Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sio na Tabora alifanyaje?Coastal katoa sare na Simba katika msimu mgumu kama huu na msimu wa juzi Namungo alitoa sare na Simba katika moja ya mechi za mwisho iliyomaliza ndoto ya Simba ya ubingwa.
Kama kile cha taboraLeo siyo mechi! Ni kikao cha familia.
Kwaiyo kmc na yanga ni timu ipi Bora kuliko mwingineKu
Singida kufungwa na KMC ndiyo leseni ya kufungwa na uto?
Tabora tokea ipande aijawai kuifunga Simba ata goli la kubahatisha,,inapokaribia mechi na Simba wachezaji muhimu wanakuwa na matatizo,,mara vibali mara majeruhi but mechi ikiisha mambo yanakuwa sawa kwaniniKwani alifanyaje?
Kafie mbele na mangungu wako yanga ainaga mashabiki kama weweMashabiki wa Yanga tunaojielewa hatufurahishwi na upuuza unaendelea sasa KMC complex.
Tabora lazima aikamie yanga kwakuwa ni tawi linatumwaKwa hiyo Tabora na Yanga ni timu ipo bora kuliko mwingine?
Nimejibu hoja yako ya Coastal na Namungo umeikimbia.
Huwezi kutumia simu ya Tecno na bado ukawa na akili timamuDaaah makolo mmeanza kulia kabla ya mechi....
Mmejuaje....labda singida atashinda leo
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Tabora ana misimu mingapi ligi kuu? KMC kabla ya mechi ya juzi ilikuwa haijaifunga uto hata goli la kuotea kwa mechi 8 mfululizo. Niambie hiyo ni misimu mingapi? Umeona nimesema lolote kuhusu hilo?Tabora tokea ipande aijawai kuifunga Simba ata goli la kubahatisha,,inapokaribia mechi na Simba wachezaji muhimu wanakuwa na matatizo,,mara vibali mara majeruhi but mechi ikiisha mambo yanakuwa sawa kwanini
Uliandika comment ya kichochezi.....[emoji23][emoji23][emoji23]nliiona hyoMbona comment siioni tena jamani
Basi Kaa kimya akuna tutakachokusaidia hapa Msemaji wenu alinukuliwa akisema pale tff Kuna sanduku la maoni uyapeleke uko baada ya kolo kudhulumu point za Dodoma Jiji,,sasa na wewe elekea uko mapema!Tabora ana misimu mingapi ligi kuu? KMC kabla ya mechi ya juzi ilikuwa haijaifunga uto hata goli la kuotea kwa mechi 8 mfululizo. Niambie hiyo ni misimu mingapi? Umeona nimesema lolote kuhusu hilo?
Ilikuwa ya kichochezi mkuuLabani og atakuwa kaifuta
Lkn nna utajiri ambao naweza finance ukoo wako na ... ukoo wa mke wako ....miaka 1000Huwezi kutumia simu ya Tecno na bado ukawa na akili timamu
Kimataifa unashaini na robo fainali ama una ziada?Wachezaji wao kibao akiwemo yule duka Kennedy wanamiss. Hata aibu hawaoni. Ila waache wabebane, sisi tunapita nao wote na kimataifa tunaendelea kushaini. Siku wakija kushtuka upuuzi wanaofanya watakuwa wamechelewa saana.
Siku hizi wachawi mnawanga mcha kweupeee bila hofu. HayaYanga waliangalia ratiba ya ligi wakaona muda sahihi wa harusi ya Aziz Ki na Hamisa Mobetto ni huu ndiyo wakabariki hili zoezi zima linaloendelea.
Wachezaji wa Yanga wamekuwa kwenye pilikapilika za shughuli za hii harusi zaidi ya wiki moja sasa ila cha ajabu wakiingia uwanjani wao ndiyo wana dominate mchezo na kuondoka na goli 6. Tukumbuke pia ni juzi juzi tu hapa tuliambiwa fitness ya wachezaji iko chini!
Leo wanaenda kucheza na timu ambayo inaongoza kwa kusajili wachezaji wa kigeni, yaani imesajili wengi hadi wengine imebidi iwabadili uraia na wengine iwatoe kwa mkopo. Singida ni timu ambayo mwanzoni mwa msimu iliwekwa kama moja ya wanaowania ubingwa na mpaka sasa ipo katika mbio hizo na pia kuwania nafasi ya kushiriki kimataifa. Kwa hiyo katika makaratasi haitakiwi kuwa mechi ndogo.
Cha ajabu Yanga inaenda katika mchezo huu bila wasiwasi wa kukabiliana na upinzani wowote.
Tuache unafki. Haya mambo hayana faida kwa mpira wa Tanzania.
Za ndaaani, Bwana Fedha aliulizwa anatoa mchango gani kwa harusi, akakumbushia pesa ya usajili iliyombakisha Ki, akaahidi kibunda kingine kizito ila pia akaahidi pwenti 3 za leo.