Kuwa single sio shidaAn easy life π
Shida sio wote wanaweza kubaki single
Pole sana bibiObviously moja ya mambo yanasumbua watu ni mapenzi mzee
πππKuwa single sio shida
Kwanini furaha yako itokee kwenye mahusiano? Kwamba yasipokuwepo unabaki na mood mbovu 24/7!!?
Hapa nilipo natafuta namna ya kumuacha mtu nakosa ππ
Kuwa single sio shida
Kwanini furaha yako itokee kwenye mahusiano? Kwamba yasipokuwepo unabaki na mood mbovu 24/7!!?
Hapa nilipo natafuta namna ya kumuacha mtu nakosa ππ
Hapana. Sms za miamala uwa sifuti kabisa.sasa si ungedelete na sms za miamala?
Joanah jitahidi unywe maji mengi na ule vizuri inasaidia sana mda mwingine huwa ni njaa tu. Ila kupenda usipopendwa/jaliwa ni mbaya sana isikie tu kwa jirani.
wewe unapenda sana kipindiHapana. Sms za miamala uwa sifuti kabisa.
zipotee zenyewe bahati mbaya kama nilibadili simu pasipo kufanya data transfer.
Kama hujawahi kutwa na tukio endelea kufuta π
Mimi Faza house hata anapokaa sijui.
Nachojua tar zikikaribia natuma tu hela.
Weee kuna sku ananiambia hajaona pesa. Na zishapita siku kibao tokea nimetuma.
Nikarudi ktk sms zangu nikasolve chap.
kutesa kwa zamu inaumaga hiyo, sahivi anakulilia baada ya kuona umebadilika sio mnyonge tenanilikuwa kwenye mahusiano ya hivyo...sijui aliniroga yule jamaaa yaani ilikuwa nashindwa kutoka for four years ups and down za kutosha, anakupiga tukio moja ananipooza na treats kadhaa nazubaa tu siondoki leo atanipa hiki kesho kile, tutaenda huku mara kule mradi tu anipooze.......hili la mwisho nikasema ya nini mieeeeeee nilisema basi na ikawa basiiiii sikuwahi kurudi nyuma ni ngumu sana ila nimejikuta nmeshazoea...anateseka yeye kwa sasa
4yrs? Hongera πππnilikuwa kwenye mahusiano ya hivyo...sijui aliniroga yule jamaaa yaani ilikuwa nashindwa kutoka for four years ups and down za kutosha, anakupiga tukio moja ananipooza na treats kadhaa nazubaa tu siondoki leo atanipa hiki kesho kile, tutaenda huku mara kule mradi tu anipooze.......hili la mwisho nikasema ya nini mieeeeeee nilisema basi na ikawa basiiiii sikuwahi kurudi nyuma ni ngumu sana ila nimejikuta nmeshazoea...anateseka yeye kwa sasa
anatamani ajue ni nani kanizindua nani natoka naye ila ndyo too late na simblock anateseka kuview status akituma sms hajibiwi wala call sipokei tuish humo khaaakutesa kwa zamu inaumaga hiyo, sahivi anakulilia baada ya kuona umebadilika sio mnyonge tena
Sijasema hayako good πPole ya nini? π
Usiniombee nikaja kuachika kweli bure...mahusiano yangu yako good
Yako good sasa pole ya niniSijasema hayako good π
Hamkorofishani nyie?
Hata the way una type inaonesha uko na ka "love ujeuri" kwa babe alaf huombi msamahaπ
ndyo maana nasema huyu mpare aliniloga sio bure.... na tulikuwa mbali mbali na sikuwahi mcheat kabisa mavideo call anapiga kila saa khakikisha nipo kazini kweli au nyumbani....aliniweza4yrs? Hongera πππ
Siwezi vumilia matukio ndani ya miezi 6β¦ mpaka kuna muda najiuliza nitaweza kweli mambo ya for better for worse, until death do us apart π
mnasemaga kwani? Naelewa hiyo hali maana nilishaishi humo ila nikafanikiwa kutoka.Oyaaaa sio mimi ππ