[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mbavu cna woiiiiiihUthibitisho unachukua hatua ndefu, shortcut nayo kuuziwa mbuzi kwenye gunia ni nje nje[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tana tuma na ya kutolea kabisa[emoji3][emoji3]
Na former username or??? Hata Sikumbuki walai....!! !!! Nazeeka vibaya mwenzio!!Comment mojawapo nilikutakia heri ya siku ya kuzaliwa.
PoleAcheni hizo hicho kitu hatuwezagi, unaanzaje kwa mfano? Mwanamke kaumbiwa aibu. Binafsi siwezi mtamkia kaka neno lolote la kimahusiano kama hajaanza yeye.
kama ingekuwa ni rahisi basi mimi Mungu kanikutanisha na mtoto wa mkubwa no moja hapa mjini cha ajabu sina hata pa kuanzia.
tulikutana kikazi na kazi hiyo naendelea nayo pamoja nae ila ndo hivyo tena.
In short huyu kaka ana status kubwa dah.ila yupo charming. Tunaongelea maswala ya kazi tu. Kwa kweli nimemuelewa sio kwa sababu ya status ya familiya yao bali kaka mwenyewe yuko simple anaongea vizuri, dah akiongea kikiristo ndo utamu wake ulipo.
Jl wewe mtoto wa mama mkwe mmmh.
Nimeamini ukimuona mtu face to face ndo moyo unatoa jibu. Humu jf ya kufichana wacha yabaki hivyo hivyo.
Huyu kaka anakuwa mtu wa pili kumuelewa tangu nizaliwe, wa kwanza, hatukuweza kufikia malengo, sasa hivi anaishi na maisha yake huko mbali.wapili ndo huyu sidhani hata kama nitamsogelea ana status kubwa mno . Anyway nimeshare tuuuuuu.sina maana nyingine.
Kama ana akili basi kimasiala umekwishaAcheni hizo hicho kitu hatuwezagi, unaanzaje kwa mfano? Mwanamke kaumbiwa aibu. Binafsi siwezi mtamkia kaka neno lolote la kimahusiano kama hajaanza yeye.
kama ingekuwa ni rahisi basi mimi Mungu kanikutanisha na mtoto wa mkubwa no moja hapa mjini cha ajabu sina hata pa kuanzia.
tulikutana kikazi na kazi hiyo naendelea nayo pamoja nae ila ndo hivyo tena.
In short huyu kaka ana status kubwa dah.ila yupo charming. Tunaongelea maswala ya kazi tu. Kwa kweli nimemuelewa sio kwa sababu ya status ya familiya yao bali kaka mwenyewe yuko simple anaongea vizuri, dah akiongea kikiristo ndo utamu wake ulipo.
Jl wewe mtoto wa mama mkwe mmmh.
Nimeamini ukimuona mtu face to face ndo moyo unatoa jibu. Humu jf ya kufichana wacha yabaki hivyo hivyo.
Huyu kaka anakuwa mtu wa pili kumuelewa tangu nizaliwe, wa kwanza, hatukuweza kufikia malengo, sasa hivi anaishi na maisha yake huko mbali.wapili ndo huyu sidhani hata kama nitamsogelea ana status kubwa mno . Anyway nimeshare tuuuuuu.sina maana nyingine.
Asijisumbue unazani napisi ngapi huyo huyo aache maji yatiririke yenyewe akimbabakia ndo asahau man watu kama hao hawana nyegeTongoza, acha kujivunga.
Utaula wa chuya kwa uvivu wa kuchagua.
Kijua ndio hiki, usipouanika utautwanga mbichi.
Kalaghabaho!
Weee sie wakongwe hatumuogopi Hm wala nene!!Hii hii,usiku mwema ticha lesson plan una andaa saa ngapi?, Kuna shule ya govt niliwahi kuona asubuhi zinakusanywa headmaster anagonga muhuri.
Si kmasiala tu geuza moja ya tongozo zako bora uitumie kwaa ulie muelewa .Siweziiii shoss nishazoea kutongozwa mie kwanza nina aibuuu kama zote!!
Hahahahaaaa... umenikumbusha kitu Nimecheka walai...kuna mtongozo mmoja huo Huwa nacheka sina mbavuuuuuSi kmasiala tu geuza moja ya tongozo zako bora uitumie kwaa ulie muelewa .
Mmeshindwa hta kukariri mitongozo mnayo pewa?
Sugar...don't be like that!!😏 I just needed a minute to collect my thoughts.🤓The politely way of saying Fu!ck off vinci😞
View attachment 2290767
Wameonyesha udhaifu wao hata kwenye utani wameshindwa dahKumbe wadada ni waoga kiasi hiki[emoji3]
Hem kua jasili utumie huoHahahahaaaa... umenikumbusha kitu Nimecheka walai...kuna mtongozo mmoja huo Huwa nacheka sina mbavuuuuu
Mwehh..wa kiboya sijawahi ona... 🤣🤭🤭Hem kua jasili utumie huo
Tumia huo tupime uboya wenyeweMwehh..wa kiboya sijawahi ona... [emoji1787][emoji2960][emoji2960]
Huo wakitoto sana sijui niseme yani Sijui hata niuweke kundi gani hata;!Tumia huo tupime uboya wenyewe
Cha ajbu mki wekwa ju mjipimie mnjituma kweli mnakwama wapiii
Kiukweli nimetokea kuvutiwa naweHi babe