Leo tarehe 31.12.2024 ni siku ya mwisho kabisa ya mwaka huu. Nachukua nafasi hii kuomba radhi

Mimi ni binadamu nisiye mkamilifu, nina mapungufu yangu pia mengi tu.. Mniwie radhi kwa wale ambao tulikwazana hapa na pale
Kama yupo anayehisi nimemkosea na tena ni mwana CCM, basi mjulishe kuwa hio ilikua trailer, mziki Kamili ni kuanzia Kesho! 2025 CCM wajue nitawakera Zaidi. Heri ya mwaka mpya in advance
 
Kwa wale wote niliowakosea kwa namna moja ama nyingine ktk mwaka 2024 naomba sana muendelee kuwa wavumilivu maana hiyo ilikua ni trela tuu picha kamili litakuja 2025. Be strong.
Hahahahaha๐Ÿ˜‚ Mimi sitaki ligi๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ๐Ÿƒ๐Ÿฟ๐Ÿƒ๐Ÿฟ๐Ÿƒ๐Ÿฟ
 
happy new year2025 in advance Mshana Jr na wadau wote JF,

kwa Neema na Baraka za Mungu tulikua pamoja2024 kwa mema na changamoto,

na tusonge pamoja kwa umoja kama familia ya JF 2025๐Ÿ’

God bless us all my friends ladies and gentlemen
 
happy new year2025 in advance Mshana Jr na wadau wote JF,

kwa Neema na Baraka za Mungu tulikua pamoja2024 kwa mema na changamoto,

na tusonge pamoja kwa umoja kama familia ya JF 2025๐Ÿ’

God bless us all my friends ladies and gentlemen
๐Ÿ’ช๐Ÿฟ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ Mshikamano wetu kama members wa JF ( nje ya tofauti zetu za kiitikadi) ndio silaha yetu kuu..
Ila next year badilika kidogo mkuu๐Ÿ˜‚
 
Sawa ila mimi Mbowe siwezi kumsamehe hata aje nani
 
๐Ÿ’ช๐Ÿฟ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ Mshikamano wetu kama members wa JF ( nje ya tofauti zetu za kiitikadi) ndio silaha yetu kuu..
Ila next year badilika kidogo mkuu๐Ÿ˜‚
๐Ÿ’ช๐Ÿ‘Š mshikamano pamoja na upendo ni mambo muhimu sana kama waTanzania na ndugu wa nchi moja licha ya tofauti za mirengo, dini, makabila n.k.

ni muhimu tukabaki wamoja na wanaheshimiana.

kwenye hilo la mwisho la kubadilika kidogo, dah!๐Ÿคฃ

ninayo kazi kubwa kule jimboni kuelekea mjengoni,
Lakini pia iko kazi ingine muhimu zaidi ya kuhakikisha mgombea urasi wa CCM anashinda uchaguzi kwa kishindo, anakamata dola, anaunda serikali na kuongoza nchi kwa awamu nyingine ya miaka mitano 2025-2030.

nadhani naweza kua busy zaidi field kuliko humu jukwaani.
Hata hivyo, nimechukua ushauri na pendekezo lako licha ya kua limenichekesha sana ๐Ÿ’
 
Mkuu Mshana Jr Asante sana Mkuu!
Mungu alikuumba kwa ajili ya watu, umekuwa mtu mwenye kujali na kumthamini kila mtu. Mungu azidi kukujenga na kuukuza utu wako wa ndani. Wewe ni mtu unayejali na kuthamini sana watu pamoja na kuwa na mambo mengi lakini bado Umeendelea kuwa msaada mkubwa kwa watu.

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Mkuu upo busy sana na lile jambo nililokushirikisha bado sijafikia mwisho japo muafaka upo na hautekelezwi.

Nikutafute weekend hii basi.

Heri nyingi kwetu sote Kwa Mwaka unaokuja
 
Leo tusiingie sana huko ngoja tutakiane mwaka mpya mwema.. Tutatifuana kule shamrashamra zikiisha๐Ÿ˜‚
Huko mjengoni pumzika sana imetosha๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ
 
Asante sana Manyanza nadhani tuna miadi ya kuonana.. Ngoja mwaka upinduke pindu tuone hayo yajayo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ