Leta experience yako kwenye haya mambo( pain ya kuliwa naul na demu, Raha ya kula nauli ya me na inawezekanaje watu wanaendelea kutuma nauli?)

Hapo wengine unakuta katuma pesa kubwa elfu 10 lkn kelele nyingi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sijui wenzao wanaotuma nauli ya flight tuwaweke wapi?
Ndo alotumiwa MOBETO NA RICK ROSS,, Yaani hiyo lazima uliwe
 
Hakuna secret service MJINGA na MPUMBAVU namna hii wa kuanzisha nyuzi za KIWAKI na za KIMASIKINI KIMAWAZO! ndomana vetting huwa si za mchezomchezo na zenye usiri mkubwa sana mpaka kumpata mtu ambaye anakwenda kuwa "OFFICIALLY SECRET SERVICE"kiasi kwamba hata muhusika hajui for years yuko under observation.

WACHA KUTUMIA HILO JINA KAMA UNAJUA WE NI MJINGA WA MAISHA!

Wacha muendelee kutawaliwa na kulialia hampati ajira na mmesoma kumbe wasomi uchwara VICHWANI ZERO KABISA!
 
Huyo dem doooh πŸ˜€πŸ˜€ sema wanajua kupanga matukio bas tu akili zao za kijinga bila kufikiria anampanga nan ndo huwaponza
 
Sister πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† daaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…