Leo tarehe 31.12.2024 ni siku ya mwisho kabisa ya mwaka huu. Nachukua nafasi hii kuomba radhi

Leo tarehe 31.12.2024 ni siku ya mwisho kabisa ya mwaka huu. Nachukua nafasi hii kuomba radhi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Tunahitimisha mwaka 2024.. Kiuhalisia hakuna kinachobadilika zaidi ya tarakimu.. Maisha yetu yametawaliwa na tarakimu.. Na hizi ndio zinaendesha dunia ya kimwili na ya kiroho pia
Tarakimu hazina kinyume(rivasi).. Muda haurudi nyuma.. Hivyo basi siku hii ya huu mwaka haitakaa irudi tena maishani mwetu.. Hivyo ni vema tukaipa umuhimu mkubwa na wa kipekee
Tulianza salama huu mwaka pamoja na tukiwa na matarajio mengi.. Wenzetu baadhi hawakuweza kumaliza nasi.. Tuwaombee sana!
Kipekee kabisa naomba kuchukua nafasi hii kwa wale wote kwa njia moja ama nyingine waliumizwa na maandishi na maandiko yangu
Kuna wale ambao pia sikuweza kukidhi haja ya matarajio yao katika changamoto mbali mbali walizopitia mwaka huu..
Wengi
tuliwasiliana PM na baadhi baadae kwenye mawasiliano ya simu lakini harakati na ubize wa maisha vikanifanya niwe na maahirisho mengi
Kikubwa ninachoweza kusema ni kwamba najali shida ya kila mmoja wenu na daima sikuacha kuwaombea kila nilipopata walau sekunde chache ama dakika chache za kufanya hivyo
Mimi ni binadamu nisiye mkamilifu, nina mapungufu yangu pia mengi tu.. Mniwie radhi kwa wale ambao tulikwazana hapa na pale.. Sina kinyongo wala sina kisasi kwa yeyote yule
Naumaliza mwaka 2024 nikiwa msafi wa roho na mwili na amani tele.. Nimeitafuta njia ya ukamilifu wa kiroho na wokovu wa ndani kwa utulivu na unyenyekevu mkubwa na matokeo yake mazuri nimeyaona
Kwa uzi huu niwatakie heri ya mwaka mpya 2025 masaa si mengi yajayo.. Na tukipewa kibali cha kiroho basi sote tuweze kuumaliza mwaka 2024 kwa amani na furaha na kuuingia mwaka 2025 kwa viwango vilevile
Nawaombea sana!
f1a01b97-1ae8-4c21-bdc0-cfabc543ec9c.jpeg
 
Tunahitimisha mwaka 2024.. Kiuhalisia hakuna kinachobadilika zaidi ya tarakimu.. Maisha yetu yametawaliwa na tarakimu.. Na hizi ndio zinaendesha dunia ya kimwili na ya kiroho pia
Tarakimu hazina kinyume(rivasi).. Muda haurudi nyuma.. Hivyo basi siku hii ya huu mwaka haitakaa irudi tena maishani mwetu.. Hivyo ni vema tukaipa umuhimu mkubwa na wa kipekee
Tulianza salama huu mwaka pamoja na tukiwa na matarajio mengi.. Wenzetu baadhi hawakuweza kumaliza nasi.. Tuwaombee sana!
Kipekee kabisa naomba kuchukua nafasi hii kwa wale wote kwa njia moja ama nyingine waliumizwa na maandishi na maandiko yangu
Kuna wale ambao pia sikuweza kukidhi haja ya matarajio yao katika changamoto mbali mbali walizopitia mwaka huu..
Wengi
tuliwasiliana PM na baadhi baadae kwenye mawasiliano ya simu lakini harakati na ubize wa maisha vikanifanya niwe na maahirisho mengi
Kikubwa ninachoweza kusema ni kwamba najali shida ya kila mmoja wenu na daima sikuacha kuwaombea kila nilipopata walau sekunde chache ama dakika chache za kufanya hivyo
Mimi ni binadamu nisiye mkamilifu, nina mapungufu yangu pia mengi tu.. Mniwie radhi kwa wale ambao tulikwazana hapa na pale.. Sina kinyongo wala sina kisasi kwa yeyote yule
Naumaliza mwaka 2024 nikiwa msafi wa roho na mwili na amani tele.. Nimeitafuta njia ya ukamilifu wa kiroho na wokovu wa ndani kwa utulivu na unyenyekevu mkubwa na matokeo yake mazuri nimeyaona
Kwa uzi huu niwatakie heri ya mwaka mpya 2025 masaa si mengi yajayo.. Na tukipewa kibali cha kiroho basi sote tuweze kuumaliza mwaka 2024 kwa amani na furaha na kuuingia mwaka 2025 kwa viwango vilevile
Nawaombea sana!View attachment 3189120
Sijaona mstari unaosema nawe umewasamehe wote waliokukosea, au unaamka nao kesho
 
Kuna namna maisha yangu nimegoma kuendeshwa na hizi tarehe na matukio ambayo wengi hujapa kipaumbele..
Yaani Hapa kichwani sioni utofauti wa kuhusu kesho ijayo na leo.. Yaan sija ipa Nafasi kubwa kama wengi wanavyofanya.

Kukesha hadi sa sita eti nasubiria mwaka hicho kitu kimenitoka kabisa.

Ila Sioni ajabu anae ipa nafasi kubwa hilo kwani binadamu hatufanani ki mtizamo
 
Sijaona mstari unaosema nawe umewasamehe wote waliokukosea, au unaamka nao kesho
😂hapana mkuu nimeandika hivi
Mimi ni binadamu nisiye mkamilifu, nina mapungufu yangu pia mengi tu.. Mniwie radhi kwa wale ambao tulikwazana hapa na pale.. Sina kinyongo wala sina kisasi kwa yeyote yule
 
Asee mtani hapo kwenye picha huyo mrukaji kaivunja 4 kabisa matarajio ya kufika kwenye 5 hayapo na hata hiyo 2 yenyewe haifikii yaani
huyu ni moja kwa moja mtoni akaji selfie na mamba.
 
Tunahitimisha mwaka 2024.. Kiuhalisia hakuna kinachobadilika zaidi ya tarakimu.. Maisha yetu yametawaliwa na tarakimu.. Na hizi ndio zinaendesha dunia ya kimwili na ya kiroho pia
Tarakimu hazina kinyume(rivasi).. Muda haurudi nyuma.. Hivyo basi siku hii ya huu mwaka haitakaa irudi tena maishani mwetu.. Hivyo ni vema tukaipa umuhimu mkubwa na wa kipekee
Tulianza salama huu mwaka pamoja na tukiwa na matarajio mengi.. Wenzetu baadhi hawakuweza kumaliza nasi.. Tuwaombee sana!
Kipekee kabisa naomba kuchukua nafasi hii kwa wale wote kwa njia moja ama nyingine waliumizwa na maandishi na maandiko yangu
Kuna wale ambao pia sikuweza kukidhi haja ya matarajio yao katika changamoto mbali mbali walizopitia mwaka huu..
Wengi
tuliwasiliana PM na baadhi baadae kwenye mawasiliano ya simu lakini harakati na ubize wa maisha vikanifanya niwe na maahirisho mengi
Kikubwa ninachoweza kusema ni kwamba najali shida ya kila mmoja wenu na daima sikuacha kuwaombea kila nilipopata walau sekunde chache ama dakika chache za kufanya hivyo
Mimi ni binadamu nisiye mkamilifu, nina mapungufu yangu pia mengi tu.. Mniwie radhi kwa wale ambao tulikwazana hapa na pale.. Sina kinyongo wala sina kisasi kwa yeyote yule
Naumaliza mwaka 2024 nikiwa msafi wa roho na mwili na amani tele.. Nimeitafuta njia ya ukamilifu wa kiroho na wokovu wa ndani kwa utulivu na unyenyekevu mkubwa na matokeo yake mazuri nimeyaona
Kwa uzi huu niwatakie heri ya mwaka mpya 2025 masaa si mengi yajayo.. Na tukipewa kibali cha kiroho basi sote tuweze kuumaliza mwaka 2024 kwa amani na furaha na kuuingia mwaka 2025 kwa viwango vilevile
Nawaombea sana!View attachment 3189120
Moja ya watu muhimu ndani ya jamii forums, nadhani wewe ni mmojawao. Mwenyezi Mungu aendelee kukuongoza na kukulinda kwenye safari yako ya maisha hapa duniani. Aendelee kukupa afya njema, na maisha marefu.
 
Tunahitimisha mwaka 2024.. Kiuhalisia hakuna kinachobadilika zaidi ya tarakimu.. Maisha yetu yametawaliwa na tarakimu.. Na hizi ndio zinaendesha dunia ya kimwili na ya kiroho pia
Tarakimu hazina kinyume(rivasi).. Muda haurudi nyuma.. Hivyo basi siku hii ya huu mwaka haitakaa irudi tena maishani mwetu.. Hivyo ni vema tukaipa umuhimu mkubwa na wa kipekee
Tulianza salama huu mwaka pamoja na tukiwa na matarajio mengi.. Wenzetu baadhi hawakuweza kumaliza nasi.. Tuwaombee sana!
Kipekee kabisa naomba kuchukua nafasi hii kwa wale wote kwa njia moja ama nyingine waliumizwa na maandishi na maandiko yangu
Kuna wale ambao pia sikuweza kukidhi haja ya matarajio yao katika changamoto mbali mbali walizopitia mwaka huu..
Wengi
tuliwasiliana PM na baadhi baadae kwenye mawasiliano ya simu lakini harakati na ubize wa maisha vikanifanya niwe na maahirisho mengi
Kikubwa ninachoweza kusema ni kwamba najali shida ya kila mmoja wenu na daima sikuacha kuwaombea kila nilipopata walau sekunde chache ama dakika chache za kufanya hivyo
Mimi ni binadamu nisiye mkamilifu, nina mapungufu yangu pia mengi tu.. Mniwie radhi kwa wale ambao tulikwazana hapa na pale.. Sina kinyongo wala sina kisasi kwa yeyote yule
Naumaliza mwaka 2024 nikiwa msafi wa roho na mwili na amani tele.. Nimeitafuta njia ya ukamilifu wa kiroho na wokovu wa ndani kwa utulivu na unyenyekevu mkubwa na matokeo yake mazuri nimeyaona
Kwa uzi huu niwatakie heri ya mwaka mpya 2025 masaa si mengi yajayo.. Na tukipewa kibali cha kiroho basi sote tuweze kuumaliza mwaka 2024 kwa amani na furaha na kuuingia mwaka 2025 kwa viwango vilevile
Nawaombea sana!View attachment 3189120
Hongera sana kwa uungwana huu wa kuomba radhi..
 
Mtu yeyote anayeomba radhi na hamalizii na ahadi ya kutorudia tena, namwonaga kama mwanasiasa tu!
 
Back
Top Bottom