Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
Hakika Jf ni chimbo la GreatthinkerKwani dhambi kujisifu, wako wanajisifu wao wazuri wako wanajisifu wana pesa na wako wanajisifu wamezaliwa Kariakoo sasa kwani Kariakoo kazaliwa peke yake, ni mtu kajisifu sawa tu hakuna kosa wewe msikilizaji ndio utaamua kusikiliza au kupuuza. Asiseme degree yake sio anakufa ndio utasikia ana degree hapo tena itamsaidia nini?