Licha ya uzuri na elimu, dada yangu hapati mwanaume wa kumuoa

Licha ya uzuri na elimu, dada yangu hapati mwanaume wa kumuoa

Sawa, kama mtu anaweza omba msamaha na dhambi ikasamehewa, hata hiyo bahati inaweza ombwa mara ya pili ikaja tena
Kama Mungu alikuletea mume wa maisha yako ila ukamkataa coz of your ego halafu mwanaume huyo akapewa mwanamke mwingine basi hiyo ndo imetoka mama. Utakanyaga sana mafuta lakini kama amekwishaenda ndo amekwenda hivyo na bahati hiyo haiwezi kujirudia kwako maana wanawake wanaoihitaji na kuiomba kwa Mungu hiyo bahati kwa mara ya kwanza ni wengi sokoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
In my life, I have given a fu.ck about many people and many things. I have also not given a fu.ck about many people and many things. And those fu.cks I have not given have made all the difference.
The point is, most of us struggle throughout our lives by giving too many fu.cks in situations where fu.cks do not deserve to be given.
People aren’t just born not giving a fu.ck. In fact, we’re born giving way too many fu.cks.

Siku dada ako akijua maisha ni yake, maisha ni mapito , maisha ni mbele kwa mbele, maisha ni msimamo atakua kachelewa mana wengine tupo hapa same age na hata kazi yenyewe hatuna na hatujasoma halafu fresh tu watu waseme tu i dont give a fu.ck... Wakristo wanasema wakati wa Mungu ndio sahihi
waswahili wanasema ; kama ipo ipo tu
asifosi wala nini mambo yajaa aache kuyahangaikia yatakuja mda wowote duniani hatukuja kuposana maisha huwa yapo tu , mana asipoposwa atapata tabu sana maishani
aachane kabisa na hizo habari
 
Bado mdogo ila kama ana tabia ya kiburi ajiandae tu kuwa single maza. Nina binamu yangu anagonga 32 ila uelekeo wa ndoa haupo kwasababu ya tabia mbaya ya kiburi. Wanaume wanamkimbia. Kwa sasa amejielekeza zaidi kwenye maombi... akisikia kuna mchungaji mzuri Ubungo anaenda.. kashasali makanisa mengi lakini bado ngoma ngumu.
 
Kweli kabisa, nilichoona kwa wanawake wengi hasa wa umri huo wa kuolewa wanaangalia sana mwanaume mwenye kipato fulani. Bahati mbaya sasa hivi mambo magumu vijana wenye vipato vya kueleweka ni wachache mno
Wanakwambia hauna hadhi ya kuwa na mimi
 
In my life, I have given a fu.ck about many people and many things. I have also not given a fu.ck about many people and many things. And those fu.cks I have not given have made all the difference.
The point is, most of us struggle throughout our lives by giving too many fu.cks in situations where fu.cks do not deserve to be given.
People aren’t just born not giving a fu.ck. In fact, we’re born giving way too many fu.cks.

Siku dada ako akijua maisha ni yake, maisha ni mapito , maisha ni mbele kwa mbele, maisha ni msimamo atakua kachelewa mana wengine tupo hapa same age na hata kazi yenyewe hatuna na hatujasoma halafu fresh tu watu waseme tu i dont give a fu.ck... Wakristo wanasema wakati wa Mungu ndio sahihi
waswahili wanasema ; kama ipo ipo tu
asifosi wala nini mambo yajaa aache kuyahangaikia yatakuja mda wowote duniani hatukuja kuposana maisha huwa yapo tu , mana asipoposwa atapata tabu sana maishani
aachane kabisa na hizo habari
It's easy to say "I don't give a fuc" but you can reach to a point where even the fuc fuc itself, we are social being, we can't deny that. I totally understand my sister's situation,
 
Nilileta uzi wa jinsi dada angu alivyo desperate kutokana na umri kuenda mpaka akataka kuondoka nyumbani akapange kitu ambacho mzee alikataa.

Mpaji Mungu, hatimae amepata aliempea ubavu wa kushoto. Ninafuraha kwakua isingependeza kama angezalia nyumbani
 
Back
Top Bottom