Yaan mdada ukishakua na presha ya kuolewa lazima utavuruga tu. Muambie atulie apige kazi mume atakuja tu vinginevyo ataangukia kwa kitu cha ajabu aje jutia maisha yake yote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una masikhara wewe,28 bado mdg hata mtoto hana??28 mbona bado mdogo embu acheni kumstress
Swali zuri ndugu mtangazajiNipigie pande basi huyo sista wako...ila tako analo?
Aache kuchagua mda mwingine hisia zitakuja mbele ya safariNamuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.
Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.
Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.
Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.
Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.
N.B
Wanaume wa mtandaoni labda awatafute mwenyewe,mimi siwezi muunganisha nao watu nisio wajua, hivyo siwezi tuma namba wala picha yake. Nimeleta hapa kwakua nami linanishughulisha nikimuona akiwa hayuko sawa
Ndoa ni ngumu sababu wanawake nao wanachagua sana kama ilivyo kwa wanaumeTunapoelekea ndoa zitakua ngumu sana, vijana hawathamini tena ndoa.
Kweli kabisa, nilichoona kwa wanawake wengi hasa wa umri huo wa kuolewa wanaangalia sana mwanaume mwenye kipato fulani. Bahati mbaya sasa hivi mambo magumu vijana wenye vipato vya kueleweka ni wachache mnoNdoa ni ngumu sababu wanawake nao wanachagua sana kama ilivyo kwa wanaume
Mi kuna ambae ana 31 hana chochote mkuuuuu πππππUna masikhara wewe,28 bado mdg hata mtoto hana??
π―π―π―π―Tunapoelekea ndoa zitakua ngumu sana, vijana hawathamini tena ndoa.
Ni wengi ila ndo hivy tumecharuka kama chizi vileKweli kabisa, nilichoona kwa wanawake wengi hasa wa umri huo wa kuolewa wanaangalia sana mwanaume mwenye kipato fulani. Bahati mbaya sasa hivi mambo magumu vijana wenye vipato vya kueleweka ni wachache mno
π―Kuna tabia anazo ambazo wanaume kwa ujumla hatuzipendi
Problem solved πMpaka hapo ushamwokoa..
Ataolewa soon..
Subiri pm kikubwa kuwa makini
Kabisa, uzuri na elimu hakijawahi kua kigezo cha kuoa kwa mwanaume ambae yupo serious anaetaka mwenza wa kuishi nae, bali HESHIMA na UTII.Shida imeanza hapa. Uzuri na elimu ndio your selling point, likija suala la kuoa kwa mwanaume it more than that.
Chunguza zaidi tabia za dada ako, kuna kitu hukifahamu
Mwambie wanaume hawaoi uzuri, Wala elimu, abadilikie tabia halafu apunguze kugawa mbususu, kingine asitamtafute mwanaume ambaye yeye anampenda Bali mwanaume ampende yeye, mwanamke huwa anajifunza kupenda ndio maana unaweza mtongoza mwanamke akakutukanaaaa halafu baadaye akakubali na mapenzi yakawa yamejaa pomoni. Cha msingi mwambie aache kiburi na dharau, asipende kujibishana na wanaume kisa elimu yake, kama ameajiliwa ajitahidi kuwaheshimu wote bila kujali nafasi zao hapo kaziniNamuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.
Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.
Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.
Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.
Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.
N.B
Wanaume wa mtandaoni labda awatafute mwenyewe,mimi siwezi muunganisha nao watu nisio wajua, hivyo siwezi tuma namba wala picha yake. Nimeleta hapa kwakua nami linanishughulisha nikimuona akiwa hayuko sawa
Sawa sawa.Mume anakuja kama upo sehemu sahihi.
Mume ni kama maji ili uyapate lazima uwe kisimani, bombani, kwenye mvua, ama mtoni.
Maji utapata ukiwa sehemu hizo ila hayo maji hayafanani ubora. Quality ya maji ya bombani ni tofauti na ya mtoni na kisimani.
Ila sababu una shida ya maji utaamua mwenyewe utachote ya mtoni ama usubiri ya bombani
Atafutae hachokiNamuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.
Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.
Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.
Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.
Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.
N.B
Wanaume wa mtandaoni labda awatafute mwenyewe,mimi siwezi muunganisha nao watu nisio wajua, hivyo siwezi tuma namba wala picha yake. Nimeleta hapa kwakua nami linanishughulisha nikimuona akiwa hayuko sawa