stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Ni comedy master kiraka yaan naziba comedians wote unaowajua na unaowakubariComedy master kiraka ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni comedy master kiraka yaan naziba comedians wote unaowajua na unaowakubariComedy master kiraka ni nini?
Waambieni madogo wafanye comedy sio maigizo ya comedyNi sahihi si kwa kumchukia mtu asiyemjua na asiye na msaada kwenye maisha yake.
Makasiriko yako umeyalipia kiasi ganii...Tambua Kila mtu ana njia yake ya kutoboa kama hupendezwi nae pita kushoto maana hakuongezei Wala kukupunguzia chochoteHuyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,
Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.
Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye
Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU
Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Typical African, wivu roho mbaya, umaskini umeshatufanya vibaya sanaHuyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,
Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.
Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye
Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU
Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Mwalimu wa Chuo gani cha Comedy na kina accreditation gani?Tayari nimeshaupdate hilo hapo juu jaribu kusoma nimekwambia Mimi ni comedy master yaan hao unawaona kwenye majukwaa walimu wao Mimi ndio Mwalimu wao ushaelewa au nirudie tena?
Wewe jifunze Kiswahili kwanza ujue tofauti ya kubari na kubali.Ni comedy master kiraka yaan naziba comedians wote unaowajua na unaowakubari
Waambieni madogo wafanye comedy sio maigizo ya comedy kuna madogo wapo Bench huku wakiingia uwanjani hawatopata Namba tenaHapana mleta mada hana wivu...
Ila anachofanya sasa anazingua kuna watu tunamkubali sana huyu jamaa.
Ni miongoni mwa watu ambao nipo nao karibu sana, anachofanya anazingua sio mtu mmoja anaelalamika hvi wapo wengi tu..
Sasa end of day asipostuka atazimwa ajifunze kwa wenzake kina joti...
Kuna Kiswahili na lugha zetu za asili hata kingereza hua tunamix hivyo hivyo Mkuu kwa hio chukulia km umeelewa umemaanisha niniWewe jifunze Kiswahili kwanza ujue tofauti ya kubari na kubali.
Anazingua sana.... Tena sana tuu hata blaza coy aliwahi mwambia hili ila dogo anachotetea et content....Waambieni madogo wafanye comedy sio maigizo ya comedy kuna madogo wapo Bench huku wakiingia uwanjani hawatopata Namba tena
Hayupo humu huyo jamaaUnaweza kuta huyo mtoa mada ndio Leonardo mwenyewe anapima upepo na kujiongezea umaarufu hii ndio bongo.
Alafu unaweza kuta wewe unaemtetea hapa ni baba levo yani JF ni balaa unaweza hata kumtukana mkweo bila kujua.Hayupo humu huyo jamaa
Broo achana na hizo mambo nyege zitakuua, msubiri demu wako arudi kutoka kwa Mr PutinCarleen njoo Pm, tuzungumze unaonekana una akili.
Jf haijawa na watu wengi kiasi ambacho ushindwe kujua mtu wako wa karibu kama baba mkwe kama yupo au laa mkuu...Alafu unaweza kuta wewe unaemtetea hapa ni baba levo yani JF ni balaa unaweza hata kumtukana mkweo bila kujua.
Kwa maana nyingine wewe ni wakuja mshamba ambaye hata Kiswahili hujui unayejifaragua kufundisha watu comedy sio?Kuna Kiswahili na lugha zetu za asili hata kingereza hua tunamix hivyo hivyo Mkuu kwa hio chukulia km umeelewa umemaanisha nini
Mimi ni comedy master kiraka Kiswahili kimelala hapa unataka kusemaje kwani Wewe kule juu mboni ulikua unaandika broken nikawa nakuchukulia kawaida tu ingawa nasoma naona hapa ulikua anamaanisha niniKwa maana nyingine wewe ni wakuja mshamba ambaye hata Kiswahili hujui unayejifaragua kufundisha watu comedy sio?
Hujui tofauti ya l na r katika Kiswahili.Mimi ni comedy master kiraka Kiswahili kimelala hapa unataka kusemaje kwani Wewe kule juu mboni ulikua unaandika broken nikawa nakuchukulia kawaida tu ingawa nasoma naona hapa ulikua anamaanisha nini