Licha ya ushabiki wangu kwa Israel, ila hili la kuua kila kitu kunasababisha wanaua hadi mateka, hapana

Si unatetea wajomba zake mungu wako?


Kwisha kazi yao huko, wameanza kujiondowa Ghaza kimya kimya, wameomba poo.

Hamas, Hezbollah na Wayemeni wamesema watasimamisha mapigano kwa masharti yao tu.

Hiyo nakupa mpya kabisa ya sasa hivi:


View: https://youtu.be/BszcF1fNcn8?si=xmPsiTuu2WzbQ-G6
 
Huwez kutokomeza Hamas bila kuwaua, ukitaka kujua IDF wapo maeneo Gani Gaza labda unijibu mara ya mwisho Hamas kurusha rocket Israel ilikuwa lini?
 

Huwez kutokomeza Hamas bila kuwaua, ukitaka kujua IDF wapo maeneo Gani Gaza labda unijibu mara ya mwisho Hamas kurusha rocket Israel ilikuwa lini?
Urushe rockets kwenda huku yakazi gani wakat adui kaja ghetto
Kwasasa wanafinyiwa humo humo ndani mpaka wakimbie
Ile pigo la October 7 ilikua mahsusi mazayuni yaje ghetto na kweli yamekuja angalia yanavyo finyangwa kama udongo
 
Ndio ukae ukijua mwabwana zenu HAMAS hawatapona, Israel wanapiga kila kitu, yaani hawana haja na mateka tena, wanaua hata vitoto, chochote kinachopumua, temaneni na Wayahudi.
Sasa wewe unalalama nini waache wapige tu kila wanachokiona uache kulia lia hakutakusaidia
 
Ndio ukae ukijua mwabwana zenu HAMAS hawatapona, Israel wanapiga kila kitu, yaani hawana haja na mateka tena, wanaua hata vitoto, chochote kinachopumua, temaneni na Wayahudi.

Wewe huna haja na mateka. Kumbe mwisraeli na hapa ni wa Kisii?

 
Huwez kutokomeza Hamas bila kuwaua, ukitaka kujua IDF wapo maeneo Gani Gaza labda unijibu mara ya mwisho Hamas kurusha rocket Israel ilikuwa lini?
Hamas wanarusha maroketi nchini Israel karibia kila siku sema hayaleti madhara makubwa kwa sababu ya kuzuiwa na ulinzi wa anga, tena maroketi yanarushwa kutoka gaza kaskazini ambapo vikosi vya Israel vimejazana.
Na pia unacho takiwa kujua ni kuwa mpaka sasa hivi Israel inadhibiti%30 tu ya ukanda wa gaza.
 
Nafurahi kusikia unamkubali mrusi japo kimya kimya [emoji1787]
 
Mambo ya kujifanya mchambuzi wa vita ,kuokoteza taarifa kweny blogs zako za vijijini ndio hayo.
Hao wenzio hawana huruma hata sisimi wanapelek na ulivyokuwa hanithi unasema wale watanzania wamechinjwa na Hamas.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…