Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] siku nikitupia nitakutag maana wewe ndio mlinzi wa ule uzi muda mwingi upo active kudaka vocha za Mjep.
Weeeeee hapo kwenye vocha unanionea best kwanza mie nishashindwaga kukimbizana na madogo kuwahi vocha madogo wana speed hatare nauzee huu nitawaweka wapi mie!!?🤔🤔😉
 
Wewe mwanzoni Smartphone alikukataza usiweke picha ulipokuwa unamuomba ruhusa. Ila Sasa hivi ndio umekuwa Concord
🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂!! Awamu mpya hii buana 🤸🤸🤸🤸🤸💃💃💃💃😂😂🤣🤣,!!
Nakaribia kustaafu kule narudi home Sweet home MMU!!🤭🤭😉
 
Ila huwa naona unawaita mashost zako wawahi hizo vocha, Ila huwa zinachukuliwa na watu ambao hata sio member.
Yeah mie nawaitaga bana !! Ila. midamida zikiwekwa wakakaa masaa huko bila kuja napita nazo mwenyewe Kuliko zibebwe na wakulungwa 🤣🤣🤭🤭
 
Unapokuwa Mwalimu Pisi Kali madogo(wanafunzi) nao wankumendea, ulishagundua Hilo?
Jamanii.... !! pisi kali my foot!!! Poyoyo tu mie!! Halafu unaharibu Uzi wawatu ujue twende uwanja wa kujidai jamanii!!
 
Usikimbie kijiwe MMU kukumbizana na damu changa nayo kazi. Ila nyie walimu Mnaweza kupambana na vijana.
Kwamba sie tunakaa na wajinga hata 500+ mjinga mmoja wawili hawatusumbui Akili kabisa ausio [emoji1787][emoji1787][emoji8][emoji1787][emoji2960][emoji2960][emoji2214][emoji2214]!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…