Leo tunamaliza malumbano kuhusu upangaji wa matokeo katika ligi ya NBC

Leo tunamaliza malumbano kuhusu upangaji wa matokeo katika ligi ya NBC

Kwa mechi ngapi mlizocheza na coast?
Kwa hiyo sasa hivi tunahesabu idadi ya mechi na siyo matokeo? Coastal ingekuwa tawi la Simba, kwa jinsi ligi ilivyo tight, ile sare ina make sense kwako? Sawa tunajua unatimiza jukumu la kutetea timu yako ila tumia akili kidogo.
 
Yanga waliangalia ratiba ya ligi wakaona muda sahihi wa harusi ya Aziz Ki na Hamisa Mobetto ni huu ndiyo wakabariki hili zoezi zima linaloendelea.

Wachezaji wa Yanga wamekuwa kwenye pilikapilika za shughuli za hii harusi zaidi ya wiki moja sasa ila cha ajabu wakiingia uwanjani wao ndiyo wana dominate mchezo na kuondoka na goli 6. Tukumbuke pia ni juzi juzi tu hapa tuliambiwa fitness ya wachezaji iko chini!

Leo wanaenda kucheza na timu ambayo inaongoza kwa kusajili wachezaji wa kigeni, yaani imesajili wengi hadi wengine imebidi iwabadili uraia na wengine iwatoe kwa mkopo. Singida ni timu ambayo mwanzoni mwa msimu iliwekwa kama moja ya wanaowania ubingwa na mpaka sasa ipo katika mbio hizo na pia kuwania nafasi ya kushiriki kimataifa. Kwa hiyo katika makaratasi haitakiwi kuwa mechi ndogo.

Cha ajabu Yanga inaenda katika mchezo huu bila wasiwasi wa kukabiliana na upinzani wowote.

Tuache unafki. Haya mambo hayana faida kwa mpira wa Tanzania.

Za ndaaani, Bwana Fedha aliulizwa anatoa mchango gani kwa harusi, akakumbushia pesa ya usajili iliyombakisha Ki, akaahidi kibunda kingine kizito ila pia akaahidi pwenti 3 za leo.
Mjerumani Saed ramovic mbona alisha sema ligi hii ni dhaifu jamaa aliona mbali kasepa zake mpinzani akifungwa na yanga wanafurahi
 
Kwa hiyo sasa hivi tunahesabu idadi ya mechi na siyo matokeo? Coastal ingekuwa tawi la Simba, kwa jinsi ligi ilivyo tight, ile sare ina make sense kwako? Sawa tunajua unatimiza jukumu la kutetea timu yako ila tumia akili kidogo.
Yanga anapotoa sare ama kufungwa na Simba akapata matokeo ya utata mbona midomo uwa mnaishona? Kunya anye Bata akinya kuku ni sawa!
 
Yanga waliangalia ratiba ya ligi wakaona muda sahihi wa harusi ya Aziz Ki na Hamisa Mobetto ni huu ndiyo wakabariki hili zoezi zima linaloendelea.

Wachezaji wa Yanga wamekuwa kwenye pilikapilika za shughuli za hii harusi zaidi ya wiki moja sasa ila cha ajabu wakiingia uwanjani wao ndiyo wana dominate mchezo na kuondoka na goli 6. Tukumbuke pia ni juzi juzi tu hapa tuliambiwa fitness ya wachezaji iko chini!

Leo wanaenda kucheza na timu ambayo inaongoza kwa kusajili wachezaji wa kigeni, yaani imesajili wengi hadi wengine imebidi iwabadili uraia na wengine iwatoe kwa mkopo. Singida ni timu ambayo mwanzoni mwa msimu iliwekwa kama moja ya wanaowania ubingwa na mpaka sasa ipo katika mbio hizo na pia kuwania nafasi ya kushiriki kimataifa. Kwa hiyo katika makaratasi haitakiwi kuwa mechi ndogo.

Cha ajabu Yanga inaenda katika mchezo huu bila wasiwasi wa kukabiliana na upinzani wowote.

Tuache unafki. Haya mambo hayana faida kwa mpira wa Tanzania.

Za ndaaani, Bwana Fedha aliulizwa anatoa mchango gani kwa harusi, akakumbushia pesa ya usajili iliyombakisha Ki, akaahidi kibunda kingine kizito ila pia akaahidi pwenti 3 za leo.
Ni fedheha kwa tff kujifanya hawaoni uchafu unaofanywa na utopolo na timu za gem, hasa sbs. Ila iko siku kila kitu kitakuwa wazi hadi nje ya nchi
 
Yanga anapotoa sare ama kufungwa na Simba akapata matokeo ya utata mbona midomo uwa mnaishona? Kunya anye Bata akinya kuku ni sawa!
Utata mnaunzisha nyie. Mnadai Simba inapewa penati nyingi wakati tofauti ya idadi ya penati za Simba na zile za Yanga ni mbili na hiyo ni kabla ya hizi penati double double mnazopewa siku hizi ila kwa kuwa nyie ni mabingwa wa propaganda basi kelele zenu zinasikika.
 
Utata mnaunzisha nyie. Mnadai Simba inapewa penati nyingi wakati tofauti ya idadi ya penati za Simba na zile za Yanga ni mbili na hiyo ni kabla ya hizi penati double double mnazopewa siku hizi ila kwa kuwa nyie ni mabingwa wa propaganda basi kelele zenu zinasikika.
Na zitaendelea kusikika mlianzisha michezo michafu mkawa mnakenua sasa tutamaliza na mwisho wa msimu tuone nani bingwa!
 
Na zitaendelea kusikika mlianzisha michezo michafu mkawa mnakenua sasa tutamaliza na mwisho wa msimu tuone nani bingwa!
Kwa hiyo bado una matumaini na ubingwa? Nyie ndiyo mnaitwa wafia timu.
 
Hapana wewe mwenye kikosi Bora ndio una matumaini si tunaona kikosi chako kilivyo Bora kuzidi cha yanga🤣🤣
Sahihi kabisa.
1000052828.jpg
 
Ndiyo. Mbona kama kauli yako mwenyewe inakusuta unatafuta pa kutokea?
Taja kikosi cha Simba cha kwanza na wanaokaa benchi alafu nitajie cha yanga tuweke kwenye mizania ndio tutajua ni kipi bora
 
Back
Top Bottom