kabisa hadi hapa tulipo haikuwa rahisi ni milima na mabonde...Mungu hajaacha tuaibike bffHata sasa ni Mungu katufikisha, alikotutoa ni mbali
Ahsante sisy Mama anauma sana, nilishawahi kununua zawadi nikaenda kuviacha kwenye kaburi lake nikaondoka.Yeah,u hv to cry Ili upunguze maumivu.....pole sana
Asante sana mkuu,Pole sana Kamandaππ
Kwa kweli πππππ Inaumiza sana mkuu ....sana
Asante Mkuu!Mzee wangu aliteseka sana.ππππ Pole sana mkuu
Na wewe pia pole sana.ππππ Pole sana mkuu
AmeenR.I.P Baba
πππππ
Am humbled πPole sana mkuu π
Yeah,mama ni wa muhimu sana.Pole sana cuteAhsante sisy Mama anauma sana, nilishawahi kununua zawadi nikaenda kuviacha kwenye kaburi lake nikaondoka.
Nikiona rafiki zangu wanawapigia simu mama zao naumia km mtu ananichoma kisu chenye ncha kali πππ
[emoji120]muombee azidi kulala salama, i feel your pain and i plan to help you lessen your struggles.Pole bff ni maumivu makali tunapitia, mimi nikiona mada km hizi nakimbia kabisa sitaki kukumbuka hapa leo nitalia Sanaβa [emoji17][emoji17]
Naamini ataendelea kukulinda na kukupigania daimaaHata sasa ni Mungu katufikisha, alikotutoa ni mbali
unapiga chenga sana pombe ndo inatumaliza mzeeKupitia Uzi huu inaonesha, Wanaotangulia kufa ni Sisi akina Baba then baadaye kabisa akina Mama.
Mungu asaidie pamoja na majukumu yetu ya kazi ambayo huwa ni hatarishi kwa sehemu kubwa, basi atufanye nasi tufikie Umri wa Uzee.
Tunapowaacha Wake zetu na watoto wadogo huwa wanapata tabu sana ya kuwalea peke yao.
Imagine una kufa mtoto wako wa kiume hata hajafanyiwa tohara, angalia Jinsi Mama atakavyopata tabu kuuguza hicho kidonda maana hata principles zake hazijui masikini.
Imagine mtoto wako baada ya barehe amekuwa hamsikilizi Mama yake tena, laiti ungekuwa hai sauti yako moja tu ingemtosha mtoto kubadirikaπ«π«