Licha ya uzuri na elimu, dada yangu hapati mwanaume wa kumuoa

Licha ya uzuri na elimu, dada yangu hapati mwanaume wa kumuoa

Usikute ndo yule mdada clip yake inasambaa kule twitter anawananga wanaume "eti mwanamke aliyesoma ni classic anahitaji matunzo makubwa".


Mdada mwenyewe mweusi ana komwe kavaa miwani kama wale wanaochomelea mageti na gesi.

Kama ana tabia nzuri ni swala la mda pia aangalie mavazi anaweza kuwa na heshima ila muonekano wa nje wa mavazi unamuangusha anakuwa kama "Malaya"
Hajawahi kufanya hayo mambo ya kujipost
 
Mwambie ahame hapo nyumbani kwenu akapange,aanze pia kujichangaya na watu miaka 28 sio mbaya
Inashangaza miaka 28 una elimu una kazi bado unaishi kwenu?kuna muoaji ataona hauko serious
Sasa unaposema atoke nyumbani akapange na hajaolewa, si ndo atapewa tu mimba huko? Bado tunaimani kua atatoka nyumbani atakapo olewa
 
Namuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.

Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.

Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.

Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.

Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.

N.B
Wanaume wa mtandaoni labda awatafute mwenyewe,mimi siwezi muunganisha nao watu nisio wajua, hivyo siwezi tuma namba wala picha yake. Nimeleta hapa kwakua nami linanishughulisha nikimuona akiwa hayuko sawa
Ana trakooo...
Maana yake tuanzie hapo kwanza?😀
 
Namuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.

Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.

Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.

Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.

Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.

N.B
Wanaume wa mtandaoni labda awatafute mwenyewe,mimi siwezi muunganisha nao watu nisio wajua, hivyo siwezi tuma namba wala picha yake. Nimeleta hapa kwakua nami linanishughulisha nikimuona akiwa hayuko sawa
Kipi kinavutia kutoka kwa dada Yako mpaka una muona mzuri?
 
Namuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.

Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.

Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.

Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.

Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.

N.B
Wanaume wa mtandaoni labda awatafute mwenyewe,mimi siwezi muunganisha nao watu nisio wajua, hivyo siwezi tuma namba wala picha yake. Nimeleta hapa kwakua nami linanishughulisha nikimuona akiwa hayuko sawa
Wanaume hawaoi elimu wala ujuzi. Wanaoa mwanamke mwenye respect na upendo. Period.
 
She should not worry about getting a husband. She should let life be. And tell her marriage is not about feelings. Its about making babies
 
Namuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.

Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.

Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.

Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.

Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.

N.B
Wanaume wa mtandaoni labda awatafute mwenyewe,mimi siwezi muunganisha nao watu nisio wajua, hivyo siwezi tuma namba wala picha yake. Nimeleta hapa kwakua nami linanishughulisha nikimuona akiwa hayuko sawa
Niunganishe naye kwani na mimi natafuta mwenzi,vigezo na masharti tutaambizana tukikutana
 
Namuona kabisa dada angu sasa anamawazo sana, anamiaka 28 sasa, kila anaemfata hayuko serious au ni mume wa mtu, wapo wengine sema sasa dada anasema anakosa hisia nao kabisa, anaogopa kujilazimisha.

Alifikia hatua ya kutaka kupanga akakae mwenyewe, kitu ambacho baba na familia nzima haijakubaliana nalo kwakua bado hajaolewa.

Nami najitahidi kwa maombi apate mwanaume aolewe, wenzake wote walokua karibu wa rika moja, wameolewa na wana watoto.

Dada yangu imefika hatua hata kazini anaona anahatibu tu.

Eeh Mungu mpe dada angu hitajio pa moyo wake, asije akadata au akazalishwa nyumbani.

N.B
Wanaume wa mtandaoni labda awatafute mwenyewe,mimi siwezi muunganisha nao watu nisio wajua, hivyo siwezi tuma namba wala picha yake. Nimeleta hapa kwakua nami linanishughulisha nikimuona akiwa hayuko sawa
Kama amefika 28 atakuwa na matatizo yeye binafsi
 
Sasa unaposema atoke nyumbani akapange na hajaolewa, si ndo atapewa tu mimba huko? Bado tunaimani kua atatoka nyumbani atakapo olewa
Shauri yako,yaani mtu unakazi bado unakaa kwenu,alokwambia kupanga ndo kutafuta mimba ni nani,
Serious mwambie atoke kwenu la sivyo mtaendelea kutafuta mchawi.
 
Atulie tu mi Dada yake nipo kwenye 30 na kitu ila huyu mwanaume niliyenae nishamchoka tayari badala ya kutamani kuolewa, natamani niwe single hili pepo la kukaa mwenyewe linaniandama kweli
Ushachoka wewe. 30+ ni shangazi pro max kabisa
 
Back
Top Bottom