The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Kafanyaje? Kitengo huwa hakifanyi makosa ya kijinga kama yale...
Kitengo huwa hakiachi foof prints
Kitengo huwa hakipangi mipango yake bar
Kitengo huwa hakipotezi ushahidi kindezi vile
DàahNaweza kudhani it was the biggest mishen since 1978/79
Umesomeka mkuu. Haya mambo haya ni hatari aisee!Tayari nimefanya kwa matakwa yako
Good point, thank you for this..!Tunaweza kuwa Taifa tajiri Kama watu usalama wakijikita kwenye Mambo ya msingi yanainua Taifa na tutabaki hivi hivi masikini na omba omba sababu ya kuendekeza siasa kwenye maslahi ya mapana ya Taifa [emoji1545][emoji1545][emoji1548][emoji1545][emoji1548][emoji1548]
Asante mkuu nimeshang'amua jambo, unajua kumbe ilikuwa code rahisi sana ila nilitumia nguvu kubwa kufikiria that's why nikawa napotea!Upo slow sana jaribu fatilia wakuu wazee wa kaunda utapata jibu
Naweza kudhani it was the biggest mishen since 1978/79
Hakika na ukizingatia kuwa 👇 👇 👇Mada nzito
it was too late kugundua kuwa shina la mpapai si la mgomba!
Achana nae.anaishi kwenye nadharia, eti kitengo hawafanyi makosa, hawa TISS naowafahamu ama wengine? Hata CIA hua wanafanya makosa halafu ndio ije kua TISS hawa wa UVCC? Aisee!Mshana Jr Binadamu ni mtu wa Makosa sana, Usimpe Imani hiyo Binadamu, pia ukumbuke anapopanga lake Mungu hupanga pia
kwa Apson hayupo ten?Apson
Rostan
Sasa unadhani nani alimufanyia na wakati walikuwa wanamfuatilia kwa mda na bado TL alukuwa akilipoti kuwa anafuatiliwaKafanyaje? Kitengo huwa hakifanyi makosa ya kijinga kama yale...
Kitengo huwa hakiachi foof prints
Kitengo huwa hakipangi mipango yake bar
Kitengo huwa hakipotezi ushahidi kindezi vile
kwani mwaka 1978/79 kukitokea niniNaweza kudhani it was the biggest mishen since 1978/79
Not for the professionals ndugu yangu, yale makosa yalikuwa ya kindezi mno... Achana na yote zile risasi 37 halafu bado una miss target... That was amateur ambush that left an enormous number of tracesMshana Jr Binadamu ni mtu wa Makosa sana, Usimpe Imani hiyo Binadamu, pia ukumbuke anapopanga lake Mungu hupanga pia
HIVI NI KWELI MWENDA ZAKE ALIKUWA NALINDWA NA MAJESHI YA NJE YQNAYOTUMIA UNIFORM ZA NJE KAMA MBOWE ALIVYODAI KWENYE PRESS RELEASE?JE INAWEKANA KATOKA NCHI KAMA YETU KUFANYIKA KITU KAMA HICHO TENA KWA UWAZI AU NI UWONGO WA KISIASA?Kulitengenezwa kitengo mbadala ambacho si cha taifa bali cha chama