Leonardo aache kujiona msomi, kama ni degree kila mtu anayo

Leonardo aache kujiona msomi, kama ni degree kila mtu anayo

Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,

Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.

Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye

Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU

Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Makasiriko yako umeyalipia kiasi ganii...Tambua Kila mtu ana njia yake ya kutoboa kama hupendezwi nae pita kushoto maana hakuongezei Wala kukupunguzia chochote
 
Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,

Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.

Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye

Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU

Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Typical African, wivu roho mbaya, umaskini umeshatufanya vibaya sana
 
Hapana mleta mada hana wivu...
Ila anachofanya sasa anazingua kuna watu tunamkubali sana huyu jamaa.

Ni miongoni mwa watu ambao nipo nao karibu sana, anachofanya anazingua sio mtu mmoja anaelalamika hvi wapo wengi tu..

Sasa end of day asipostuka atazimwa ajifunze kwa wenzake kina joti...
 
Tayari nimeshaupdate hilo hapo juu jaribu kusoma nimekwambia Mimi ni comedy master yaan hao unawaona kwenye majukwaa walimu wao Mimi ndio Mwalimu wao ushaelewa au nirudie tena?
Mwalimu wa Chuo gani cha Comedy na kina accreditation gani?

Na kwa nini kila mtu afanye comedy unavyotaka wewe, kwa nini kusiwe na nwalimu mwingine anayetaka comedy ya kivingine?
 
Hapana mleta mada hana wivu...
Ila anachofanya sasa anazingua kuna watu tunamkubali sana huyu jamaa.

Ni miongoni mwa watu ambao nipo nao karibu sana, anachofanya anazingua sio mtu mmoja anaelalamika hvi wapo wengi tu..

Sasa end of day asipostuka atazimwa ajifunze kwa wenzake kina joti...
Waambieni madogo wafanye comedy sio maigizo ya comedy kuna madogo wapo Bench huku wakiingia uwanjani hawatopata Namba tena
 
Kwa maana nyingine wewe ni wakuja mshamba ambaye hata Kiswahili hujui unayejifaragua kufundisha watu comedy sio?
Mimi ni comedy master kiraka Kiswahili kimelala hapa unataka kusemaje kwani Wewe kule juu mboni ulikua unaandika broken nikawa nakuchukulia kawaida tu ingawa nasoma naona hapa ulikua anamaanisha nini
 
Back
Top Bottom