Licha ya kupewa kashfa lakini bado vitu hivi ukianza kuvitumia ni ngumu kuacha!

Licha ya kupewa kashfa lakini bado vitu hivi ukianza kuvitumia ni ngumu kuacha!

Utaacha siku ukipata UKIMWI😃😃
Huo siwezi kuupata mkuu,wala siuhofii,hofu yangu ni kumkosea Mungu najua kuna kiberiti huko mbele ya safari.Unajua mtu ambaye hana hili tatizo anaweza kufikiri ni kujiendekeza lakini siyo hivyo, napambana kweli kweli mpaka nafikiri labda nina pepo la ngono.
 
Wataalamu wa masuala ya madawa ya kulevya wanadai kuacha madawa ya kulevya kama cocaine ndiyo suala gumu mno mnoo...wanadai kias cha starehe unayopata katika kusisimuliwa misuli ya mwili kwa ngono ni units ndogo sana kuliko kias cha starehe utakayopata kwa kusisimuliwa misuli ya fahamu ukitumia madawa ya kulevya.ni zaidi ya mara kumi wanavyodai.mpaka sasa hakuna rehab house ya kuacha pombe au sigara au kiti moto ila kuna rehab house kwa ajili ya madawa ya kulevya hasa cocaine...almost neary to impossible kuacha hiyo makitu..weka mbali na wakubwa kwa watoto .,wazee kwa vijana
 
Wataalamu wa masuala ya madawa ya kulevya wanadai kuacha madawa ya kulevya kama cocaine ndiyo suala gumu mno mnoo...wanadai kias cha starehe unayopata katika kusisimuliwa misuli ya mwili kwa ngono ni units ndogo sana kuliko kias cha starehe utakayopata kwa kusisimuliwa misuli ya fahamu ukitumia madawa ya kulevya.ni zaidi ya mara kumi wanavyodai.mpaka sasa hakuna rehab house ya kuacha pombe au sigara au kiti moto ila kuna rehab house kwa ajili ya madawa ya kulevya hasa cocaine...almost neary to impossible kuacha hiyo makitu..weka mbali na wakubwa kwa watoto .,wazee kwa vijana
Mbona zipo rehab za pombe?
 
Kwema Wakuu!

Kuna vitu bhana licha ya kupewa kashfa kadhaa na watu au Wataalamu WA Afya au Watu wa dini lakini ukijiingiza katika kumi na nane zao ujue kutoka sio kazi ndogo, yaani hutatoka kirahisi. Vitu hivyo ni;

1. Punyeto
Wengine mpaka wameoa lakini wameshindwa kuacha hii kitu.

2. Kitimoto
Huyu mnyama licha ya kupigwa vita na dini karibu zote, sio Waislam, sio Wakristo vitabu vyote vinaeleza kuwa ni najisi na haliwi lakini ukishakula nyama yake kutoka ni ngumu.

3. Sigara

Inasemekana ni rahisi kuacha pombe lakini mziki wa sigara sio mchezo. Kuacha mpaka uombewe.

4. Pombe

5. Chipsi Yai

Hiki chakula tuacheni masikhara ni kitamu kuliko vyakula vingi, hata Baga na pizza havioni ndani.
Licha ya kupigwa vita hasa Kwa wanaume lakini hiki chakula sio leo wala kesho kuachwa kuliwa.
Chips zege Kwa wanawake kuacha ni kitu ambacho hakiwezrkaniki,

6. Uzinzi na Kuchepuka
Ukishaanza kuchepuka kuacha ni kazi kubwa Sana.
Hakuna raha ya Mapenzi Kwa wanaume hasa Kwa mwanamke usiye na uhakika naye. Ukishajiingiza kwenye uzizi kutoka ni KAZI Sana.

7. Madawa ya kulevya

8. Ulozi

Wataalamu wa mambo wanakuambia ukijiingiza kwenye ulozi kutoka hutotaka utoke. Tena ukishaanza Kula nyama za watu.

Ongezea mengine
Kwenye ulozi, namwita Mshana Jr, yeye alitumbia ameacha.
Je aliwazaje?
 
Sigara sawa kuacha yaitaji mtu kujikata kabisa.Puli nayo kuacha ni rahisi Sana yaitaji uwe n msichana ambaye ukimuhitaji mdaa wwt anakuja,pombe zipo dawa zakuacha pia,
Pombe mkuu, imeniumiza kisaikolojia kwa miaka zaidi ya 5, kwa sasa nina miezi miwili.. Napambana nayo, nitatoboa hata punyeto pia.

Ila betting na kitimoto sitoacha..hahaha
 
Wataalamu wa masuala ya madawa ya kulevya wanadai kuacha madawa ya kulevya kama cocaine ndiyo suala gumu mno mnoo...wanadai kias cha starehe unayopata katika kusisimuliwa misuli ya mwili kwa ngono ni units ndogo sana kuliko kias cha starehe utakayopata kwa kusisimuliwa misuli ya fahamu ukitumia madawa ya kulevya.ni zaidi ya mara kumi wanavyodai.mpaka sasa hakuna rehab house ya kuacha pombe au sigara au kiti moto ila kuna rehab house kwa ajili ya madawa ya kulevya hasa cocaine...almost neary to impossible kuacha hiyo makitu..weka mbali na wakubwa kwa watoto .,wazee kwa vijana
Hii niliwahi sikia, wakat unaejaculate kale ni karaha kadogo sanaaa.

Ndio maana wazee wa unga mpaka udenda unatoka kwa marahaaaa alafu umuachishe, we acha kabisa.
 
Pombe mkuu, imeniumiza kisaikolojia kwa miaka zaidi ya 5, kwa sasa nina miezi miwili.. Napambana nayo, nitatoboa hata punyeto pia.

Ila betting na kitimoto sitoacha..hahaha
Pombe ni noma, mwaka wa 12 ila hakuna kukata tamaa. Betting niliiogopa toka mwanzo na ivyo vingine sio sana. Ukiwa na addiction mbili na zaidi kwa mara moja lazima ufe maskini.
 
Wakristo gani wnaosema Kitimoto ni haramamu...???? Una maruwani ehh

Wanaotumia Biblia wote na kuifuta na wanaotumia Quran wote na kuifuata wanajua Nguruwe ni haramu kulingana na maagizo ya huyo Mungu wa hivyo vitabu.

Achana na Hawa Wakristo wanaofuata tamaa zao na mashauri ya viongozi wao, hao wanakula chochote kulingana na matakwa ya Nafsi Yao.
 
Dah. Fegi fegi fegi! Aisee, maub waanze kuzitengeneza fupi fupi.
 
Yote nafanya hakuna nilichoshindwa kujizuia vyote vina nafasi katika maisha yangu sababu navifanya kwa sababu UKUM
 
Back
Top Bottom