Licha ya vikwazo kadhaa, hatimaye nimefanikiwa kuianza ile safari. Asanteni kwa sala zenu zimesaidia ila bado zinahitajika sana! Mungu nisaidie

Daima mbele nyuma mwiko
 
Nakutakia kila la heri ukipita ntakuwa nakuja Nairobi, sky lounge au Dolce kule Koinange tunapata moja baridi ....
 
Paskali nakuheshimu ila hapa nyuma njaa iliharibu image uliyojitengenezea, itakuwa ni kazi kukikimbia kivuli chako mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…