Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiliwa halafu ukapaniki,anashtuka.Ulimvuta kitaalam sana.Hilo wao hawalitambui, kuna malaya alinilia hela 40k, nkamuuliza ushakata tiket akanijibu amepata udhuru hata kuja kuna msiba kwao ghafla, nkapiga mahesabu asishtukie kuwa nimeshtuka kama ni tapeli. Nikampa pole nkamwambia hata hivyo nami nimebanwa kazini.
Sikuonesha kupanick jioni yake nkamtumia 20k ya pole kwa masiba na kumpeti peti, demu akazidi kunielewa. After 5 days nkamtumia 50k. Akajaa akaanza kujibebisha, yeye mwenyewe akaomba appointment, alivyofika nkamtoa out vinywaji sana mwenyewe anakunywa Mtakatifu Anne, taratibu ikaanza kumlegeza.
Kufika machinjioni nilimfanya kila tundu, na siku anarud nilimkatia tiket nkamwambia ntamrushia pesa kwa cm ya kula njian. Hakua hata na mia ya kula safarini.
Kuna mwamba alifanyiwa vetting... aisee,hadi yeye mwenyewe akashindwa kujua yalifahamikajeHakuna secret service MJINGA na MPUMBAVU namna hii wa kuanzisha nyuzi za KIWAKI na za KIMASIKINI KIMAWAZO! ndomana vetting huwa si za mchezomchezo na zenye usiri mkubwa sana mpaka kumpata mtu ambaye anakwenda kuwa "OFFICIALLY SECRET SERVICE"kiasi kwamba hata muhusika hajui for years yuko under observation.
WACHA KUTUMIA HILO JINA KAMA UNAJUA WE NI MJINGA WA MAISHA!
Wacha muendelee kutawaliwa na kulialia hampati ajira na mmesoma kumbe wasomi uchwara VICHWANI ZERO KABISA!
ahahaDahh kuna manzi moja nilimkatia tiket ya bus ya saul kuja mbeya na nikamtumia 50k ya matumiz njian akaingiA mitini! Ohhh eti asubuh wakat naenda maguful terminal nilipata ajali kumbe uzushi tuu
Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
[emoji1][emoji1]Na nimeshakula hela ya mama mmoja tulikubaliana nimfuate alipo kiuhalisia nilikua sina hela na yeye alikua anajua ndio najitafuta basi akatuma hela mm nikaamka asubuhi mapemaa nikaingia zangu sokoni kununua matunda na mazaga ya gengeni nikasingizia nimepata ajali nikatumiwa mpunga mwingine. Chanzo cha kula hela ni njaa zangu sikua na hela ya mzigo na pili nina kinyaa sana hilo limama linalazimisha ulipige denda dah hapo ndio mtihani unapoanzia maana ni mzee alafu mate yake nilikua naona kama yanavutika (udenda) Mungu tu anisamehe ila dunia hii kuna mengi
Daaah nikiunganisha tukio, uandishi wako asee wew jamaa utapigwa saan huo ni mwanzo tu had mtot wa makambako anakuzid akili 😂Nilituma nauli elf 10 mwezi machi katikati demu aje Mbeya mjini akitokea makambako. Alipofika nikamuelekeza lodge akaja na room kaingia. Usiku saa mbili anaomba yeye alale chini yaani atandike blankets kisa hayupo tayari Kwa mchezo. Hapo nilishaghalamia vi senti kadhaa vya matumizi akiwa huko na hiyo siku ilikua ni burudani tu. To make long story short, huyo Dem sikumla mpaka asubuhi aligoma. Nilijaribu Kila mbinu olishindikana na asubuhi nikampa nauli ya kurudi na Hela za matumizi jumla kama 50k. Alipotoka niliblock kila sehemu tusiwasiliane Tena.
Jana katumia sim ya rafiki yake anaomba Hela ya siku kuu nilicheka Kama mazuri. Nyie nauli zinauma na mwanamke ukiaminiwa aminika.
Apo kweny kumpa nauli asubuhi mjomb uliznguaNilituma nauli elf 10 mwezi machi katikati demu aje Mbeya mjini akitokea makambako. Alipofika nikamuelekeza lodge akaja na room kaingia. Usiku saa mbili anaomba yeye alale chini yaani atandike blankets kisa hayupo tayari Kwa mchezo. Hapo nilishaghalamia vi senti kadhaa vya matumizi akiwa huko na hiyo siku ilikua ni burudani tu. To make long story short, huyo Dem sikumla mpaka asubuhi aligoma. Nilijaribu Kila mbinu olishindikana na asubuhi nikampa nauli ya kurudi na Hela za matumizi jumla kama 50k. Alipotoka niliblock kila sehemu tusiwasiliane Tena.
Jana katumia sim ya rafiki yake anaomba Hela ya siku kuu nilicheka Kama mazuri. Nyie nauli zinauma na mwanamke ukiaminiwa aminika.
Precious miyeyusho sana saiv ana mtoto aisee