Licha ya kupewa kashfa lakini bado vitu hivi ukianza kuvitumia ni ngumu kuacha!

Licha ya kupewa kashfa lakini bado vitu hivi ukianza kuvitumia ni ngumu kuacha!

Nyeto babalao

Nilikuwa nashangaa eti waliooa nao wanapiga,nikawa najiwazia wanawezaje lakin kumbe inawezekana kabisa

Unajua inawezekanaje,kama unapenda kumtia mkeo mpaka aridhike unajua anahitaji maandaliz mengi sana na unatakiwa ujiandae wewe usipate raha sana maana yake unatumia nguvu nyingi na muda mpaka kumfikisha anapostahili kwahyo ili kukwepa huo mlolongo siku zingine unaamua kujimaliza mwenyew tu
Nakumbuka baada ya kuweka nia ya kuacha kwa muda mrefu, hatimae mara ya mwisho niliamua kupiga puli kwa kutumia pilipili mbichi, yapata miaka zaidi ya 8 sasa ila ikitimia 10 ndio nitaamini kweli nimeacha.
 
Nyeto bado sijaacha.

Inaniwezesha kugonga Wanawake idadi yoyote Ile ,umri wowote ule kwa muda ninaotaka. Nafanya haya yote kwa sababu nalinda damu yangu isiingiliwe na magonjwaa. Na nikipata demu bao la kwanza hata kama na wenge kiasi Gani lazima litoke baada ya yeye kulowa ukeni kwa maji mengi, bao la kwanza huwa namwaga na kuunganisha, the time nimeunganishaa hamu ya mapenzi hupotea kwa sababu nakuwa teali nimemwaga na uume unataka kulala so napambana kuzuia uume usilale, so nitaendelea kumlizisha yeye kwanza kwa dk kama 15 then uume hupata nguvu Tena ukiwa ndani ya uke, then hamu ya ngono hurudi Tena pasipo mwanamke kunote kitu chochote.

Asee round ya pili kumwaga hunichukua muda sanaa Hadi mwanamke aseme nimechoka, asilimia kubwa wakati nafanya ngono natumia akili 80% na hisia 20% so kwa mwanamke kunigundua ni kazi sana , kwa sababu asilimia 80% natumia akili kuhack ubongo wake, then asilimia 20% natumia hisia ili namimi nipate Raha ya ngono.

Madhara ya nyeto mala nyingi napoteza concentration na kumbukumbu kwa haraka, ila faida yake kubwa inaniepushaa na tamaa ya ngono zembe maana Kuna kupataa maradhi ya damu.

Kuiacha ni rahisi sana ukipata mwanamke wa karibu mkaishi wote na ukaridhika nae kingono.
napambana na mimi niiache. ili vingine ulivyotaja sijawa addicted kabisa
 
Kwema Wakuu!

Kuna vitu bhana licha ya kupewa kashfa kadhaa na watu au Wataalamu WA Afya au Watu wa dini lakini ukijiingiza katika kumi na nane zao ujue kutoka sio kazi ndogo, yaani hutatoka kirahisi. Vitu hivyo ni;

1. Punyeto
Wengine mpaka wameoa lakini wameshindwa kuacha hii kitu.

2. Kitimoto
Huyu mnyama licha ya kupigwa vita na dini karibu zote, sio Waislam, sio Wakristo vitabu vyote vinaeleza kuwa ni najisi na haliwi lakini ukishakula nyama yake kutoka ni ngumu.

3. Sigara
Inasemekana ni rahisi kuacha pombe lakini mziki wa sigara sio mchezo. Kuacha mpaka uombewe.

4. Pombe

5. Chipsi Yai

Hiki chakula tuacheni masikhara ni kitamu kuliko vyakula vingi, hata Baga na pizza havioni ndani.
Licha ya kupigwa vita hasa Kwa wanaume lakini hiki chakula sio leo wala kesho kuachwa kuliwa.
Chips zege Kwa wanawake kuacha ni kitu ambacho hakiwezrkaniki,

6. Uzinzi na Kuchepuka
Ukishaanza kuchepuka kuacha ni kazi kubwa Sana.
Hakuna raha ya Mapenzi Kwa wanaume hasa Kwa mwanamke usiye na uhakika naye. Ukishajiingiza kwenye uzizi kutoka ni KAZI Sana.

7. Madawa ya kulevya

8. Ulozi

Wataalamu wa mambo wanakuambia ukijiingiza kwenye ulozi kutoka hutotaka utoke. Tena ukishaanza Kula nyama za watu.

Ongezea mengine
Punyeto, Sigara, Pombe, Uzinzi na Kuchepuka, Madawa ya kulevya... ukimpokea Yesu sawa na kukubali maisha yako yaongozwe na Roho Mtakatifu. Uwe na uhakika haya utashinda na utakuwa mtu mzuri tu.
 
Kwema Wakuu!

Kuna vitu bhana licha ya kupewa kashfa kadhaa na watu au Wataalamu WA Afya au Watu wa dini lakini ukijiingiza katika kumi na nane zao ujue kutoka sio kazi ndogo, yaani hutatoka kirahisi. Vitu hivyo ni;

1. Punyeto
Wengine mpaka wameoa lakini wameshindwa kuacha hii kitu.

2. Kitimoto
Huyu mnyama licha ya kupigwa vita na dini karibu zote, sio Waislam, sio Wakristo vitabu vyote vinaeleza kuwa ni najisi na haliwi lakini ukishakula nyama yake kutoka ni ngumu.

3. Sigara

Inasemekana ni rahisi kuacha pombe lakini mziki wa sigara sio mchezo. Kuacha mpaka uombewe.

4. Pombe

5. Chipsi Yai

Hiki chakula tuacheni masikhara ni kitamu kuliko vyakula vingi, hata Baga na pizza havioni ndani.
Licha ya kupigwa vita hasa Kwa wanaume lakini hiki chakula sio leo wala kesho kuachwa kuliwa.
Chips zege Kwa wanawake kuacha ni kitu ambacho hakiwezrkaniki,

6. Uzinzi na Kuchepuka
Ukishaanza kuchepuka kuacha ni kazi kubwa Sana.
Hakuna raha ya Mapenzi Kwa wanaume hasa Kwa mwanamke usiye na uhakika naye. Ukishajiingiza kwenye uzizi kutoka ni KAZI Sana.

7. Madawa ya kulevya

8. Ulozi

Wataalamu wa mambo wanakuambia ukijiingiza kwenye ulozi kutoka hutotaka utoke. Tena ukishaanza Kula nyama za watu.

Ongezea mengine
Smart phone
 
Mimi hapo namba 6 ndiyo msalaba wangu,najitahidi kweli kuacha kuchepuka lakini nashindwa mpaka namhurumia mke wangu kuwa emeingia chaka kuolewa na mimi
Ibilisi ni kiumbe mbaya sana ana king'ang'anizi sana
Usimsingizie ibilisi we padri
 
Kwema Wakuu!

Kuna vitu bhana licha ya kupewa kashfa kadhaa na watu au Wataalamu WA Afya au Watu wa dini lakini ukijiingiza katika kumi na nane zao ujue kutoka sio kazi ndogo, yaani hutatoka kirahisi. Vitu hivyo ni;

1. Punyeto
Wengine mpaka wameoa lakini wameshindwa kuacha hii kitu.

2. Kitimoto
Huyu mnyama licha ya kupigwa vita na dini karibu zote, sio Waislam, sio Wakristo vitabu vyote vinaeleza kuwa ni najisi na haliwi lakini ukishakula nyama yake kutoka ni ngumu.

3. Sigara
Inasemekana ni rahisi kuacha pombe lakini mziki wa sigara sio mchezo. Kuacha mpaka uombewe.

4. Pombe

5. Chipsi Yai

Hiki chakula tuacheni masikhara ni kitamu kuliko vyakula vingi, hata Baga na pizza havioni ndani.
Licha ya kupigwa vita hasa Kwa wanaume lakini hiki chakula sio leo wala kesho kuachwa kuliwa.
Chips zege Kwa wanawake kuacha ni kitu ambacho hakiwezrkaniki,

6. Uzinzi na Kuchepuka
Ukishaanza kuchepuka kuacha ni kazi kubwa Sana.
Hakuna raha ya Mapenzi Kwa wanaume hasa Kwa mwanamke usiye na uhakika naye. Ukishajiingiza kwenye uzizi kutoka ni KAZI Sana.

7. Madawa ya kulevya

8. Ulozi

Wataalamu wa mambo wanakuambia ukijiingiza kwenye ulozi kutoka hutotaka utoke. Tena ukishaanza Kula nyama za watu.

Ongezea mengine
Hapo ni vitu vinne tu ndiyo vina arosto ya kutosha kuweza kusumbua mtu kuacha naweza kusapoti.

Lakini vingine vyote ulivyovitaja hapo vinaachika kirahisi na kuvisahau.

Tukianzia sigara pamoja na madawa ya kulevya, vyote hivi vina arosto ya kufa mtu yenye kufanana na vikiisha kukukolea kuviacha ni lazima uweke mkakati madhubuti hasa.

Punyeto na kuchepuka hivyo navyo ni ulevi unaofanana pia, ambapo kuuacha kwake hadi ujikane nafsi yako ndiyo uweze kuvishinda!

Halafu sasa kuchepuka kwenyewe kusiwe kwa kifukara, kuwe ni kwa kutumia vishawishi vya fedha, ebhanaeeh yaani sijui hapo mtu utumie mbinu gani tu kuviacha!

Arosto ya uzinzi ikiisha kukukolea, hufikia hatua mtu akishapiga pesa, anatenga fungu kwa ajili ya kucheza na akili za wanawake, ni starehe ya ajabu sana hiyo, imekaa kama rushwa, mtoaji na mpokeaji wote wanapata raha.

Lakini suala la pombe na vyakula, kitimoto sijui chips yai, mbona ni rahisi sana kuviacha na ukavisahau kabisa, ugumu wake uko wapi?
 
Madawa ya kulevya na KAMARI (BETTING)
HIZO NYINGINE ZOOTE KUWACHA RAHISI SANA.
 
Sugaring,chumvi
Hivyo vitu vyote karibia ulivyovitaja
Ni addiction ,na matibabu yake unapewa sawa na mtumiaji wa madawa ya kulevya

Ova
Boss.
Chumvini nako Kuna addiction?
Duh.
Kuna addict humu unauemfahamu nimkagie ulimi?😅
 
Hatari sana, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Back
Top Bottom