Licha ya kupewa kashfa lakini bado vitu hivi ukianza kuvitumia ni ngumu kuacha!

Licha ya kupewa kashfa lakini bado vitu hivi ukianza kuvitumia ni ngumu kuacha!

Addiction mbaya sana hii, japo hupuuzwa
Kuna siku tupo na washikaji, tunajiuliza ikiwa sisi watu wazima hii mitandao tunashindwa kuitawala, je wadogo zetu wa primary, o level, a level na chuo inakuaje..

Hawana majukumu, ni hatari sana kizazi hiki, ila watu tunachukulia poa.

Nina mshikaji yeye insta anabidi atumie website tu, ataki app, na tiktok unailimit muda ila ukiisha unaongeza tena muda.

Social netwrk ni hatariii mnooo
 
Mimi hapo namba 6 ndiyo msalaba wangu,najitahidi kweli kuacha kuchepuka lakini nashindwa mpaka namhurumia mke wangu kuwa emeingia chaka kuolewa na mimi
Ibilisi ni kiumbe mbaya sana ana king'ang'anizi sana
Utafika kwa SIR GOD uko hoi
 
Wanaotumia Biblia wote na kuifuta na wanaotumia Quran wote na kuifuata wanajua Nguruwe ni haramu kulingana na maagizo ya huyo Mungu wa hivyo vitabu.

Achana na Hawa Wakristo wanaofuata tamaa zao na mashauri ya viongozi wao, hao wanakula chochote kulingana na matakwa ya Nafsi Yao.
Ndio maana nimekuambia wewe una maruwani
 
Nyeto babalao

Nilikuwa nashangaa eti waliooa nao wanapiga,nikawa najiwazia wanawezaje lakin kumbe inawezekana kabisa

Unajua inawezekanaje,kama unapenda kumtia mkeo mpaka aridhike unajua anahitaji maandaliz mengi sana na unatakiwa ujiandae wewe usipate raha sana maana yake unatumia nguvu nyingi na muda mpaka kumfikisha anapostahili kwahyo ili kukwepa huo mlolongo siku zingine unaamua kujimaliza mwenyew tu
 
1. Kuingia chumvini. Hii kitu hata Kama mwanamke hajaoga lazima uzame.
2. Mawaziri kupiga madili makubwa makubwa hasa wizara za fedha, maliasili, madini, tamisemi na ujenzi. Hata Kama mtu anamiliki magorofa Kariakoo. Kuwacha mpaka atenguliwe.
 
Kwema Wakuu!

Kuna vitu bhana licha ya kupewa kashfa kadhaa na watu au Wataalamu WA Afya au Watu wa dini lakini ukijiingiza katika kumi na nane zao ujue kutoka sio kazi ndogo, yaani hutatoka kirahisi. Vitu hivyo ni;

1. Punyeto
Wengine mpaka wameoa lakini wameshindwa kuacha hii kitu.

2. Kitimoto
Huyu mnyama licha ya kupigwa vita na dini karibu zote, sio Waislam, sio Wakristo vitabu vyote vinaeleza kuwa ni najisi na haliwi lakini ukishakula nyama yake kutoka ni ngumu.

3. Sigara

Inasemekana ni rahisi kuacha pombe lakini mziki wa sigara sio mchezo. Kuacha mpaka uombewe.

4. Pombe

5. Chipsi Yai

Hiki chakula tuacheni masikhara ni kitamu kuliko vyakula vingi, hata Baga na pizza havioni ndani.
Licha ya kupigwa vita hasa Kwa wanaume lakini hiki chakula sio leo wala kesho kuachwa kuliwa.
Chips zege Kwa wanawake kuacha ni kitu ambacho hakiwezrkaniki,

6. Uzinzi na Kuchepuka
Ukishaanza kuchepuka kuacha ni kazi kubwa Sana.
Hakuna raha ya Mapenzi Kwa wanaume hasa Kwa mwanamke usiye na uhakika naye. Ukishajiingiza kwenye uzizi kutoka ni KAZI Sana.

7. Madawa ya kulevya

8. Ulozi

Wataalamu wa mambo wanakuambia ukijiingiza kwenye ulozi kutoka hutotaka utoke. Tena ukishaanza Kula nyama za watu.

Ongezea mengine
mkuu Robert, hii Punyeto kuiweka namba 1 unamaanisha ndio king'ang'anizi sanaa na ngumu zaidi kwa muhusika kuachana nayo au uliiorodhesha tu hapo bila kuthaminisha kwa namba!?
 
Nyeto babalao

Nilikuwa nashangaa eti waliooa nao wanapiga,nikawa najiwazia wanawezaje lakin kumbe inawezekana kabisa

Unajua inawezekanaje,kama unapenda kumtia mkeo mpaka aridhike unajua anahitaji maandaliz mengi sana na unatakiwa ujiandae wewe usipate raha sana maana yake unatumia nguvu nyingi na muda mpaka kumfikisha anapostahili kwahyo ili kukwepa huo mlolongo siku zingine unaamua kujimaliza mwenyew tu
Amna Mtu anaye Piga puli au addicted nauwo mchezo akimuingilia mwanamke kuanzia bao ya pili anaweza asimwage mbk demu aseme kw sbb uyo mtu ume wake umezoea ngozi ngumu na kipenyo cha kujikadilia so ningumu kumwaga kwa Alaka Pia ahisi utamu wa ngono km akipiga puli
 
Back
Top Bottom