Liberata Mulamula: Rais Samia alipanga kukutana na wapinzani lakini ratiba zikaingiliana

Liberata Mulamula: Rais Samia alipanga kukutana na wapinzani lakini ratiba zikaingiliana

Kufariki kwa Waziri wa Ulinzi kumempa nafasi ya kuwaondoa Mwigulu Nchemba majaliwa, Ndugulile, Bashungwa, Kabugi na Gwajima je atafanya hivyo? Ngoja tusubiri tuone. Sijui kama anaweza pia kumtumbua yule mrundi VP. Hawa bado wanaendelea kumuenzi dhalimu mwendazake.
Wamarekani wenyewe pamoja na ukubwa wao, pamoja na kuwa na miaka zaidi ya mia 2 tangu wapate uhuru, pamoja na kuwa taasisi imara kwa ngazi zote..Lkn walikataa kabisaa kuongozwa na Rais Mwanamke. Hilary Clinton pamoja na kwamba aligombea na mgombea dhaifu kabisaa Donald trump, lkn wamarekani waliona bora trump kuliko mwanamke. Mama yetu ameshaonyesha kuwa kazi ya urais siyo mchezo. Mama ni dhaifu Sana, washauri wake wanamdanganya kwa kumwambia usipowapiga chadema watakudharau kwa sababu we ni mwanamke.

Mama ni dhaifu Sana, watu wanaomdharau nadhani yeye mama hajawajua. Labda nimwambie hapa mama, hakuna mtu anamdharau km mwigulu nchemba. Huyu jamaa ni anamdharau mama hakuna mfano wake. Mwingine ni makamu wa Rais huyu kwanza anajiona yeye ndo Rais ndo maana hata ziara zake ni km Rais tu, anatoa Amri na anafuta watu wa kazi..halafu wakiwa na mama wanamchora tu kwa kujifanya watu wanyenyekevu. Mama akumbuke kwamba, wakati wa mwendazake Hilo kundi lote akiwemo mwendazake mwenyewe, walikuwa wanamdharau Sana mama.

Inasikitisha kuona kwamba mama badala ya kuifut a serikali ya mwendazake akaunda ya kwake ili kupata mawazo mapya. Lkn ameendelea na watu walewale wenye mawazo ya mwendazake halafu anataka watende anavyotaka! Kubwa zaidi tukubali mama nchi imemshinda
 
Wanaofaidika na hizi distractions ni wengi mkuu.

Ufalme ni gharama sana, Natamani Rais Samia angejua hilo. Amezungukwa na watu wajanja sana.
ndio wanamtia hofu akiachia uhuru wa siasa na katiba mpya kwamba hatakuwa salama
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kufariki kwa Waziri wa Ulinzi kumempa nafasi ya kuwaondoa Mwigulu Nchemba majaliwa, Ndugulile, Bashungwa, Kabugi na Gwajima je atafanya hivyo? Ngoja tusubiri tuone. Sijui kama anaweza pia kumtumbua yule mrundi VP. Hawa bado wanaendelea kumuenzi dhalimu mwendazake.
kuna uhusiano?
 
Wapinzani nawafananisha na abiria ndani ya boti wotw tupo safarini halafu anatokea abiria mmoja anaanza kutoboa boti mpinzanianaanza kufurahia kama zuzu kana kwamba hajui kitakachokuja kutokea kitawakumba wote........
Hapana Mkuu, hiyo ni wrong mentality ya upinzani. Wapinzani ni watu ambao sisi wote ni abiria tunasafiri pamoja katika boti imetengenezwa kwa muhogo, halafu wanaona nahodha na wasaidizi wake wanasikia njaa na wanaanza kumenyua na kutafuna vipande vya boti. Wanapopiga kelele acheni kutafuna boti, nahodha anasema watupwe baharini hao wanataka kutuua kwa njaa, halafu abiria kama wewe mnashangilia maneno ya nahodha eti wamuache asije kufa kwa njaa tukashindwa mtu wa kutufikisha tunakokwenda!
 
Rais awe makini. Wananchi walipigia kura ccm kwa hivyo kelele za chadema zisije kufanya ccm kutetereka kwa malengo yake. Chadema wanadai kuongoza wakati walishindwa kwenye uchaguzi. Hili samia awe makini kabisa.

Asifikiri akikutana na chadema wataacha malengo yao ya kutumwa na mabeberu kudai katiba ya kiliberali na serikali tatu ili muungano uvunjike.

Chadema wanataka katiba itakayotoa mwanya kwa wenye nacho kuweza kununua haki bila uoga. Wanataka katiba ambapo matajiri na wanasheria wataweza kuuza na kununua haki bila uoga. Huo ndio msingi uliyojificha wa demokrasia ya kiliberali kwa sisi afrika. Wamagharibi wanapenda tuwe na serikali legelege corrupt za kutimiza maslahi yao.
Ni katiba gani hiyo unayoizungumzia wewe?.au chadema wataiandika wenyewe na ata kama wataiandika wenyewe kamwe haiwezi kua na huo ujinga uliouandika hapa..jaribu kuficha ujinga wako japo kidogo maana Karne za ujinga ilishapita.
 
MULAMULA KAKOSEA KAULI YAKE ATI RAIS HAJAKUTANA NA WAPINZANI KWA KUA RATIBA ZIMEINGILIANA. UKWELI RAIS HAJAKUTANA NA WAPINZANI KWA KUA ALIOMBA APEWA MUDA.
Basi Malamula ni mudu wa kuwekwa kwenye mizani. Lakini labda aliambiwa aseme aliyosema na huyo raisi je?
 
Haya masuala ya katiba si ni mambo yetu ya ndani, sasa kuruhusu wazungu kuzungumzia mambo yetu ya ndani tena sebuleni kwetu mbona kama haijakaa sawa hivi.
Kama nyie mnavunja vitu sebuleni na kuumizana badala ya kutumia sebule vizuri kwenye maongezi mnategemea nini?

Tatizo watanzania tumekosa ustaarabu mpaka kwenye uongozi
 
Umesahau kusema kuhusu haki za binadamu na za kiraia waziri kasema marekani iko very serious, Samia asimchukulie poa.
 
Rais awe makini. Wananchi walipigia kura ccm kwa hivyo kelele za chadema zisije kufanya ccm kutetereka kwa malengo yake. Chadema wanadai kuongoza wakati walishindwa kwenye uchaguzi. Hili samia awe makini kabisa.

Asifikiri akikutana na chadema wataacha malengo yao ya kutumwa na mabeberu kudai katiba ya kiliberali na serikali tatu ili muungano uvunjike.

Chadema wanataka katiba itakayotoa mwanya kwa wenye nacho kuweza kununua haki bila uoga. Wanataka katiba ambapo matajiri na wanasheria wataweza kuuza na kununua haki bila uoga. Huo ndio msingi uliyojificha wa demokrasia ya kiliberali kwa sisi afrika. Wamagharibi wanapenda tuwe na serikali legelege corrupt za kutimiza maslahi yao.
Toa mifano ya serikali za aina ulivyovitaja kwenye hoja Yako tukubaliane! Vinginevyo hoja Yako ilitakiwa ijadiliwe enzi za Mao na siyo karne hii ya ushindani! Kama waliberali wanataka kusimika serikali zao mnapokea misaada Yao na kuwakaribisha ikulu Kwa bashasha ili iweje? Umefeli dogo!
 
Cheki huyo mama mzungu anavyomwangalia kwa dharau
 
Umesahau kusema kuhusu haki za binadamu na za kiraia waziri kasema marekani iko very serious, Samia asimchukulie poa.
Hao wanaweza kupindua meza,ukileta ujingaujinga.
 
Wanaofaidika na hizi distractions ni wengi mkuu.

Ufalme ni gharama sana, Natamani Rais Samia angejua hilo. Amezungukwa na watu wajanja sana.

Hapa juzi nilisema maneno haya;

I really pity my President Samia, and I can only imagine the kind of challenges she has to contend with in being President of this lovely country.

Of recent, I haven't been quite sure if President Samia is trying to impress on people her leadership style, or just responding to the whims of those around her, mostly sycophants. I get the impression she does not seem to have her own stance on some issues, she doesn't call the shots, she does not have the final say.

I may be wrong, and if I am wrong, then her presidency is in such a precarious situation. She should not be carried away by all the praises people sing and start absent mindedly dancing to the melodies. She needs to tread with care. She needs to remember one very critical thing; she cannot get away with everything that Magufuli got away with. Their circumstances are vastly different. She could be playing a very dangerous game, one that she might not be able to finish.
 
Tungekuwa ni watu tunaowajibika kwa nafasi zetu sidhani kama Waziri wa NJE angekuwepo mpaka muda huu ofisini.

Wizara ya NJE inasimamia Diplomasia (Hasa kwasasa tunasema Diplomasia ya Uchumi) kitendo tu cha Tanzania kutokuwa na washiriki katika michuano ya Olimpiki kilitosha kumuweka kando na Wizara ya NJE.

Ila hili la Rais kutokutana na Vyama Vya Siasa kwa wakati na kauli ya Waziri wa NJE amezidi kujionesha anapwaya kwenye nafasi aliyopo.
 
Pichani, Mzalendo akiwa Mazungumzoni na Beberu .

Hivi wenzetu ni kwamba wanatuoni ujinga wetu lakin wanatupotezea na kutucheka sana.
Mambo Kama haya ndio hutufanya tuonekane manyani, mpaka mzungu atushinikize ndio tuanze kujikomba heti tutakaa na kuzungumza duu.

Duuu! Mimi na familia yangu naukataa huu unyani kwa jina la ______ ninayemwamini
 
Back
Top Bottom