Leo tunamaliza malumbano kuhusu upangaji wa matokeo katika ligi ya NBC

Leo tunamaliza malumbano kuhusu upangaji wa matokeo katika ligi ya NBC

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Yanga waliangalia ratiba ya ligi wakaona muda sahihi wa harusi ya Aziz Ki na Hamisa Mobetto ni huu ndiyo wakabariki hili zoezi zima linaloendelea.

Wachezaji wa Yanga wamekuwa kwenye pilikapilika za shughuli za hii harusi zaidi ya wiki moja sasa ila cha ajabu wakiingia uwanjani wao ndiyo wana dominate mchezo na kuondoka na goli 6. Tukumbuke pia ni juzi juzi tu hapa tuliambiwa fitness ya wachezaji iko chini!

Leo wanaenda kucheza na timu ambayo inaongoza kwa kusajili wachezaji wa kigeni, yaani imesajili wengi hadi wengine imebidi iwabadili uraia na wengine iwatoe kwa mkopo. Singida ni timu ambayo mwanzoni mwa msimu iliwekwa kama moja ya wanaowania ubingwa na mpaka sasa ipo katika mbio hizo na pia kuwania nafasi ya kushiriki kimataifa. Kwa hiyo katika makaratasi haitakiwi kuwa mechi ndogo.

Cha ajabu Yanga inaenda katika mchezo huu bila wasiwasi wa kukabiliana na upinzani wowote.

Tuache unafki. Haya mambo hayana faida kwa mpira wa Tanzania.

Za ndaaani, Bwana Fedha aliulizwa anatoa mchango gani kwa harusi, akakumbushia pesa ya usajili iliyombakisha Ki, akaahidi kibunda kingine kizito ila pia akaahidi pwenti 3 za leo.
 
Yanga waliangalia ratiba ya ligi wakaona muda sahihi wa harusi ya Aziz Ki na Hamisa Mobetto ni huu ndiyo wakabariki hili zoezi zima linaloendelea.

Wachezaji wa Yanga wamekuwa kwenye pilikapilika za shughuli za hii harusi zaidi ya wiki moja sasa ila cha ajabu wakiingia uwanjani wao ndiyo wana dominate mchezo na kuondoka na goli 6. Tukumbuke pia ni juzi juzi tu hapa tuliambiwa fitness ya wachezaji iko chini!

Leo wanaenda kucheza na timu ambayo inaongoza kwa kusajili wachezaji wa kigeni, yaani imesajili wengi hadi wengine imebidi iwabadili uraia na wengine iwatoe kwa mkopo. Singida ni timu ambayo mwanzoni mwa msimu iliwekwa kama moja ya wanaowania ubingwa na mpaka sasa ipo katika mbio hizo na pia kuwania nafasi ya kushiriki kimataifa. Kwa hiyo katika makaratasi haitakiwi kuwa mechi ndogo.

Cha ajabu Yanga inaenda katika mchezo huu bila wasiwasi wa kukabiliana na upinzani wowote.

Tuache unafki. Haya mambo hayana faida kwa mpira wa Tanzania.
Daaah makolo mmeanza kulia kabla ya mechi....


Mmejuaje....labda singida atashinda leo

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Si nasikia wanacheza wazawa tuu leo wa Tanzania SBS..yani hii ligi hawa wapuuzi wanaiharibu mnooo...lakini yana mwisho wake...mwisho wake ni mbaya sana..
Kuhusu sherehe zao hilo ni wao wenyewe na ratiba zao..
Wachezaji wao kibao akiwemo yule duka Kennedy wanamiss. Hata aibu hawaoni. Ila waache wabebane, sisi tunapita nao wote na kimataifa tunaendelea kushaini. Siku wakija kushtuka upuuzi wanaofanya watakuwa wamechelewa saana.
 
Yanga waliangalia ratiba ya ligi wakaona muda sahihi wa harusi ya Aziz Ki na Hamisa Mobetto ni huu ndiyo wakabariki hili zoezi zima linaloendelea.

Wachezaji wa Yanga wamekuwa kwenye pilikapilika za shughuli za hii harusi zaidi ya wiki moja sasa ila cha ajabu wakiingia uwanjani wao ndiyo wana dominate mchezo na kuondoka na goli 6. Tukumbuke pia ni juzi juzi tu hapa tuliambiwa fitness ya wachezaji iko chini!

Leo wanaenda kucheza na timu ambayo inaongoza kwa kusajili wachezaji wa kigeni, yaani imesajili wengi hadi wengine imebidi iwabadili uraia na wengine iwatoe kwa mkopo. Singida ni timu ambayo mwanzoni mwa msimu iliwekwa kama moja ya wanaowania ubingwa na mpaka sasa ipo katika mbio hizo na pia kuwania nafasi ya kushiriki kimataifa. Kwa hiyo katika makaratasi haitakiwi kuwa mechi ndogo.

Cha ajabu Yanga inaenda katika mchezo huu bila wasiwasi wa kukabiliana na upinzani wowote.

Tuache unafki. Haya mambo hayana faida kwa mpira wa Tanzania.
Screenshot_20250217-080718_Facebook.jpg
 
Kazi iliyokushinda wewe mtu mzima mara nne mfululizo wakusaidie watoto?

Hata Kagera hatumfungagi mara nne mfululizo.
 
Yanga waliangalia ratiba ya ligi wakaona muda sahihi wa harusi ya Aziz Ki na Hamisa Mobetto ni huu ndiyo wakabariki hili zoezi zima linaloendelea.

Wachezaji wa Yanga wamekuwa kwenye pilikapilika za shughuli za hii harusi zaidi ya wiki moja sasa ila cha ajabu wakiingia uwanjani wao ndiyo wana dominate mchezo na kuondoka na goli 6. Tukumbuke pia ni juzi juzi tu hapa tuliambiwa fitness ya wachezaji iko chini!

Leo wanaenda kucheza na timu ambayo inaongoza kwa kusajili wachezaji wa kigeni, yaani imesajili wengi hadi wengine imebidi iwabadili uraia na wengine iwatoe kwa mkopo. Singida ni timu ambayo mwanzoni mwa msimu iliwekwa kama moja ya wanaowania ubingwa na mpaka sasa ipo katika mbio hizo na pia kuwania nafasi ya kushiriki kimataifa. Kwa hiyo katika makaratasi haitakiwi kuwa mechi ndogo.

Cha ajabu Yanga inaenda katika mchezo huu bila wasiwasi wa kukabiliana na upinzani wowote.

Tuache unafki. Haya mambo hayana faida kwa mpira wa Tanzania.

Za ndaaani, Bwana Fedha aliulizwa anatoa mchango gani kwa harusi, akakumbushia pesa ya usajili iliyombakisha Ki, akaahidi kibunda kingine kizito ila pia akaahidi pwenti 3 za leo.
Yanga kazifunga timu ngapi zilizokamilika? Kwa maana unataka kusema yanga aiwezi kupata matokeo kwa singida? Hizo nyingine zilizopigwa zilipigwaje?
 
Wachezaji wao kibao akiwemo yule duka Kennedy wanamiss. Hata aibu hawaoni. Ila waache wabebane, sisi tunapita nao wote na kimataifa tunaendelea kushaini. Siku wakija kushtuka upuuzi wanaofanya watakuwa wamechelewa saana.
Vipi mlivyocheza na Tabora ya Rage game zote 2 bila ya wachezaji wa kigeni ukujisikia hali hii unayojisikia leo?
 
Daaah makolo mmeanza kulia kabla ya mechi....


Mmejuaje....labda singida atashinda leo

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app

Kazi iliyokushinda wewe mtu mzima mara nne mfululizo wakusaidie watoto?

Hata Kagera hatumfungagi mara nne mfululizo.
Hauwezi kuwekeza kwa pesa ya jasho lako ukafanya haya wanayofanya Singida. Hii ni pesa isiyo ya uchungu ndiyo inachezewa.
 
Hauwezi kuwekeza kwa pesa ya jasho lako ukafanya haya wanayofanya Singida. Hii ni pesa isiyo ya uchungu ndiyo inachezewa.
Tabora, Namungo,coast union hizo ni timu mnazochukuaga point bila jasho kwakuwa mnakuwa mshamaliza biashara mezani sasa mkae kimya uwa mnakenua sana tunaposema juu ya ayo matawi yenu
 
Acha kuongea ujinga,,,, jitu lipo nkurunkumbi huko unajifanya unajua,,,
 
Tabora, Namungo,coast union hizo ni timu mnazochukuaga point bila jasho kwakuwa mnakuwa mshamaliza biashara mezani sasa mkae kimya uwa mnakenua sana tunaposema juu ya ayo matawi yenu
Coastal katoa sare na Simba katika msimu mgumu kama huu na msimu wa juzi Namungo alitoa sare na Simba katika moja ya mechi za mwisho iliyomaliza ndoto ya Simba ya ubingwa.
 
Back
Top Bottom