Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Ulitaka nikuzalishe wewe dogo? Usiwe na wivu. Nyie wanawake hampendani.Unajitahidi kujitetea sana baba keagan. Unapiga kazi gani kama kumzalisha tu mkeo umeshindwa hadi akapandikizwa mbegu huko China?
Ni bora uondolewe kwasababu ya kuhimiza uwajibikaji na uwazi kuliko kutoboa kibubu cha kodiMakonda awe makini. Kwa mtindo wake wa kazi Anatengeneza maadui wengi sasa kuna saa atajaa kwenye 18 anayemlinda atashindwa kumlinda.
Kazi gani mpumbavu mkubwa yule? Kudalilisha watu ndiyo kazi? Yule dada naye ni mwoga sana. Ilitakiwa ampe onyo la kutumia kauli za udhalilishaji. Ingekuwa ni mimi ningemjibu. ''Ndugu Pauli Makonda, naona sasa unavuka mpaka na unatumia cheo chako kunidhalilisha. Unadhani ukiwa mkuu wa mkoa uko juu ya sheria? Nani kakuambia nakutaka wewe? Ulipoteuliwa na rais ulitumwa kuja kutumia kauli chafu wakati unatekeleza kazi?Wewe unamchukia sana Makonda. Alikufanya nini? Mwache dogo anapiga kazi.
Ok. Kuna siku akija kutembelea ulipo nawe ongea kwa sauti ya kudeka au mahaba kisha akikusema mjibu hivyo. But na nyie wanawake sometime mnadeka sanaKazi gani mpumbavu mkubwa yule? Kudalilisha watu ndiyo kazi? Yule dada naye ni mwoga sana. Ilitakiwa ampe onyo la kutumia kauli za udhalilishaji. Ingekuwa ni mimi ningemjibu. ''Ndugu Pauli Makonda, naona sasa unavuka mpaka na unatumia cheo chako kunidhalilisha. Unadhani ukiwa mkuu wa mkoa uko juu ya sheria? Nani kakuambia nakutaka wewe? Ulipoteuliwa na rais ulitumwa kuja kutumia kauli chafu wakati unatekeleza kazi?
Ukuu wa Mkoa siyo cheo cha WahuniWewe unamchukia sana Makonda. Alikufanya nini? Mwache dogo anapiga kazi.
Ni cheo cha wa nani?Ukuu wa Mkoa siyo cheo cha Wahuni
Najua kwa ujuha wako kama wa Makonda unaniita mimi ni mwanamke ukidhani umenidhalilisha na wewe ni mjanja. Mimi huyu juha mwenzako Makonda hawezi kuingia kwenye anga zangu hata siku moja kwa sababu litakalompata atakuja kusimulia mpaka wajuu zake. Unadhani mimi ni kama hao wafanyakazi waoga wanaoitikia kila kitu ''ndiyo mheshimiwa mkuu wa mkoa?''.Ok. Kuna siku akija kutembelea ulipo naqe ongea kwa sauti ya kudeka au mahaba kisha akikusema mjibu hivyo. But na nyie wanawake sometime mnadeka sana
Wanashikwa na nani? Mwanamke kutokana na udhaifu wake akifanyiwa tofauti lazima atetewe lakini mwanamme tunaamini aweza jitetea SASA KAMA KUNA DUME LINASHIKWA MAKALIO NA LIMENYAMAZA HALIJITETEI hilo siyo tatizo la katibaJinsia KE ikiguswa tu ni udhalilishaji, huku wanaume kila siku wanashikwa mifereji na hakuna tamko!
Makonda fanya mchakato uwajibu hawaKituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa taarifa ya Onyo kwa Mkuu wa Mkoa Arusha, Paul Makonda baada ya kuonekana kwenye Video akitoa kauli za udhalilishaji dhidi Mtumishi wa Kike kutoka Longido
Akitoa taarifa hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dkt. Anna Henga, amesema ""Tumepokea kwa masikito Video inayomuonesha Mkuu wa Mkoa wa Arusha akimdhalilisha Mtumishi wa jinsia ya Kike kule Longido. Tunakemea vikali kauli hizo hasa kwa Mtu kama yeye Mkuu wa Mkoa"
Aidha, LHRC imemtaka Makonda kuomba radhi na kuacha tabia hiyo kwasababu inatweza Utu wa Mwanamke na kushusha juhudi za kutetea Haki za Wanawake huku Viongozi kama yeye wakitoa kauli zinatoa mifano mibaya kwa watu wengine
Kupitia Video hiyo, RC Makonda anasikika akimtaka Mtumishi huyo kuzungumza vizuri na si kama anaongea na mtu anayetaka kumposa au yuko kwenye Kitchen Party na pia yeye (RC) ana Mke mzuri
Acha mayai yajitotoe tuone nani kuku nan bata...!!! Kamwe kitoto cha bata hakilelewi na kuku ukiona kuku analea kitoto cha bata...ujue kuku ni bata aliyejifanya kuku.....!!! Nakupenda TANZANIAMakonda avuliwe Ukuu wa Mkoa