Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si unatetea wajomba zake mungu wako?Yaani wanafyatua chochote kinachopumua, inaonekana jamaa hawana haja tena na hao mateka, wanaua tu chochote, dah! HAMAS popote walipo lazima imeshawaingia akilini hamna pakutokea ila kifo......kwamba hapa hata wakisema wako tayari kupokeza mateka hawatasklizwa.
Israeli hostages killed mistakenly in Gaza were holding white flag, official says
Peter Beaumont
An initial IDF probe into the hostage killing incident suggests all three men were shirtless, with one carrying a makeshift white flag.
On seeing them, one Israeli soldier shouted “terrorists!” to the other forces, initiating fire at the men, according to reports.
While two hostages were hit immediately and fell to the ground, the third managed to escape into a nearby building where despite pleas in Hebrew, he was also shot and killed, a military official said.
![]()
Al Jazeera asks legal team to refer journalist’s killing to ICC – as it happened
This blog has now closed. Read our full report on the latest developments here.www.theguardian.com
Huwez kutokomeza Hamas bila kuwaua, ukitaka kujua IDF wapo maeneo Gani Gaza labda unijibu mara ya mwisho Hamas kurusha rocket Israel ilikuwa lini?Tunakukumbushana tu lengo sio kuteketeza adui ambae ni hamas lengo ni kutokomeza kabisa hamas
Kama kuteketeza hamas hao israhell hawakuanza October 7 nawala hawatishia watakapoishia wataendelea nakuendelea nakuendelea ila suala la kuitokomeza ama kuifuta ambalo ndio lengo mama hilo sahauni kabisa
Kwasasa mupo ghaza sehem gani pale mazayuni?
Mazayuni si yapo mstari wa mbele kuoana majanaume kwa majanaumeHatari na Nusu
Ni ngumu sana unapokuwa mstari wa mbele
Kwenye vita ndipo anapata damu nyingi sana kwa pamojaHatari sana Mkuu.
VITA NI USHETANI.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Si unatetea wajomba zake mungu wako?
Kwisha kazi yao huko, wameanza kujiondowa Ghaza kimya kimya, wameomba poo.
Hamas, Hezbollah na Wayemeni wamesema watasimamisha mapigano kwa masharti yao tu.
Hiyo nakupa mpya kabisa ya sasa hivi:
View: https://youtu.be/BszcF1fNcn8?si=xmPsiTuu2WzbQ-G6
Si unatetea wajomba zake mungu wako?
Kwisha kazi yao huko, wameanza kujiondowa Ghaza kimya kimya, wameomba poo.
Hamas, Hezbollah na Wayemeni wamesema watasimamisha mapigano kwa masharti yao tu.
Hiyo nakupa mpya kabisa ya sasa hivi:
View: https://youtu.be/BszcF1fNcn8?si=xmPsiTuu2WzbQ-G6
Urushe rockets kwenda huku yakazi gani wakat adui kaja ghettoHuwez kutokomeza Hamas bila kuwaua, ukitaka kujua IDF wapo maeneo Gani Gaza labda unijibu mara ya mwisho Hamas kurusha rocket Israel ilikuwa lini?
Sasa wewe unalalama nini waache wapige tu kila wanachokiona uache kulia lia hakutakusaidiaNdio ukae ukijua mwabwana zenu HAMAS hawatapona, Israel wanapiga kila kitu, yaani hawana haja na mateka tena, wanaua hata vitoto, chochote kinachopumua, temaneni na Wayahudi.
Ndio ukae ukijua mwabwana zenu HAMAS hawatapona, Israel wanapiga kila kitu, yaani hawana haja na mateka tena, wanaua hata vitoto, chochote kinachopumua, temaneni na Wayahudi.
Sasa wewe unalalama nini waache wapige tu kila wanachokiona uache kulia lia hakutakusaidia
Walioanzisha hii vita wanastahili kuuliwaKwa hio umejifanya mwema kuona IDF wameuwa mateka wao watatu, wakiuwauwa watoto na wanawake na madaktari wa Palestine wanauwa magaidi
Haya wakianza kuuwana wenyewe pia useme ni mbinu ya aduiWakati mwingine hiyo pia inaweza kuwa ni mbinu ya adui.
Hamas wanarusha maroketi nchini Israel karibia kila siku sema hayaleti madhara makubwa kwa sababu ya kuzuiwa na ulinzi wa anga, tena maroketi yanarushwa kutoka gaza kaskazini ambapo vikosi vya Israel vimejazana.Huwez kutokomeza Hamas bila kuwaua, ukitaka kujua IDF wapo maeneo Gani Gaza labda unijibu mara ya mwisho Hamas kurusha rocket Israel ilikuwa lini?
Nafurahi kusikia unamkubali mrusi japo kimya kimya [emoji1787]Tangu mwanzo nilishawaambia mtemane na Myahudi, shobo zenu muendelee kuzifanya kwa Wakristo lakini mtemane kabisa na Myahudi, Mchina, na Mrusi, wale ni hatari tena makatili.
Mliua watoto wao mkategemea watulie, mumesababisha wanaua kila kitu chenu, mitoto yenu wanaipiga marisasi.
Walioanzisha hii vita wanastahili kuuliwa