π€π€π€π€π€π€π€π€ππππ!Kuna moja hiyo ulikuwa pembeni ya gari.wewe toka kitambo kabla ya uzi wa picha ulikuwa unapost picha humu. Siku nimeona picha kule kwenye uzi wenu na kina HS nikasema hii pisi Kali ndio ilijificha kwenye zile pensi na mashati ya draft,duh ilikuwa Almas mchangani
Sasa muombe uthibitishooo wee Dr, unakwama wapiiii?Sina uhakika kama Ke au Shoga
Kwan siku hizi kuna kutongoza? Si pesa tyuuh.Fanya ndio utaona kama nitatanya hivyo au la
Sina hofu, uwanja upo wazi kwa mdada yeyote ambaye anaweza kupiga sound ili nione umariradi wake. Huyo jamaa nimemjibu vile kulingana na swali lake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu nawee tongozaaa, nioneeeSitoki hapa [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe nawe wapitaga kimya kimya kulee????? Vibaya hivoo mida mida uwe unanisalimia bana!!!! Twende basi ukatupie nikuone best yangu mie!!!Haya twendeπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈKuna moja hiyo ulikuwa pembeni ya gari.wewe toka kitambo kabla ya uzi wa picha ulikuwa unapost picha humu. Siku nimeona picha kule kwenye uzi wenu na kina HS nikasema hii pisi Kali ndio ilijificha kwenye zile pensi na mashati ya draft,duh ilikuwa Almas mchangani
Hahaha nimeiisahau,jukwaa ambalo haukufika ni JLW(jukwaa la wakubwa) enzi hizo. Kuilikuwa na Magroup ya WhatsApp la MMU, na Ujenzi la membe wa JF enzi hizo.[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]!
Your former username pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siweziiii.Ebu nimwagie mistari
Siweziiii shoss nishazoea kutongozwa mie kwanza nina aibuuu kama zote!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu nawee tongozaaa, nioneee
Hebu tongozaaa kwan?Haka ka mtego nimekapenda!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siweziiii shoss nishazoea kutongozwa mie kwanza nina aibuuu kama zote!!
Weeeee JLW nakosaje mie weehh nilikuepo mbona!! kuna mwamba Makaveli10 alikua noumaa sana kuleee!!Hahaha nimeiisahau,jukwaa ambalo haukufika ni JLW(jukwaa la wakubwa) enzi hizo. Kuilikuwa na Magroup ya WhatsApp la MMU, na Ujenzi la membe wa JF enzi hizo.
Huwezi isahau kirahisi fanya kunitajia bana!!Hahaha nimeiisahau,jukwaa ambalo haukufika ni JLW(jukwaa la wakubwa) enzi hizo. Kuilikuwa na Magroup ya WhatsApp la MMU, na Ujenzi la membe wa JF enzi hizo.
Siwezi mie!!!Hebu tongozaaa kwan?
Huyo alikuwa anawatia nyegezi nyie mabebez kwa maandishi yake.Weeeee JLW nakosaje mie weehh nilikuepo mbona!! kuna mwamba Makaveli10 alikua noumaa sana kuleee!!
Sema kule nilikua msomaji zaidi kuliko kuchangia
Mnoooooooooooo!! Ebu twende ukatupie kule kwanza nikuone namie sikubalii!!!Huyo alikuwa anawatia nyegezi nyie mabebez kwa maandishi yake.
Uthibitisho unachukua hatua ndefu, shortcut nayo kuuziwa mbuzi kwenye gunia ni nje njeπππSasa muombe uthibitishooo wee Dr, unakwama wapiiii?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tana tuma na ya kutolea kabisaππKwan siku hizi kuna kutongoza? Si pesa tyuuh.