Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
Hakika Jf ni chimbo la GreatthinkerKwani dhambi kujisifu, wako wanajisifu wao wazuri wako wanajisifu wana pesa na wako wanajisifu wamezaliwa Kariakoo sasa kwani Kariakoo kazaliwa peke yake, ni mtu kajisifu sawa tu hakuna kosa wewe msikilizaji ndio utaamua kusikiliza au kupuuza. Asiseme degree yake sio anakufa ndio utasikia ana degree hapo tena itamsaidia nini?
Kifupi watu wanataka kulazimisha wenzao kwamba wanachokiona wao kinachekesha ndicho kinachochekesha.Na hiki ndicho nilichokuwa namaanisha kwamba watu wachague sehemu ambayo hufurahii hamna haja kumbeza mtu wewe shika njia nyingine ufanye machaguzi yanayofaa,,,, siku moja pia nilikuwa naongea na rafiki yangu akasema eliudi hajuui kuchekesha anachekesha kitoto! Nikamwambia huyo anayechekesha kitoto Kuna watu wazima wanamsikiliza na wanacheka Cha muhimu Kama hakuchekeshi wewe chagua anayekuchekesha umfurahie...ni simple tu
Nyie wahindi njaa mna shida sanaCecil Rhodes aliwaita watu weusi "the most despicable specie of human beings"
Lakini pia ni kukubali kuwaza kwa ufinyu! Maana ukiwaza kwa mapana unatambua kuwa si kila linalokufurahisha wewe litamfirahisha mwingine na so kila likuchukizalo wewe litamchukiza mwingine wawaache vijana wajitafute ili mradi hawavunji Sheria wasiwavute nyumaKifupi watu wanataka kulazimisha wenzao kwamba wanachokiona wao kinachekesha ndicho kinachochekesha.
Yani ni aina fulani ya kuwaburuza watu na kuwashikia akili.
Mkuu wewe kabila gani, mbona una dharau sana!Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,
Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.
Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye
Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU
Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Nyie wa kwenu ndio wawasemee, mi nimemsemea wa kwangu.Kwa HIYI siye wrngine hatunaga akili
Naam.Lakini pia ni kukubali kuwaza kwa ufinyu! Maana ukiwaza kwa mapana unatambua kuwa si kila linalokufurahisha wewe litamfirahisha mwingine na so kila likuchukizalo wewe litamchukiza mwingine wawaache vijana wajitafute ili mradi hawavunji Sheria wasiwavute nyuma
alie ishia form4 yeye sio msomi?Wa
Watu wenye roho ya kichawi huwa hawakosi cha kusema.
Mimi wala sijawahi kuona ubaya wowote maana kama angekuwa anajivuna na elimu yake asingejichanganya na watu waliofeli form 4 kufanya comedy angejitenga au asingefanta kabisa comedy
Mtu mpaka kuanzisha uzi ujue kimemkaa sana kashindwa kujizuia.Unamuonea wivu mwanaume mwenzyo lol
Una mitizamo na character vya kiswahili sana,Na hiki ndicho nilichokuwa namaanisha kwamba watu wachague sehemu ambayo hufurahii hamna haja kumbeza mtu wewe shika njia nyingine ufanye machaguzi yanayofaa,,,, siku moja pia nilikuwa naongea na rafiki yangu akasema eliudi hajuui kuchekesha anachekesha kitoto! Nikamwambia huyo anayechekesha kitoto Kuna watu wazima wanamsikiliza na wanacheka Cha muhimu Kama hakuchekeshi wewe chagua anayekuchekesha umfurahie...ni simple tu
Kwa nini comedians wenu wanafanya contents za mapenzi zaidi na vipato vya watu??Mimi naona mleta mada una wivu. Alisema Snoop Dog kwamba ukiona kijana mdogo anauza maji juani nunua hata kama huna kiu kwasababu angeweza kuuza madawa ya kulevya akiwa kivulini. Hawa vijana wadogo tuwasapoti kwa kuweza kujiajiri kupitia vipaji vyao. Sanaa ya uchekeshaji ni ngumu kuliko unavyodhani.
TEKU-kama TCU inakitambua shida iko wapi? Mengine yote mbwembwe tu.Wahitimu wa TEKU unatuonaje?
Kwa sababu hawafanyi contents zisizo za mapenzi zaidi na mapato ya wanyama pori.Kwa nini comedians wenu wanafanya contents za mapenzi zaidi na vipato vya watu??
Basi wafanye contents za siasaKwa sababu hawafanyi contents zisizo za mapenzi zaidi na mapato ya wanyama pori.