Leonardo aache kujiona msomi, kama ni degree kila mtu anayo

Hakika Jf ni chimbo la Greatthinker
 
Kifupi watu wanataka kulazimisha wenzao kwamba wanachokiona wao kinachekesha ndicho kinachochekesha.

Yani ni aina fulani ya kuwaburuza watu na kuwashikia akili.
 
Kifupi watu wanataka kulazimisha wenzao kwamba wanachokiona wao kinachekesha ndicho kinachochekesha.

Yani ni aina fulani ya kuwaburuza watu na kuwashikia akili.
Lakini pia ni kukubali kuwaza kwa ufinyu! Maana ukiwaza kwa mapana unatambua kuwa si kila linalokufurahisha wewe litamfirahisha mwingine na so kila likuchukizalo wewe litamchukiza mwingine wawaache vijana wajitafute ili mradi hawavunji Sheria wasiwavute nyuma
 
Mkuu wewe kabila gani, mbona una dharau sana!
 
Punguza hasira kila mtu atajisifia tu, usimkabie kwa juu mwenzio. Tuliza kozazi.
 
Picha iko wapi? wengine hatuangaliagi hivyo vichekesho
 
Naam.

Hususan kwa kitu ambacho hakina formula kama comedy.

Comedy si chemistry useme haya maji tunajua formula yake ni H2O, tunaweza kuyapima tujue yana impurities kwa asilimia ngapi.

It's absurd.
 
Unamuonea wivu mwanaume mwenzyo lol
Mtu mpaka kuanzisha uzi ujue kimemkaa sana kashindwa kujizuia.

Yani kuna watu wangapi wanajinywea mataptap wanayotaka wao wenyewe, kwa raha zao, kwa nini wewe ujione una mamlaka ya kusema haya mataptap mabaya, kunyweni single malt Scotch Whisky au Champagne?

Kama Champagne hawaipendi wanaona ina uchachu je, utawalazimisha wapende Champagne kwa sababu umekaririshwa hiyo ndiyo pombe ya watu wa matawi ya juu?

Kwa nini hatuwaachii watu creative freedom wafanye wanavyotaka, halafu tuachie wanaopenda wapende, na wasiopenda watuoneshe yao bora zaidi tuione tulinganishe wenyewe?
 
Una mitizamo na character vya kiswahili sana,
Mbona kwenye siasa, mpira na muziki watu wanachambua wanasiasia, wachezaji, makocha na wanamuzuki na kutoa maoni yao? Kwa nini iwe nongwa mtu akitoa maoni kuhusu hao wanakomedi wenu ambao wengi wanafanya comedy za ubora mdogo??
 
Kwa nini comedians wenu wanafanya contents za mapenzi zaidi na vipato vya watu??
 
Yani mtu kujisifu usomi kwenye video za comedy zisizo na viwango watu wamekasirika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…