Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Ilikua kitambo sana mkuu Saivi nishakua mmama!!😉😉Zamu yenu sasa,Kuna kipindi ulikuwa unavaa kitom boy(kwenye avatar yako). Nakumbuka miss chaga aliwahi kukuzingua uache zile pensi zako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikua kitambo sana mkuu Saivi nishakua mmama!!😉😉Zamu yenu sasa,Kuna kipindi ulikuwa unavaa kitom boy(kwenye avatar yako). Nakumbuka miss chaga aliwahi kukuzingua uache zile pensi zako.
Siku nyingi Madam,umekuwa mama Ila pisi ya kwenda.Ilikua kitambo sana mkuu Saivi nishakua mmama!![emoji6][emoji6]
Mwehh!! 😉Siku nyingi Madam,umekuwa mama Ila pisi ya kwenda.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanaume tujichanganye tuone Kinachofuata nn
View attachment 2290416
Nimecheka sana!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
upo too energetic, Enjoy the moment.Mwehh!! [emoji6]
wakuja tu mie!!
🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️!! 😉😉😉😉🤔🤔🤔🤔🤔🤔upo too energetic, Enjoy the moment.
Ebu nimwagie mistariKumekuchaaaaah!
Shusha mistari mlongoHalafu nikimtongoza,akinikibalia natuma na yakutolea??
Anza na mimiEbu nikapike kwanza then nije tongoza mtu hapa naeza okota dodo mie!! [emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214]
Nikapike kwanza mkuu au nitakuta washakuwahi[emoji6][emoji6][emoji848]??Anza na mimi
Hamna wewe kapike tu utanikutaNikapike kwanza mkuu au nitakuta washakuwahi[emoji6][emoji6][emoji848]??
Hamna wewe kapike tu utanikuta
HayaSawa ole wako sasa[emoji6]!!
Humuhumu Watu wanadate mbona!!!!!! Humu mambo ni Mambo ni moto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Tunataka Jamii dating app Sasa Mana watu wamepamba Moto😎