikiliza vitabu vyote maarufu, badala ya kusoma?
[emoji419]Ndio, wasiliana nami ili niweze kukupatia kitabu chochote unachokihitaji ktk format ya audiobook.
[emoji419]Utapata vitabu vyote, mfano;
[emoji736]Think like a monk - Jay Shetty
[emoji736]Can't hurt me - David Goggins
[emoji736]Ikigai - Hector Garcia
[emoji736]The psychology of money - Morgan Housel
[emoji736]Rich Dad Poor Dad - Robert Kiyosaki
[emoji736]Na vingine vingi ..
Faida za vitabu ktk mfumo wa sauti (audiobook);
[emoji3591]UTASIKILIZA VITABU VINGI KWA MUDA MFUPI. Mfano; Kama unasoma kitabu kimoja kwa muda wa mwezi mmoja, kwa speed hiyohiyo utasikiliza zaidi ya vitabu 20 kwa kutumia audiobooks.
[emoji3591]Kiingereza kinachotumika ni rahisi kueleweka, audiobooks pia zitakusaidia KUKINOA KIINGEREZA CHAKO.
[emoji3591]Utapata MAARIFA mapya.
[emoji3591]HAUHITAJI MUDA MAALUM KUSIKILIZA VITABU, unaweza kusikiliza NJIANI ukiwa UNAENDA au KURUDI KAZINI, BARABARANI UKIWA UNAKIMBIA, n.k
[emoji3591]Unaweza KUSIKILIZA UKIWA UNAFANYA SHUGHULI INGINE
.
[emoji3591]Utajifunza jinsi ya KUTAWALA HISIA zako. Mf; HASIRA, UVUMILIVU.
[emoji3591] Utaboresha MAHUSIANO yako.
[emoji3591]Utajifunza jinsi ya KUONGEZA KIPATO chako.
[emoji3591]Utakuwa KIONGOZI bora.
[emoji3591]Utakuwa MZUNGUMZAJI mzuri.
[emoji3591]Utakuwa na FURAHA.
[emoji3591]UTABURUDIKA.
[emoji3591]Njia sahihi ya KUONDOA STRESS.
[emoji3591]Utapunguza muda unaotumia ktk TV na MITANDAO YA KIJAMII.
[emoji3591]UTABORESHA MAISHA YAKO.
[emoji3591]Utapata MAWAZO MAPYA YA BIASHARA.
[emoji3591]Utapata UZOEFU WA WENGINE.
[emoji3591] Na faida nyingine nyingi ..
Audiobook zinapatikana
+255625536510 WhatsApp
Ukihitaji audiobook ya kitabu chochote, nicheck WhatsApp
BEI YA KITABU NI SH. 5000 TU.
Na tunahudhulia job huku tukiwa na nidhamu ya hali ya juu!!Laki 7..
Wengi wanalipwa chini ya laki 3
Government or private sector????Nami nimekuwa nikipitia changamoto kama zako mleta thread!!
Kufanya kazi kwa kuajiliwa ni zaid ya utumwq ila waafrica tumejiwekea mkataba kuwa lazima tuajiliwe ili tuweze kuishi.
Niliacha kazi mwaka jana mwezi wa tisa baada ya kuwa na muendelezo wa matukio kama ya kwako.
Mpaka leo sijawahi kujutia why niliacha kazi.
Watu wanachuo sahau ndio kinacho wakwamishaMfumo mwingine upi zaidi ya kufanya kazi iwe umeajiriwa au umejiajiri
Huduma zote unatumia pesa utaipataje usipofanya kazi