LHRC yamuonya Makonda kwa kumdhalilisha Mtumishi wa Kike mbele ya Umati wa Wananchi

LHRC yamuonya Makonda kwa kumdhalilisha Mtumishi wa Kike mbele ya Umati wa Wananchi

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa taarifa ya Onyo kwa Mkuu wa Mkoa Arusha, Paul Makonda baada ya kuonekana kwenye Video akitoa kauli za udhalilishaji dhidi Mtumishi wa Kike kutoka Longido

Akitoa taarifa hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dkt. Anna Henga, amesema ""Tumepokea kwa masikito Video inayomuonesha Mkuu wa Mkoa wa Arusha akimdhalilisha Mtumishi wa jinsia ya Kike kule Longido. Tunakemea vikali kauli hizo hasa kwa Mtu kama yeye Mkuu wa Mkoa"

Aidha, LHRC imemtaka Makonda kuomba radhi na kuacha tabia hiyo kwasababu inatweza Utu wa Mwanamke na kushusha juhudi za kutetea Haki za Wanawake huku Viongozi kama yeye wakitoa kauli zinatoa mifano mibaya kwa watu wengine

Kupitia Video hiyo, RC Makonda anasikika akimtaka Mtumishi huyo kuzungumza vizuri na si kama anaongea na mtu anayetaka kumposa au yuko kwenye Kitchen Party na pia yeye (RC) ana Mke mzuri
Hivi siku hizi mwanamke hakemewi Kumbe.
Kila mtu siku hizi anatafuta pa kutokea
LHCR Nao wameona wasibaki Nyuma
Hii nchi ina laana si bure. Mbona wengi tu wanaingia makazini kwa rushwa za Ngono Hawana sifa za hiyo kazi wanayofanya Hilo hamsemi Mnasibiri siku akikemewa Kwa utendaji mbovu.....Hili nalo mkaliangalie
 
Hivi siku hizi mwanamke hakemewi Kumbe.
Kila mtu siku hizi anatafuta pa kutokea
LHCR Nao wameona wasibaki Nyuma
Hii nchi ina laana si bure. Mbona wengi tu wanaingia makazini kwa rushwa za Ngono Hawana sifa za hiyo kazi wanayofanya Hilo hamsemi Mnasibiri siku akikemewa Kwa utendaji mbovu.....Hili nalo mkaliangalie
Kukemewa ni sawa, mtindo wa kukemea si sawa. Angeweza kumkemea bila kuhususha masuala ya ngono au mkewe.
 
Makonda avuliwe Ukuu wa Mkoa
Shida ni moja mtu akiwa mkwel anaomekana kama anadharirisha kumbe hata jinsia ya kiume pia anaongea nao vilevile ko kunamda tukubali mabadiliko wananchi wanao lipa Kodi ndo wanajua maumivu wanayoyapata Kwa ubovu wa miundo mbinu
 
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa taarifa ya Onyo kwa Mkuu wa Mkoa Arusha, Paul Makonda baada ya kuonekana kwenye Video akitoa kauli za udhalilishaji dhidi Mtumishi wa Kike kutoka Longido

Akitoa taarifa hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dkt. Anna Henga, amesema ""Tumepokea kwa masikito Video inayomuonesha Mkuu wa Mkoa wa Arusha akimdhalilisha Mtumishi wa jinsia ya Kike kule Longido. Tunakemea vikali kauli hizo hasa kwa Mtu kama yeye Mkuu wa Mkoa"

Aidha, LHRC imemtaka Makonda kuomba radhi na kuacha tabia hiyo kwasababu inatweza Utu wa Mwanamke na kushusha juhudi za kutetea Haki za Wanawake huku Viongozi kama yeye wakitoa kauli zinatoa mifano mibaya kwa watu wengine

Kupitia Video hiyo, RC Makonda anasikika akimtaka Mtumishi huyo kuzungumza vizuri na si kama anaongea na mtu anayetaka kumposa au yuko kwenye Kitchen Party na pia yeye (RC) ana Mke mzuri
HUYU K* ANAJUONAGA KAMA MUNGU HAPA NCHINI NA SIJUI WANAMKUBALI NN NA HANA HADHI YA KUONGOZA BINADAMU
HAYA NDO MATOKEO YA SIASA ZA DRAMA.
 
Huyo juha mwenzako hana akili kama wewe. Kwani mimi nimekwambia nina tatizo la kuitwa mwanamke? Japo mimi ni mwanaume lakini mpumbavu kama wewe akiniita mwanamke kwa nia ya kunidhalilisha huwa naona fahari kwa sababu mama yangu ndiye role model wangu.
Umesema ungekuwa wewe nafasi yako ungejibu hivyo. Haya jibu dada mbona umepaniki sana. Just calm down haya mambo hayataki hasira. Itafika zamu yako.
 
Kama wanawake wanataka haki sawa
Mbona mnalalamika maneno ambayo mwanaume akipewa anaona NI poa tu?
Kama wanataka haki sawa wajikaze
Wasichague maneno ya kuambiwa
Angeambiwa Mwanaume maneno haya LHCR msingetojitokeza huku
Kwanza kuna Jamaa anaitwa Fred Arusha hapo kuna jambo lake tumemfichia tu kama kijana mwenzetu
 
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa taarifa ya Onyo kwa Mkuu wa Mkoa Arusha, Paul Makonda baada ya kuonekana kwenye Video akitoa kauli za udhalilishaji dhidi Mtumishi wa Kike kutoka Longido

Akitoa taarifa hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dkt. Anna Henga, amesema ""Tumepokea kwa masikito Video inayomuonesha Mkuu wa Mkoa wa Arusha akimdhalilisha Mtumishi wa jinsia ya Kike kule Longido. Tunakemea vikali kauli hizo hasa kwa Mtu kama yeye Mkuu wa Mkoa"

Aidha, LHRC imemtaka Makonda kuomba radhi na kuacha tabia hiyo kwasababu inatweza Utu wa Mwanamke na kushusha juhudi za kutetea Haki za Wanawake huku Viongozi kama yeye wakitoa kauli zinatoa mifano mibaya kwa watu wengine

Kupitia Video hiyo, RC Makonda anasikika akimtaka Mtumishi huyo kuzungumza vizuri na si kama anaongea na mtu anayetaka kumposa au yuko kwenye Kitchen Party na pia yeye (RC) ana Mke mzuri.


Pia soma:
- Makonda ashtakiwe kwa udhalilishaji alioufanya kwa mwanakamati huyu

- Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa walaani matamshi ya Paul Makonda

- Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za Watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wakati Samia anatukanwa kilikuwa hakijaanzishwa???🤣
 
Back
Top Bottom