Licha ya kuwa kitovu cha mambo ya kimataifa hapa nchini jiji la Arusha lipo hoi kwenye miundombinu

Licha ya kuwa kitovu cha mambo ya kimataifa hapa nchini jiji la Arusha lipo hoi kwenye miundombinu

😀😀😀 anawasanifu kweli kweli imagine sensa ya majengo imefanyika kipindi ambacho ndio mji wa kiserikali unajengwa lakini imezidiwa magorofa zaidi ya mara 3 mapato ya tra kimkoa dom imezidiwa mara 3 na arusha na haupo bado utalii haujachanganya vizur
Mi nawaambiaga wasubiri serikali imagine kuwajengea majengo ya wizara wakae kwa kutulia wanaume tuwaonyeshe kaz
Mnachoshindwa kuelewa ni kwamba kama ambavyo Arusha ilipendelewa na Serikali pamoja na Dar Kwa miaka minhi ndio ikavutia na Biashara zingine Hadi kujengwa hayo magorofa ndivyo na Dom itaendelea ku enjoy upendeleo wa Serikali na hivyo kuvutia zaidi sekta binafsi na kuwapiku nyie wote ndani ya miaka 10 ijayo..

Ukitoka Dar,Dom ndio Jiji linajengwa Kwa Kasi magorofa ya private sector na Serikali Kwa Sasa kiasi kwamba Hadi sensa ijayo itaipita Arusha na kuwa ya pili baada ya Dar.. Tukutane 2032.
 
Na bado wanalia lia je Mwanza, Tanga na mbeya tutasemaje kila miradi mikubwa Dar, dodoma na arusha hazikosi.
Serikali ya CCM inakera sana badala Kila Kanda waweke Nguvu sawa Ili kukuza Majiji ya kikanda na kichocheo uchumi wao wanakomaa na Dar,Dom na Arusha tuu.Inatia hasira sana.

Huku kwingine ikiwa mwaka wa uchaguzi ndio wanajibaraguza,stupid zao.
 
UKWELI USIO PINGIKA ARUSHA NI JIJI ILA MIUNDO MBINU BADO SANA NA SIO ARUSHA TU MAJIJI YOTE HAYAJAJITOSHELEZA MIUNDOMBINU KAMA BARABARA MITARO YA MAJI KALAVATI MADARAJA FIRE STATIONS STENDI ZA DALADALA NA BUS OFISI NA MIUNDOMBINU YA MASHULE HOSPITALI. KIUFUPI TZ BADO HATUPO TULIPOTAKIWA KUWEPO WAPO WATU WATALETA USHABIKI KWENYE HILI ILA KWELI BADO UTABAKI PALE PALE UKITAKA KUAMINI INGIA GOOGLE MAP NENDA ARUSHA ALAFU WEKA SATELLITE UONE MJI ULIVYOKAA.
Dodoma je
 
Samia hajawahi weka Jiwe la msingi wa Ujenzi wa njia 4 huko Arusha.

Japan wametetereka kiuchumi hawawezi tena kufadhili Ile Barabara .

Arusha inapendelewa yaani hakuna hata mpira wa maana Wala mashabiki ila wanapelekewa uwanja wa AfCoN kisa eti Utalii.

Pia huko Mnajengewa Kumbi kubwa kabisa ya Mikutano KICC na Mji Mpya.
Nani amesema ahadi ya Japan haipo? Unaweza kunithibitishia? au ni ramli tu?
 
Serikali ya CCM inakera sana badala Kila Kanda waweke Nguvu sawa Ili kukuza Majiji ya kikanda na kichocheo uchumi wao wanakomaa na Dar,Dom na Arusha tuu.Inatia hasira sana.

Huku kwingine ikiwa mwaka wa uchaguzi ndio wanajibaraguza,stupid zao.
Sisi wametuona watudanganyie watu kutoka kanda ya ziwa ili tuwape kura wakati hakuna wanachofanya.
 
Usan
Nyie mumeambiwa usanifu wa njia 4 unaendelea 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Usanifu toka Mwaka 2002, Majiji yote yana njia nne mpka manispaa kama Singida, kigoma, Iringa, Ilemela, sumbawanga lakini jiji la Mwanza tu halina njia barabara ya njia nne sijui hii serikali ya mafedhuli huwa inatuonaje asee adi napata hasira sana .
 
Mnajengewa uwanja wa mpira mzuri zaidi ya allianz arena utaongeza uchumi wa jiji lenu ukiongeza na lile jengo la PAPU, mtakuwa na uchumi mkubwa kuliko Dar.
We ongea tu kama umeamka usingizini
Tunaleta mambo ya maana we unaleta siasa unaijua Allianz arena wewe
 
Samia hajawahi weka Jiwe la msingi wa Ujenzi wa njia 4 huko Arusha.

Japan wametetereka kiuchumi hawawezi tena kufadhili Ile Barabara .

Arusha inapendelewa yaani hakuna hata mpira wa maana Wala mashabiki ila wanapelekewa uwanja wa AfCoN kisa eti Utalii.

Pia huko Mnajengewa Kumbi kubwa kabisa ya Mikutano KICC na Mji Mpya.
hayo ya KICC Ni stori ya miaka 20 Sasa wewe bado upo ndotoni
stuka!
 
Back
Top Bottom