LHRC yamuonya Makonda kwa kumdhalilisha Mtumishi wa Kike mbele ya Umati wa Wananchi

Makonda awe makini. Kwa mtindo wake wa kazi Anatengeneza maadui wengi sasa kuna saa atajaa kwenye 18 anayemlinda atashindwa kumlinda.
Ni bora uondolewe kwasababu ya kuhimiza uwajibikaji na uwazi kuliko kutoboa kibubu cha kodi
 
Wewe unamchukia sana Makonda. Alikufanya nini? Mwache dogo anapiga kazi.
Kazi gani mpumbavu mkubwa yule? Kudalilisha watu ndiyo kazi? Yule dada naye ni mwoga sana. Ilitakiwa ampe onyo la kutumia kauli za udhalilishaji. Ingekuwa ni mimi ningemjibu. ''Ndugu Pauli Makonda, naona sasa unavuka mpaka na unatumia cheo chako kunidhalilisha. Unadhani ukiwa mkuu wa mkoa uko juu ya sheria? Nani kakuambia nakutaka wewe? Ulipoteuliwa na rais ulitumwa kuja kutumia kauli chafu wakati unatekeleza kazi?
 
Hivi Makonda ni nani katika nchi hii? Kwanini ni lazima aendelee kuwa kiongozi pamoja na makandokando yote?
 
Ok. Kuna siku akija kutembelea ulipo nawe ongea kwa sauti ya kudeka au mahaba kisha akikusema mjibu hivyo. But na nyie wanawake sometime mnadeka sana
 
Ok. Kuna siku akija kutembelea ulipo naqe ongea kwa sauti ya kudeka au mahaba kisha akikusema mjibu hivyo. But na nyie wanawake sometime mnadeka sana
Najua kwa ujuha wako kama wa Makonda unaniita mimi ni mwanamke ukidhani umenidhalilisha na wewe ni mjanja. Mimi huyu juha mwenzako Makonda hawezi kuingia kwenye anga zangu hata siku moja kwa sababu litakalompata atakuja kusimulia mpaka wajuu zake. Unadhani mimi ni kama hao wafanyakazi waoga wanaoitikia kila kitu ''ndiyo mheshimiwa mkuu wa mkoa?''.
 
Kuna yule Mama alikuwa Naibu Waziri kati ya Ujenzi au maji alimwambia mkandarasi site "akaze kiuno" mradi uishe kwa wakati.

Hope angeambiwa Ke wangeibuka hao akina Henga,
 
Jinsia KE ikiguswa tu ni udhalilishaji, huku wanaume kila siku wanashikwa mifereji na hakuna tamko!
Wanashikwa na nani? Mwanamke kutokana na udhaifu wake akifanyiwa tofauti lazima atetewe lakini mwanamme tunaamini aweza jitetea SASA KAMA KUNA DUME LINASHIKWA MAKALIO NA LIMENYAMAZA HALIJITETEI hilo siyo tatizo la katiba
 
Kusikiliza kero za watu wengi na huku ufumbuzi ukiwa wazi.
Inaleta hasira na mtu yoyote anaweza akaropoka chochote akiwa kwenye nafasi kama ya makonda.

Mfano:
Mtu anabaka mtoto wako, ukienda polisi unafukuzwa.
Halfu wewe unageuka kuwa mtuhumiwa.
unawindwa mpaka kwao nyumbani.
 
Tungeshangaa kama tukio hilo lingepita bila kukemewa. Kuna redio moja ya arusha ilirusha hewani mkwara huo kwa huyo dada. Kisa makanda ameng'ang'ana aongee vizuri kwenye maiki. Akamuambia hayo maneno dhalili. Kiongozi gani wa namna hiyo asiyejua kuchagua maneno ya kuongea kwa hadhi aliyonayo? Ni kama muhuni fulani hivi
 
Makonda fanya mchakato uwajibu hawa
 
Kuleanaleana huku ndio mwisho wasiku tunabaki tunalalamikalalamika tu, mtumishi wa umma anaulizwa maswali yanayohitaji majibu juu ya miradi ya maendeleo na fedha za umma anajibu kiboyaboya tu halafu bado mnataka abembelezwebembelezwe.

Watumishi wengi hawako serious na wanahitaji ambushi.
 
Hivi how the fuk is that brainless fat guy bado kiongozi?

The country is fuked with ignorance and pure stupidity.
 
Hiki kituo nacho ni bora kiitwe kituo cha polisi tu maana naona na kazi za polisi sasa ni zao za mahakama nizao yaani imekuwa ni taasisi ya kutetea haki za wananwake juzi oscar kala onyo leo makonda kala onyo mbona hamtoi onyo kwa Rais kutumia ndege kubwa kama ile kupigia misele huku ndege ya rais ipo? Au mbona hamtoi onyo kwa bunge kuto kujadili report ya CAG iliyopita maana lilidai kuwa baada ya bunge lililopita ingejadili report hiyo mpk leo limeanza bunge lingine na repprt nyingine imetoka yenye madudu kibao mbona hamtoi onyo kwa wizara ya ardhi double taxing zinazofanywa kwenye majengo hebu mwende huko onyo kwa RC utamfanya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…