Leonardo aache kujiona msomi, kama ni degree kila mtu anayo

Leonardo aache kujiona msomi, kama ni degree kila mtu anayo

Mwalimu wa Chuo gani cha Comedy na kina accreditation gani?

Na kwa nini kila mtu afanye comedy unavyotaka wewe, kwa nini kusiwe na nwalimu mwingine anayetaka comedy ya kivingine?
Nimekwambia Mimi Mwalimu wao sijasema nawafundisha kwenye Chuo gani Wewe jua tu walimu wao Mimi ndio Mwalimu wao hujaelewa uliza
 
Makasiriko😂
Kunya boga broo!.. na sasaivi anavyotrend uko YouTube ndo utanuna mpaka hiyo mim*a itoke.

All in all punguza chuki usipoangalia utafinywaa na wachawi wa himaya yenu idiot
 
Wewe mboni kule juu ulikua unaandika madudu sijakuumbua au Wewe unajua kuumbua wenzio tu Ila kujiumbua hujui?
Mimi sijawahi kujifaragua kuwa ni comedy master wala kukosoa comedy za watu.

Wewe umejifaragua hivyo.

Unapokosoa comedy ya mwenzako, wewe yako iko wapi tuiangalie tuifananishe na ya huyo unayemkosoa tujue umetengeneza kitu bora zaidi na huandiki kwa wivu na blaa blaa tu?
 
Mimi sijawahi kujifaragua kuwa ni comedy naster wala kukosoa comedy za watu.

Wewe umejifaragua hivyo.

Unapokosoa comedy ya mwenzako, wewe yako iko wapi tuiangalie tuifananishe na ya huyo unayemkosoa tujue umetengeneza kitu bora zaidi na huandiki kwa wivu na blaa blaa tu?
Wewe mboni una bolonga kingereza Mimi sisemi
 
Makasiriko😂
Kunya boga broo!.. na sasaivi anavyotrend uko YouTube ndo utanuna mpaka hiyo mim*a itoke.

All in all punguza chuki usipoangalia utafinywaa na wachawi wa himaya yenu idiot
Mimi nashangaa sana mtu anayeponda comedy ya kibongo.

Bongo kulikuwa hakuna comedy kabisa, ndiyo watu wanaanzisha.

Badala ya kuona kuwa hawa watu wanaanzisha industry, wapewe msaada na ushirikiano, mnawaponda.
 
Wewe mboni una bolonga kingereza Mimi sisemi
Unajua tofauti ya typographical error kwa sababu n na m zipo karibu kwenye keyboard na tatizo la kutojua tofauti ya l na r katika Kiswahili?

Pia, mimi sijasema ni master wala sijaponda comedy za watu, hata nikikosea sijajifaragua.

Wewe umejifaragua kuwa ni master na kukisoa comedy za watu. Ukikosea ni issue.
 
Jf haijawa na watu wengi kiasi ambacho ushindwe kujua mtu wako wa karibu kama baba mkwe kama yupo au laa mkuu...

Mi sio baba level bana ahahah
labda wewe huko ulipo ila kwa mimi nishakutana na watu kibao na ni watu wazima tu 50yrs kwenda juu kwenye simu zao wana JF App.
 
Juzi tulikuwa tunaongea mazungumzo fulani ya siasa watu wengi.

Wengine walikuwa wanaongea sana, wengine tunasikiliza sana.

Basi kuna jamaa mmoja alikuwa anasema sana, dada mmoja kila akimsikia huyo jamaa anacheka, anasema kuwa huyo jamaa anamchekesha sana maneno yake.

Mimi nilishangaa sana. Kwa sababu sikuona kwamba maneno ya yule jamaa yalikuwa yanachekesha sana. Kwa sababu maneno yalikuwa ya kisiasa zaidi. Wala hakukuwa na mpango wa kuchekesha watu.

Kwa nini nimetoa habari hii?

Habari hii ilinifikirisha sana kuhusu kuchekesha ni nini, na nani anachekesha.

Watu tuko tofauti sana, na sababu za mtu kuchekeshwa na kitu gulani ni complex sana. Kuna watu wanaweza kuchekeshwa na sauti ya mtu tu, au muonekano wake tu, bika kujali atasema nini. Kuna watu wanachekeshwa na maneno ya mtu tu, bika kijali anaongelea nini.

Nikaja kukubali kwamba, kila mtu ana uhuru wa kuamua nini kinamchekesha, na hiyo ninhaki yake.

Na hivyo, kampeni kubwa ya kusema hiki hakichekeshi, ni kampeni ya ajabu.

Kitu kisipochekesha, acha kuangakia, fanya wewe unachofikiri kinachekesha, ukiweke sokoni watu walinganishe.

Kama chako kinachekwsha zaidi, kitamfunika tu huyo mtu asiyejua kuchekesha.

Sasa wewe hujafanya lolote unabeza watu waliojaribu kwa sababu hawajafanya unavyotaka wewe?

Pengine, inawezekana kuwa, kuna vichekesho vya watu wenye akili kubwa na vichekesho vya watu wenye akiki ndogo. Halafu, wakati watu wenye akiki ndogo wanafurahia vichekesho vyao bika tabu, watu wenye akili kubwa wanawaingikia na kuwaambia "Hivi si vichekesho, havifai".

This is imposing. As long as watu wanafurahia hivyo vichekesho, waacheni.

Kama.nyie mna vichekesho vyenu vya watu wenye akiki kubwa, fanyeni wenyewe mvifurahie.

There is highbrow and lowbrow comedy, why do you want to force everything to be what you want?
Na hiki ndicho nilichokuwa namaanisha kwamba watu wachague sehemu ambayo hufurahii hamna haja kumbeza mtu wewe shika njia nyingine ufanye machaguzi yanayofaa,,,, siku moja pia nilikuwa naongea na rafiki yangu akasema eliudi hajuui kuchekesha anachekesha kitoto! Nikamwambia huyo anayechekesha kitoto Kuna watu wazima wanamsikiliza na wanacheka Cha muhimu Kama hakuchekeshi wewe chagua anayekuchekesha umfurahie...ni simple tu
 
Huyo ni wewe sasa😴😄 mimi binafsi nimesomana naekewa maana ya kusoma ila sipendi mtu anayejikwrza kielimu kila mtu jadoma siku hizi
Hiyo ni content tu..ndo maana Kuna wanaochekesha Kama wanawake ilihali ni wanaume!!!! Kama humkubali wewe sio kuwa ni ushamba wapo wanaomkubali kwa ufupi unaweza usimfuatilie ukaanza kufuatilia wajanja ukaachana na huyu mshamba
 
Back
Top Bottom