Tumia akili dogo. Wanaishi bure wanakula bure. Unadhani angeamua kuifanya hiyo guest yake biashara ya Lodge angeingiza laki ngapi kwa siku?
Tumia akili dogo. Wanaishi bure wanakula bure. Unadhani angeamua kuifanya hiyo guest yake biashara ya Lodge angeingiza laki ngapi kwa siku?
Tumia akili dogo rasi. Kumbuka wanakaa bure. Kula bure. Kulala bure.
Ovyoo wivu tuHakuna kabila la washamba hapa Tanzania kama wachaga. Halafu ni wezi kwelikweli unapokaa na mchaga kuwa makini sana
Vitu tumezoeya kuviona kwenye documentary za India ila leo hii tumeona vimetokea Manzese.🤣🤣🤣Dah siamini kama tumefikia hatua hii
Sometimes baadhi ya wachaga walio wengi hawana utu na ni wajinga sana.Kila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.
Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.
My take:
Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.
Source: TBC ardhio 4/1/2021.
imagine[emoji1751][emoji1751][emoji1751]Mwisho wa mwaka mtu anarudi milimani kuonesha mafanikio yake na wazazi wanacheka
Ila wamezidi khaaaa[emoji57][emoji57][emoji57]Usiseme ukamaliza ndugu.....
Wachaga ni Watu kama Watu wengine...wana yao mapungufu kama sisi wengine tulivyo na mapungufu
Si vema...kosa la mmoja kukusanya wote
Kuwa makini dogo
Jifunze adabu ya kuongea mbele za Watu
Ila wamezidi khaaaa[emoji57][emoji57][emoji57]
Punguzeni, ndo maana stone anawashindilia jiwe[emoji28]
Kila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.
Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.
My take:
Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.
Source: TBC ardhio 4/1/2021.
Guest houses zimekosa wateja analaza walemavuKila siku wanatoka kuomba mtaani na kumletea mapato jioni.
Malipo yao hupewa tu chakula na malazi. Walemavu hao amewakusanya kutoka mikoa mbali mbali Tanzania.
My take:
Watani zangu wachaga tuangalie njia zetu za utafutaji tusifikirie tu kwenda kuweka heshima Disemba nyumbani.
Source: TBC ardhio 4/1/2021.
Mbona huelewekiTatizo la Nchi nzima Chief
Anafaa kulaumiwa .....ila wapo wanaofaa kulaumiwa zaidi ya sana
Hawafai kuitwa majina makubwa...wala kupewa vile walivyopewa katika nafasi
Waroho haoooo
Waongo haooo
Waizi haooo
Wachafu haooo
Wazandiki haooo
Lau siku ardhi itafungua kinywa chake....itakuja kuwakataa kama wao si asili yake
Miwatu imevimba na kuvimbiwa..
Mijitu imenenepa na kunenepeshwa
Hawana nafasi ya kuitwa Watu....Bali ni Viatu
Si wana haoooo.....ni laana
Wachafuzi wakubwa wa mazingira na waharibifu
Wanafaa kuchapwa mpaka kuchapika
Ipo siku yao.....Punde tu watajua..