Leo tunamaliza malumbano kuhusu upangaji wa matokeo katika ligi ya NBC

Leo tunamaliza malumbano kuhusu upangaji wa matokeo katika ligi ya NBC

Yanga waliangalia ratiba ya ligi wakaona muda sahihi wa harusi ya Aziz Ki na Hamisa Mobetto ni huu ndiyo wakabariki hili zoezi zima linaloendelea.

Wachezaji wa Yanga wamekuwa kwenye pilikapilika za shughuli za hii harusi zaidi ya wiki moja sasa ila cha ajabu wakiingia uwanjani wao ndiyo wana dominate mchezo na kuondoka na goli 6. Tukumbuke pia ni juzi juzi tu hapa tuliambiwa fitness ya wachezaji iko chini!

Leo wanaenda kucheza na timu ambayo inaongoza kwa kusajili wachezaji wa kigeni, yaani imesajili wengi hadi wengine imebidi iwabadili uraia na wengine iwatoe kwa mkopo. Singida ni timu ambayo mwanzoni mwa msimu iliwekwa kama moja ya wanaowania ubingwa na mpaka sasa ipo katika mbio hizo na pia kuwania nafasi ya kushiriki kimataifa. Kwa hiyo katika makaratasi haitakiwi kuwa mechi ndogo.

Cha ajabu Yanga inaenda katika mchezo huu bila wasiwasi wa kukabiliana na upinzani wowote.

Tuache unafki. Haya mambo hayana faida kwa mpira wa Tanzania.

Za ndaaani, Bwana Fedha aliulizwa anatoa mchango gani kwa harusi, akakumbushia pesa ya usajili iliyombakisha Ki, akaahidi kibunda kingine kizito ila pia akaahidi pwenti 3 za leo.
Akili likizo,mdomo kazini
 
Basi Kaa kimya akuna tutakachokusaidia hapa Msemaji wenu alinukuliwa akisema pale tff Kuna sanduku la maoni uyapeleke uko baada ya kolo kudhulumu point za Dodoma Jiji,,sasa na wewe elekea uko mapema!
Eti kaa kimya? Unakuja na vihoja, ukishindwa unawaambia watu wakae kimya, pumbavu kabisa.
 
Yanga waliangalia ratiba ya ligi wakaona muda sahihi wa harusi ya Aziz Ki na Hamisa Mobetto ni huu ndiyo wakabariki hili zoezi zima linaloendelea.

Wachezaji wa Yanga wamekuwa kwenye pilikapilika za shughuli za hii harusi zaidi ya wiki moja sasa ila cha ajabu wakiingia uwanjani wao ndiyo wana dominate mchezo na kuondoka na goli 6. Tukumbuke pia ni juzi juzi tu hapa tuliambiwa fitness ya wachezaji iko chini!

Leo wanaenda kucheza na timu ambayo inaongoza kwa kusajili wachezaji wa kigeni, yaani imesajili wengi hadi wengine imebidi iwabadili uraia na wengine iwatoe kwa mkopo. Singida ni timu ambayo mwanzoni mwa msimu iliwekwa kama moja ya wanaowania ubingwa na mpaka sasa ipo katika mbio hizo na pia kuwania nafasi ya kushiriki kimataifa. Kwa hiyo katika makaratasi haitakiwi kuwa mechi ndogo.

Cha ajabu Yanga inaenda katika mchezo huu bila wasiwasi wa kukabiliana na upinzani wowote.

Tuache unafki. Haya mambo hayana faida kwa mpira wa Tanzania.

Za ndaaani, Bwana Fedha aliulizwa anatoa mchango gani kwa harusi, akakumbushia pesa ya usajili iliyombakisha Ki, akaahidi kibunda kingine kizito ila pia akaahidi pwenti 3 za leo.
Kusajili wachezaji wengi wa kimataifa hakiwezi kuwa guarantee ya team kuwa bora au kufanya vizuri uwanjani, angalia hao Singida kabla ya kucheza na Yanga leo je matokeo yao yapoje? Wameshinda mechi moja pekee ambayo ni dhidi ya JKT, tena wamecheza na timu zote za saizi ya kati tu.
 
Kusajili wachezaji wengi wa kimataifa hakiwezi kuwa guarantee ya team kuwa bora au kufanya vizuri uwanjani, angalia hao Singida kabla ya kucheza na Yanga leo je matokeo yao yapoje? Wameshinda mechi moja pekee ambayo ni dhidi ya JKT, tena wamecheza na timu zote za saizi ya kati tu.
Ungekuwa na uwezo wa kuelewa ungeelewa maana ya kutaja wingi wa wachezaji wa kigeni haikuwa tu kuonyesha ubora wa Singida bali ukubwa wa mechi. Kusoma na kuelewa si kipaji bali ni maarifa unayoweza kujifunza na haujachelewa.
 
Yanga waliangalia ratiba ya ligi wakaona muda sahihi wa harusi ya Aziz Ki na Hamisa Mobetto ni huu ndiyo wakabariki hili zoezi zima linaloendelea.

Wachezaji wa Yanga wamekuwa kwenye pilikapilika za shughuli za hii harusi zaidi ya wiki moja sasa ila cha ajabu wakiingia uwanjani wao ndiyo wana dominate mchezo na kuondoka na goli 6. Tukumbuke pia ni juzi juzi tu hapa tuliambiwa fitness ya wachezaji iko chini!

Leo wanaenda kucheza na timu ambayo inaongoza kwa kusajili wachezaji wa kigeni, yaani imesajili wengi hadi wengine imebidi iwabadili uraia na wengine iwatoe kwa mkopo. Singida ni timu ambayo mwanzoni mwa msimu iliwekwa kama moja ya wanaowania ubingwa na mpaka sasa ipo katika mbio hizo na pia kuwania nafasi ya kushiriki kimataifa. Kwa hiyo katika makaratasi haitakiwi kuwa mechi ndogo.

Cha ajabu Yanga inaenda katika mchezo huu bila wasiwasi wa kukabiliana na upinzani wowote.

Tuache unafki. Haya mambo hayana faida kwa mpira wa Tanzania.

Za ndaaani, Bwana Fedha aliulizwa anatoa mchango gani kwa harusi, akakumbushia pesa ya usajili iliyombakisha Ki, akaahidi kibunda kingine kizito ila pia akaahidi pwenti 3 za leo.
Mtoa mada mbona kama UNAJAMBIA mbali!?
 
Yanga waliangalia ratiba ya ligi wakaona muda sahihi wa harusi ya Aziz Ki na Hamisa Mobetto ni huu ndiyo wakabariki hili zoezi zima linaloendelea.

Wachezaji wa Yanga wamekuwa kwenye pilikapilika za shughuli za hii harusi zaidi ya wiki moja sasa ila cha ajabu wakiingia uwanjani wao ndiyo wana dominate mchezo na kuondoka na goli 6. Tukumbuke pia ni juzi juzi tu hapa tuliambiwa fitness ya wachezaji iko chini!

Leo wanaenda kucheza na timu ambayo inaongoza kwa kusajili wachezaji wa kigeni, yaani imesajili wengi hadi wengine imebidi iwabadili uraia na wengine iwatoe kwa mkopo. Singida ni timu ambayo mwanzoni mwa msimu iliwekwa kama moja ya wanaowania ubingwa na mpaka sasa ipo katika mbio hizo na pia kuwania nafasi ya kushiriki kimataifa. Kwa hiyo katika makaratasi haitakiwi kuwa mechi ndogo.

Cha ajabu Yanga inaenda katika mchezo huu bila wasiwasi wa kukabiliana na upinzani wowote.

Tuache unafki. Haya mambo hayana faida kwa mpira wa Tanzania.

Za ndaaani, Bwana Fedha aliulizwa anatoa mchango gani kwa harusi, akakumbushia pesa ya usajili iliyombakisha Ki, akaahidi kibunda kingine kizito ila pia akaahidi pwenti 3 za leo.
Mkuu ungeambatanisha na ushahidi usiotia shaka.
 
Ma utopolo mpka aibu jamani..
Si mnaona Yule Soawah alianzia benchi kaingia kawapachika bao....
 
Tabora, Namungo,coast union hizo ni timu mnazochukuaga point bila jasho kwakuwa mnakuwa mshamaliza biashara mezani sasa mkae kimya uwa mnakenua sana tunaposema juu ya ayo matawi yenu
coastal 2-2 umesahau
 
coastal 2-2 umesahau
Achana naye huyo chura. Anapayuka tu mambo yasiyo na kichwa wala mguu. Muulize mara ya mwisho uto kufungwa au kutoka sare na moja ya tawi la GSM ni lini.
 
Back
Top Bottom