kamuulize kwanini hadi leo asange anaruka ruka na snowden harudi marekani...mkishapewa vijihela kidogo na hayo mashirika ndo mnapata nguvu ya kuchokonoa chokonoa kwa ajili ya posho...haya sasa kaanzisheni thread twitter mtaelewekaKutaka katiba mpya ni kuichokonoa Jamhuri kivipi?
Mtu akiwa na kosa kuna utaratibu wa kisheria wa ukamataji watu, Siyo kupelekewa na Noah na watu wasiojulikana na kuanza kuteka watu
Huyu anadai katiba mpya, wakati Assange alilikisha taarifa za nchi. Ni vitu viwili tofauti.kamuulize kwanini hadi leo asange anaruka ruka na snowden harudi marekani...mkishapewa vijihela kidogo na hayo mashirika ndo mnapata nguvu ya kuchokonoa chokonoa kwa ajili ya posho...haya sasa kaanzisheni thread twitter mtaeleweka
swala ni kuleta chokochoko na kuhatarisha usalama wa nchi..wanaita national security...na mara nyingi hawa watu huwa wanakua sponsored tu na hayo mataifga ya nje...na picha kubwa ni kua Tanzania ni kubwa kuliko hivyo viper DM wanavyopewaHuyu anadai katiba mpya, wakati Assange alilikisha taarifa za nchi. Ni vitu viwili tofauti.
Mbona hilo jukwaa hamkuliunda kipindi cha mwendazake?Kutaka katiba mpya ni kuichokonoa Jamhuri kivipi?
Mtu akiwa na kosa kuna utaratibu wa kisheria wa ukamataji watu, Siyo kupelekewa na Noah na watu wasiojulikana na kuanza kuteka watu
Utapewa ukuu wa wilaya endelea kutishatisha watu humu.Inabidi tuwachunguze nyinyi mnaoituhumu serikali, kwa kuwa malalamiko yenu yamebeba ajenda ya siri. Inawezekana mnamjua hiyo MTU alipo.
Wewe ni mjinga Serikali ipo kwaajili ya wananchi so lazima iongoze kwa matakwa yao sarikali haipo madarakani kutekeleza matakwa ya kikundi kidogo huu upumbafu ndio mliuleta na kuutetea wakati wa jiwe ni UJINGAYaani mnaichokonoa jamhuri mkinyooshwa kelele kibao..watanzania bana
Alaumiwe mama kwa hili, maana alishashauriwa sana awatupe watu wa mwendazake na hakutaka kusikia, the blame is on HER!!!Mama anatakiwa asafishe ule ukoko wa MwendazakeView attachment 1800206
Hata wakati wa Mwenda mlikuwa mkisema ni kikiHawa wanajaribu kutafuta kiki
Sasa hivi si mpo kwenye utawala wa sheria?Hata wakati wa Mwenda mlikuwa mkisema ni kiki
View attachment 1800212