binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Yes sir! Japo si siku zote. Kuna siku ambazo hatuna oda.Bwana wee! kwahiyo wewe kwako hii situation ndio worse kabsa
Yani Kazi[emoji1542]Kazi[emoji1542] Nyumbani [emoji1542]Kazi[emoji1542]Kazi
Mimi niliacha ualimu.....Mambo gani naenda shule toka utotoni mpk uzeeni......aiseee plus kufokewa kuapangiwa ratiba vilinichosha......mshahara Sasa hapo hata sisemi nyie mnajua.......now Mambo yangu sio mazuri ya kusema nirelax but at least Mimi no steling wa maisha yangu and I'm happy where I'mMimi niliacha kazi nikawa nafanya mambo yangu kwa muda wangu. Ajira ni zaidi ya utumwa
Fanya hvyo kila mwez Mara 3 utafurahiHivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?
Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini
Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!
Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!
And how long are we supposed to do this for?
Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Kwahiyo unanishauri nikope nifanye biashara sio?
Duuuh mkuu unaweza kuwa nisehemu ya maafisa mikopo wa benki ila sio Mwana uchumi
Sawa mkuuhahaha unanisingizia mkuu, pesa zangu zote zipo kwa njia ya crypto nlishaacha kutumia benki mkuu
Hii huwa ninaita ni "RAT RACE" haina tofauti na yule panya alewekwa kwenye cage na anakuwa na kadude mithili ya tairi anaingia na kukimbia kinakuwa kinazunguka tu hapo japo bado yupo ndani ya cage. Hilo life ni boring sana na humfanya mtu asiwe exposed hasa kama level yako ndogo, mshahara mdogo yani haufiki walau 1.5m take home na kazi yenyewe Ila all in all ni mtazamo tuHivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?
Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini
Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!
Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!
And how long are we supposed to do this for?
Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Oy kuna mwana hapo juu kasema anapokea laki 3 kwa mwezi, so kusema 1.5 m ni mshahara mdogo utakuwa unamchanganyaHii huwa ninaita ni "RAT RACE" haina tofauti na yule panya alewekwa kwenye cage na anakuwa na kadude mithili ya tairi anaingia na kukimbia kinakuwa kinazunguka tu hapo japo bado yupo ndani ya cage. Hilo life ni boring sana na humfanya mtu asiwe exposed hasa kama level yako ndogo, mshahara mdogo yani haufiki walau 1.5m take home na kazi yenyewe Ila all in all ni mtazamo tu
Ulishauriwa au maamuzi yako mwenyewe????Siatki kukunbuka jins nilivyo acha Kaz kizembe nmb Leo najuta Sana Sina ramani ya maana
Ukiona maisha ni magumu achana nayo fanya vitu vingine
Umeongea kitu cha kweli kabisa, mimi nililigundua hili nilipokua nikifanya field,ilikua ni mateso makubwa sana.Kiukweli wengine hawajaumbwa kuajiriwa, na wakiajiriwa huwa wanaona wanateseka sana, mtoa mada upo kwenye hilo kundi nakushauri fanya mpango wa kuacha kazi. Mm nipo kwenye hilo kundi, ajira yangu ya kwanza niliteseka sana, mkataba ulipoisha sikuongeza mwingine
You're only few steps from recognizing your true purpose, keep seeking answers they are around the cornerHivi nyie wenzangu mko sawa? yani hamjachoka? Unaamka tu na kwenda kufanya kazi na uko sawa? Na uko sawa kujua lazima uendelee kufanya hivyo kila siku?
Yani mzunguko wako wa maisha ni ule ule [emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini[emoji1485]Nyumbani[emoji1485]Kazini
Ukiongezea hapo labda umeenda Bar kwa wale wanywaji, na kazi za wengi ni hand to mouth na makelele ya mabosi. Dah!
Mungu na hekima zake zote hawezi kuwa ametuumba ili tu kwenda kufanya kazi na kufa!
And how long are we supposed to do this for?
Leo mimi sijaenda kazini bhana na sijatoa taarifa, Nimechoka asee. Nahitaji kutafakari kama kuna mfumo mwingine wa maisha
Au sio, upo kidigital zaidi. Hivi hyo mifumo Iko collapse huko itakuaje? Mtamshtaki nani?
Hahahah! Uwiii nimecheka. Ndugu kazi ni maisha iwe ya kuajiriwa au ya kujiajiri. Kujiajiri pia sio rahisi, kama uko ambitious enough kuna siku utafanya kazi hata siku 3 mfululizo usiku na mchana bila kupumzika sababu you are pushing your own na hautaki ukwame. Advantage ya kujiajiri ni kuwa unaweza ukafika stage pesa ikakufanyia kazi na wewe ukastay indoors siku nzima, Changamoto ni kuifikia hiyo stage hiyo!!!!
Yote kwa yote kila mtu lazima afany
Asante kwa coment yako imenikumbusha wema wa Mungu kwangu.Namshukuru Mungu niko levels za kukaa indoors for as long as I desire.Hata hivyo huwa inatokea pia nafanya kazi hata nikiwa ninaumwa,kuna wakati hata muda wa kulala usiku sipati.Na wakati ninaanza kuna wakati nilikua nawaonea wivu walioajiriwa sababu nilikua naishi kwa stress sana.NamshukuruHahahah! Uwiii nimecheka. Ndugu kazi ni maisha iwe ya kuajiriwa au ya kujiajiri. Kujiajiri pia sio rahisi, kama uko ambitious enough kuna siku utafanya kazi hata siku 3 mfululizo usiku na mchana bila kupumzika sababu you are pushing your own na hautaki ukwame. Advantage ya kujiajiri ni kuwa unaweza ukafika stage pesa ikakufanyia kazi na wewe ukastay indoors siku nzima, Changamoto ni kuifikia hiyo stage hiyo!!!!
Yote kwa yote kila mtu lazima afanye kazi.
Hahahah! Uwiii nimecheka. Ndugu kazi ni maisha iwe ya kuajiriwa au ya kujiajiri. Kujiajiri pia sio rahisi, kama uko ambitious enough kuna siku utafanya kazi hata siku 3 mfululizo usiku na mchana bila kupumzika sababu you are pushing your own na hautaki ukwame. Advantage ya kujiajiri ni kuwa unaweza ukafika stage pesa ikakufanyia kazi na wewe ukastay indoors siku nzima, Changamoto ni kuifikia hiyo stage hiyo!!!!
Yote kwa yote kila mtu lazima afanye kazi.
Coment yako imenibariki naHahahah! Uwiii nimecheka. Ndugu kazi ni maisha iwe ya kuajiriwa au ya kujiajiri. Kujiajiri pia sio rahisi, kama uko ambitious enough kuna siku utafanya kazi hata siku 3 mfululizo usiku na mchana bila kupumzika sababu you are pushing your own na hautaki ukwame. Advantage ya kujiajiri ni kuwa unaweza ukafika stage pesa ikakufanyia kazi na wewe ukastay indoors siku nzima, Changamoto ni kuifikia hiyo stage hiyo!!!!
Yote kwa yote kila mtu lazima afanye kazi.
Asante kwa coment yako imenikumbusha wema wa Mungu kwangu.Namshukuru Mungu niko levels za kukaa indoors for as long as I desire.Hata hivyo huwa inatokea pia nafanya kazi hata nikiwa ninaumwa,kuna wakati hata muda wa kulala usiku sipati.Na wakati ninaanza kuna wakati nilikua nawaonea wivu walioajiriwa sababu nilikua naishi kwa stress sana.Namshukuru kwa sasa sitamani tena kuajiriwa ila haimaanishi kujiajiri ni rahisi.Hahahah! Uwiii nimecheka. Ndugu kazi ni maisha iwe ya kuajiriwa au ya kujiajiri. Kujiajiri pia sio rahisi, kama uko ambitious enough kuna siku utafanya kazi hata siku 3 mfululizo usiku na mchana bila kupumzika sababu you are pushing your own na hautaki ukwame. Advantage ya kujiajiri ni kuwa unaweza ukafika stage pesa ikakufanyia kazi na wewe ukastay indoors siku nzima, Changamoto ni kuifikia hiyo stage hiyo!!!!
Yote kwa yote kila mtu lazima afanye kazi.
Wow! You made my evening! Japo uzi ni wa zamani ila umenifurahisha kwa huo ushuhuda wako.Asante kwa coment yako imenikumbusha wema wa Mungu kwangu.Namshukuru Mungu niko levels za kukaa indoors for as long as I desire.Hata hivyo huwa inatokea pia nafanya kazi hata nikiwa ninaumwa,kuna wakati hata muda wa kulala usiku sipati.Na wakati ninaanza kuna wakati nilikua nawaonea wivu walioajiriwa sababu nilikua naishi kwa stress sana.Namshukuru
Coment yako imenibariki na
Asante kwa coment yako imenikumbusha wema wa Mungu kwangu.Namshukuru Mungu niko levels za kukaa indoors for as long as I desire.Hata hivyo huwa inatokea pia nafanya kazi hata nikiwa ninaumwa,kuna wakati hata muda wa kulala usiku sipati.Na wakati ninaanza kuna wakati nilikua nawaonea wivu walioajiriwa sababu nilikua naishi kwa stress sana.Namshukuru kwa sasa sitamani tena kuajiriwa ila haimaanishi kujiajiri ni rahisi.