Watu wa Arusha hamna shukrani mnapendelewa sana na serikali ya mama SSH,mnataka awape nini ?Quantum au Hiace kubwa vile viford vyao kama mifugo ukikikuta cha kwa Mromboo kinavyokimbia ni balaa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa Arusha hamna shukrani mnapendelewa sana na serikali ya mama SSH,mnataka awape nini ?Quantum au Hiace kubwa vile viford vyao kama mifugo ukikikuta cha kwa Mromboo kinavyokimbia ni balaa..
Hiyo ndio sifa iliyotumika kuiita Geniva acha wapambane na hali zao.Quantum au Hiace kubwa vile viford vyao kama mifugo ukikikuta cha kwa Mromboo kinavyokimbia ni balaa..
Kila mradi wa kimataifa wanapata wao sijui wanataka wafanyiwe nini hawa wala ngada.Watu wa Arusha hamna shukrani mnapendelewa sana na serikali ya mama SSH,mnataka awape nini ?
..Labda wanaacha kuweka lami ili kulinda uasilia wa jiji kama ambavyo hairuhusiwi kuweka lami ndani ya hifadhi...😁😎Barabara za vumbi,jiji la Arusha limezungukwa na barabara za vumbi kila kona,hii ni aibu kubwa sana kwa jiji ambalo ndiyo kitovu cha utalii nchini .
Wanataka roho ya mama yetu mpendwa.Miji inayopendelewa kwa huge projects hapa nchini ni Dsm,Dodoma na Arusha, kwingine ni kama sio Tanzania sasa wana chuga mnataka mfanyiwe nini?
Eti tupo mavumbiniWapi walikojenga barabara nchi yote hii kutoa Dar, Dodoma wote tupo mavumbini.
Wajinga sana hawa watu tena mama wamshukru sana hiki kipindi wamependelewa sanaKila mradi wa kimataifa wanapata wao sijui wanataka wafanyiwe nini hawa wala ngada.
Arusha majitu mafisadi sana kuliko mji/jiji lolote na limeshindikanaWapo bize kubandika picha za mama Abdul barabarani na sio kurekebisha miundo mbinu iendane na sifa ya mji.
We acha tu, leo mtu anakuja kudhiaki eti barabara ya lami nyembamba, kwani huko arusha kuna foleni gani? Watu wanataka hata barabara za changarawe wanaishia kuziona kwenye tv.Eti tupo mavumbini
Ila hii Nchi bado tunasafari ndefu sana ya Maendeleo
😂😂😂 Umebadilisha kiazi wewe
Kiazi huyo hapo kweny picha ndugu yenu😅😅
Hili Jiji ni aibu kwa kweli na hangaya anazuru kila mara lakin sijui anafichwa na watendaji wakeMiundombinu mibovu ndani ya jiji la Arusha.
Aibu kubwa pia ni kwamba makusanyo ya mapato ndani ya jiji la Arusha ni makubwa mno lakini fedha hazijulikani zinaenda wap?? Mkurugenzi wa jiji yupo,meya wa jiji yupo,mwenyekiti wa halmashuri yupo!!
- Barabara za lami,ndani ya jiji la Arusha barabara nyingi za lami ni nyembamba na haziendani kabisa na wingi wa magari yaliyopo.
- Barabara za vumbi,jiji la Arusha limezungukwa na barabara za vumbi kila kona,hii ni aibu kubwa sana kwa jiji ambalo ndiyo kitovu cha utalii nchini .
- Stendi za daladala,hapa sio aibu tu bali ni fedhea ya hali ya juu mfano stendi ya hiace ya kilombero,samunge,kisongo,ngaramtoni,mbauda etc stendi zote hizi ni mbovu mno.
- Stendi kuu,hapa ni zaidi ya aibu,stendi hii ni ndogo,chafu etc
- Masoko,hapa pia pana kazi kubwa ya kufanya! Masoko yote yaliopo ndani ya jiji la Arusha yana-miundombinu mibovu kupitiliza.
Wengi mtakubaliana na mimi kwamba ukiondoka Arusha ukarudi hata baada ya miaka mitano utalikuta jiji lipo vilevile hakuna mabadiliko yoyote ya maana!!
Mamlaka husika chukueni hatua tafadhali hili jiji lipo overrated sana,kuna kazi kubwa ya kufanya ili hili jiji liendana na sifa linazopewa.
Huyu ndio yule mkazi wa asili wa chuga