LICENSE TO KILL: Maslahi mapana ya taifa yanapozingatiwa!

So kwa kuwa wakumkemea waliishaondoka..ilikuwaje wakaamua kumumaliza watu amabao hawanagut au waliowamaliza BM na Am ndo walimumaliza na bawana yule harafu wanabadilisha story
Shina la mpapai si la mgomba....!!!!
 
Bm nimeipata code yake huyo Am nimeachwa naomba code halafu huyo agent wa Pentagon ndio nani?
Kaka mshana jr code please!,😎
 

Usichanganye kuhusu Usalama wa Taifa na Deep State, kimoja kina nguvu sana. Ndio maana kuna jamaa mmoja katika Jamhuri ya Stanza alikuwa anapenda kusema "Mniombee"
 

Sasa Tundu Antipas Lissu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…