Leo tunamaliza malumbano kuhusu upangaji wa matokeo katika ligi ya NBC

Kwamba Mzize alikua kamati ya chakula.
 
Coastal katoa sare na Simba katika msimu mgumu kama huu na msimu wa juzi Namungo alitoa sare na Simba katika moja ya mechi za mwisho iliyomaliza ndoto ya Simba ya ubingwa.
Au sio na Tabora alifanyaje?
 
Kwaiyo kmc na yanga ni timu ipi Bora kuliko mwingine
Kwa hiyo Tabora na Yanga ni timu ipo bora kuliko mwingine?

Nimejibu hoja yako ya Coastal na Namungo umeikimbia.
 
Reactions: Tui
Kwani alifanyaje?
Tabora tokea ipande aijawai kuifunga Simba ata goli la kubahatisha,,inapokaribia mechi na Simba wachezaji muhimu wanakuwa na matatizo,,mara vibali mara majeruhi but mechi ikiisha mambo yanakuwa sawa kwanini
 
Mashabiki wa Yanga tunaojielewa hatufurahishwi na upuuza unaendelea sasa KMC complex.
Hakuna mpira pale. Ni dhihaka, aibu na kutoheshimiana ndiyo kinachoendelea pale.
 
Tabora tokea ipande aijawai kuifunga Simba ata goli la kubahatisha,,inapokaribia mechi na Simba wachezaji muhimu wanakuwa na matatizo,,mara vibali mara majeruhi but mechi ikiisha mambo yanakuwa sawa kwanini
Tabora ana misimu mingapi ligi kuu? KMC kabla ya mechi ya juzi ilikuwa haijaifunga uto hata goli la kuotea kwa mechi 8 mfululizo. Niambie hiyo ni misimu mingapi? Umeona nimesema lolote kuhusu hilo?
 
Tabora ana misimu mingapi ligi kuu? KMC kabla ya mechi ya juzi ilikuwa haijaifunga uto hata goli la kuotea kwa mechi 8 mfululizo. Niambie hiyo ni misimu mingapi? Umeona nimesema lolote kuhusu hilo?
Basi Kaa kimya akuna tutakachokusaidia hapa Msemaji wenu alinukuliwa akisema pale tff Kuna sanduku la maoni uyapeleke uko baada ya kolo kudhulumu point za Dodoma Jiji,,sasa na wewe elekea uko mapema!
 
Wachezaji wao kibao akiwemo yule duka Kennedy wanamiss. Hata aibu hawaoni. Ila waache wabebane, sisi tunapita nao wote na kimataifa tunaendelea kushaini. Siku wakija kushtuka upuuzi wanaofanya watakuwa wamechelewa saana.
Kimataifa unashaini na robo fainali ama una ziada?
 
Siku hizi wachawi mnawanga mcha kweupeee bila hofu. Haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…