Leonardo aache kujiona msomi, kama ni degree kila mtu anayo

Mwalimu wa Chuo gani cha Comedy na kina accreditation gani?

Na kwa nini kila mtu afanye comedy unavyotaka wewe, kwa nini kusiwe na nwalimu mwingine anayetaka comedy ya kivingine?
Nimekwambia Mimi Mwalimu wao sijasema nawafundisha kwenye Chuo gani Wewe jua tu walimu wao Mimi ndio Mwalimu wao hujaelewa uliza
 
Kama sio wivu basi mleta uzi ana gubu
Mimi nimemwambia kama haipendi ya mwenzake, atengeneze yake anayoiona nzuri yeye atuoneshe.

Wabongo wengi ni watu wanaopenda kuponda vya wenzao, wakati wao hawajafanya chochote.
 
Makasiriko😂
Kunya boga broo!.. na sasaivi anavyotrend uko YouTube ndo utanuna mpaka hiyo mim*a itoke.

All in all punguza chuki usipoangalia utafinywaa na wachawi wa himaya yenu idiot
 
Wewe mboni kule juu ulikua unaandika madudu sijakuumbua au Wewe unajua kuumbua wenzio tu Ila kujiumbua hujui?
Mimi sijawahi kujifaragua kuwa ni comedy master wala kukosoa comedy za watu.

Wewe umejifaragua hivyo.

Unapokosoa comedy ya mwenzako, wewe yako iko wapi tuiangalie tuifananishe na ya huyo unayemkosoa tujue umetengeneza kitu bora zaidi na huandiki kwa wivu na blaa blaa tu?
 
Wewe mboni una bolonga kingereza Mimi sisemi
 
Makasiriko😂
Kunya boga broo!.. na sasaivi anavyotrend uko YouTube ndo utanuna mpaka hiyo mim*a itoke.

All in all punguza chuki usipoangalia utafinywaa na wachawi wa himaya yenu idiot
Mimi nashangaa sana mtu anayeponda comedy ya kibongo.

Bongo kulikuwa hakuna comedy kabisa, ndiyo watu wanaanzisha.

Badala ya kuona kuwa hawa watu wanaanzisha industry, wapewe msaada na ushirikiano, mnawaponda.
 
Wewe mboni una bolonga kingereza Mimi sisemi
Unajua tofauti ya typographical error kwa sababu n na m zipo karibu kwenye keyboard na tatizo la kutojua tofauti ya l na r katika Kiswahili?

Pia, mimi sijasema ni master wala sijaponda comedy za watu, hata nikikosea sijajifaragua.

Wewe umejifaragua kuwa ni master na kukisoa comedy za watu. Ukikosea ni issue.
 
Jf haijawa na watu wengi kiasi ambacho ushindwe kujua mtu wako wa karibu kama baba mkwe kama yupo au laa mkuu...

Mi sio baba level bana ahahah
labda wewe huko ulipo ila kwa mimi nishakutana na watu kibao na ni watu wazima tu 50yrs kwenda juu kwenye simu zao wana JF App.
 
Na hiki ndicho nilichokuwa namaanisha kwamba watu wachague sehemu ambayo hufurahii hamna haja kumbeza mtu wewe shika njia nyingine ufanye machaguzi yanayofaa,,,, siku moja pia nilikuwa naongea na rafiki yangu akasema eliudi hajuui kuchekesha anachekesha kitoto! Nikamwambia huyo anayechekesha kitoto Kuna watu wazima wanamsikiliza na wanacheka Cha muhimu Kama hakuchekeshi wewe chagua anayekuchekesha umfurahie...ni simple tu
 
Huyo ni wewe sasa😴😄 mimi binafsi nimesomana naekewa maana ya kusoma ila sipendi mtu anayejikwrza kielimu kila mtu jadoma siku hizi
Hiyo ni content tu..ndo maana Kuna wanaochekesha Kama wanawake ilihali ni wanaume!!!! Kama humkubali wewe sio kuwa ni ushamba wapo wanaomkubali kwa ufupi unaweza usimfuatilie ukaanza kufuatilia wajanja ukaachana na huyu mshamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…