LHRC: Tunalaani utekwaji wa Mwenyekiti wa Kamati ya Uzinduzi wa Umoja wa Kudai Katiba Mpya Tanzania (UKUKAMTA)

Nanai kawatuma watekaji hao wakati Magufuli hayupo!
 
Utekaji umerudi kwa sababu kivuli cha Kayafa bado kinatawala Tanzania.
 
Reactions: BAK
Naona wazee wa legacy wanaendelea kuilinda
 
Na hadi 2020 we pimbi inchi hii ilikua almost a gang of murderers and a failed state
 
Wewe nawe ni mtekaji? Mbona huna akili? Nini kazi ya mahakama? Jinga sana wewe!
 
Mama kaishasema yeye na Jiwe ni kitu kimoja, mnashangaa nini alisema askari wao wanamafunzo risasi tatu akukose hana kazi . Flee mwenyekiti wa kamati ya kudai katiba mpya please unknown men
 
Jinga wewe hatajakukuta shwain
 
Kwa Unafiki tulionao Watanzania na Chuki zetu bila kusahau na tabia yetu tuliyobarikiwa nayo ya Umbea, Uwongo na Uzushi nimekuwa mgumu sana Kuamini Taarifa kama hizi ambazo nimegundua wanaozianzisha baadae huja Kuneemeka Kiuchumi kutoka kwa wale wanaowatuma na Kuwatumikisha Kuichafua Tanzania na hasa Tawala iliyopo ambayo hawaipendi kutokana na Itikadi zao za Kisiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…