Licha ya kuwa kitovu cha mambo ya kimataifa hapa nchini jiji la Arusha lipo hoi kwenye miundombinu

Licha ya kuwa kitovu cha mambo ya kimataifa hapa nchini jiji la Arusha lipo hoi kwenye miundombinu

Miundombinu mibovu ndani ya jiji la Arusha.

  • Barabara za lami,ndani ya jiji la Arusha barabara nyingi za lami ni nyembamba na haziendani kabisa na wingi wa magari yaliyopo.
  • Barabara za vumbi,jiji la Arusha limezungukwa na barabara za vumbi kila kona,hii ni aibu kubwa sana kwa jiji ambalo ndiyo kitovu cha utalii nchini .
  • Stendi za daladala,hapa sio aibu tu bali ni fedhea ya hali ya juu mfano stendi ya hiace ya kilombero,samunge,kisongo,ngaramtoni,mbauda etc stendi zote hizi ni mbovu mno.
  • Stendi kuu,hapa ni zaidi ya aibu,stendi hii ni ndogo,chafu etc
  • Masoko,hapa pia pana kazi kubwa ya kufanya! Masoko yote yaliopo ndani ya jiji la Arusha yana-miundombinu mibovu kupitiliza.
Aibu kubwa pia ni kwamba makusanyo ya mapato ndani ya jiji la Arusha ni makubwa mno lakini fedha hazijulikani zinaenda wap?? Mkurugenzi wa jiji yupo,meya wa jiji yupo,mwenyekiti wa halmashuri yupo!!
Wengi mtakubaliana na mimi kwamba ukiondoka Arusha ukarudi hata baada ya miaka mitano utalikuta jiji lipo vilevile hakuna mabadiliko yoyote ya maana!!


Mamlaka husika chukueni hatua tafadhali hili jiji lipo overrated sana,kuna kazi kubwa ya kufanya ili hili jiji liendana na sifa linazopewa.
Kwenu ni wapi, we ni wa kuachwa tu uendelee na upumbavu na wivu wako. Ktk hivyo vitu ulivyovitaja mji wa Arusha unaulinganisha na mji upi hapa nchini. We poyoyo hufahamu nchi hii. Barabara nyembamba ulikuwa na futi kamba kuzipima? Nataka niwajulishe watanzania ambao hawajafika Arusha, Mjini kati yaani ndani ya CBD ya Arusha hakuna barabara ya vumbi naweza kusema hata moja tofauti na miji mingine hapa nchini. We una kale kaugonjwa kachuki, ila ndg yangu anayejenga miundo mbinu ni serikali na nchi yetu serikali ni moja.
 
Kwenu ni wapi, we ni wa kuachwa tu uendelee na upumbavu na wivu wako. Ktk hivyo vitu ulivyovitaja mji wa Arusha unaulinganisha na mji upi hapa nchini. We poyoyo hufahamu nchi hii. Barabara nyembamba ulikuwa na futi kamba kuzipima? Nataka niwajulishe watanzania ambao hawajafika Arusha, Mjini kati yaani ndani ya CBD ya Arusha hakuna barabara ya vumbi naweza kusema hata moja tofauti na miji mingine hapa nchini. We una kale kaugonjwa kachuki, ila ndg yangu anayejenga miundo mbinu ni serikali na nchi yetu serikali ni moja.
Wewe kwel Taira tena mkubwa! Nani kafanya comparison hapa?? Mimi ni mtu wa Arusha vitu nilivyoandika navijua acha ujinga wewe kiazi.
 
Wewe akili zipo sawa?? Hilo bunge serikali ndo imejenga? Hilo jengo serikali tu ndo imejenga?
😅😅Ndio maana nakwambia wewe kichaa ,huko mkoa ulipewa hadhi na promo ndio maana upo hapo kuna jengo gani la maaa zaidi ya hotel na ofisi au kuna nyumba ya baba ako ambayo ni gorofa kweny katikati ya mjii?

Hizo gorofa ndio zinafanya kuwe pale hovyo kabisa mshamba mkubwa.
 
Wewe kwel Taira tena mkubwa! Nani kafanya comparison hapa?? Mimi ni mtu wa Arusha vitu nilivyoandika navijua acha ujinga wewe kiazi.
Hamna neno taira ni tahira ,we jamaa hauna akili hayo maendeleo utayajua!?
 
😅😅Ndio maana nakwambia wewe kichaa ,huko mkoa ulipewa hadhi na promo ndio maana upo hapo kuna jengo gani la maaa zaidi ya hotel na ofisi au kuna nyumba ya baba ako ambayo ni gorofa kweny katikati ya mjii?

Hizo gorofa ndio zinafanya kuwe pale hovyo kabisa mshamba mkubwa.
Huna point hujui unachoongea fala tu another wasted sperm.
 

Miundombinu mibovu ndani ya jiji la Arusha.

  • Barabara za lami,ndani ya jiji la Arusha barabara nyingi za lami ni nyembamba na haziendani kabisa na wingi wa magari yaliyopo.
  • Barabara za vumbi,jiji la Arusha limezungukwa na barabara za vumbi kila kona,hii ni aibu kubwa sana kwa jiji ambalo ndiyo kitovu cha utalii nchini .
  • Stendi za daladala,hapa sio aibu tu bali ni fedhea ya hali ya juu mfano stendi ya hiace ya kilombero,samunge,kisongo,ngaramtoni,mbauda etc stendi zote hizi ni mbovu mno.
  • Stendi kuu,hapa ni zaidi ya aibu,stendi hii ni ndogo,chafu etc
  • Masoko,hapa pia pana kazi kubwa ya kufanya! Masoko yote yaliopo ndani ya jiji la Arusha yana-miundombinu mibovu kupitiliza.
Aibu kubwa pia ni kwamba makusanyo ya mapato ndani ya jiji la Arusha ni makubwa mno lakini fedha hazijulikani zinaenda wap?? Mkurugenzi wa jiji yupo,meya wa jiji yupo,mwenyekiti wa halmashuri yupo!!
Wengi mtakubaliana na mimi kwamba ukiondoka Arusha ukarudi hata baada ya miaka mitano utalikuta jiji lipo vilevile hakuna mabadiliko yoyote ya maana!!


Mamlaka husika chukueni hatua tafadhali hili jiji lipo overrated sana,kuna kazi kubwa ya kufanya ili hili jiji liendana na sifa linazopewa.
Umeongea ukweli kabisa arusha ni jina tu na maeneo machache mazuri ila miundombinu bado sana yaani bado sana japo hakuna mji uliokamilika ila kwa majiji yetu arusha nayo iangaliwe sio poa
 
Umeongea ukweli kabisa arusha ni jina tu na maeneo machache mazuri ila miundombinu bado sana yaani bado sana japo hakuna mji uliokamilika ila kwa majiji yetu arusha nayo iangaliwe sio poa
Bora wewe mkuu👏👏👏 kuna viazi hapa kama huyu Accumen Mo hajui chochote ni ushabiki tu
 
Huna point hujui unachoongea fala tu another wasted sperm.
Mpotezee wa kaskazini tupo na tungetetea ila ukweli usemwe. Yaani anatetea ujinga wakati saa hizi akiambiwa arudi uswahilini kwao anakazi ya kukunja suruali msamehe bure hajielewi.
 
UKWELI USIO PINGIKA ARUSHA NI JIJI ILA MIUNDO MBINU BADO SANA NA SIO ARUSHA TU MAJIJI YOTE HAYAJAJITOSHELEZA MIUNDOMBINU KAMA BARABARA MITARO YA MAJI KALAVATI MADARAJA FIRE STATIONS STENDI ZA DALADALA NA BUS OFISI NA MIUNDOMBINU YA MASHULE HOSPITALI. KIUFUPI TZ BADO HATUPO TULIPOTAKIWA KUWEPO WAPO WATU WATALETA USHABIKI KWENYE HILI ILA KWELI BADO UTABAKI PALE PALE UKITAKA KUAMINI INGIA GOOGLE MAP NENDA ARUSHA ALAFU WEKA SATELLITE UONE MJI ULIVYOKAA.
 
Miaka ya nyuma ilisemekana ni kutokana na wao kuchagua Upinzani.

Lakini majimbo yote kuanzia 2020 hadi sasa yapo chini ya Chama tawala lakini wameshindwa kujenga barabara wala stendi ya kisasa 🙌
 
Miaka ya nyuma ilisemekana ni kutokana na wao kuchagua Upinzani.

Lakini majimbo yote kuanzia 2020 hadi sasa yapo chini ya Chama tawala lakini wameshindwa kujenga barabara wala stendi ya kisasa 🙌
Mkuu point 👏👏👏
 
UKWELI USIO PINGIKA ARUSHA NI JIJI ILA MIUNDO MBINU BADO SANA NA SIO ARUSHA TU MAJIJI YOTE HAYAJAJITOSHELEZA MIUNDOMBINU KAMA BARABARA MITARO YA MAJI KALAVATI MADARAJA FIRE STATIONS STENDI ZA DALADALA NA BUS OFISI NA MIUNDOMBINU YA MASHULE HOSPITALI. KIUFUPI TZ BADO HATUPO TULIPOTAKIWA KUWEPO WAPO WATU WATALETA USHABIKI KWENYE HILI ILA KWELI BADO UTABAKI PALE PALE UKITAKA KUAMINI INGIA GOOGLE MAP NENDA ARUSHA ALAFU WEKA SATELLITE UONE MJI ULIVYOKAA.
Ni aibu
 
Back
Top Bottom