Licha ya Yanga sc kupata mafanikio ndani ya nchi msimu huu ila ndiyo club inayoongoza kwa mashabiki wake kutokuwa na furaha

Licha ya Yanga sc kupata mafanikio ndani ya nchi msimu huu ila ndiyo club inayoongoza kwa mashabiki wake kutokuwa na furaha

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Mashabiki wa Yanga kwa mafanikio waliyoyapata msimu huu walipaswa kuwa na furaha sana ila imekuwa ndivyo sivyo hizi hapa sababu.

1: licha ya kuwa mabingwa kwenye michuano ya champions league wanaanzia kwenye mchujo.

2: Mayele katetema mwaka mzima ila kaambulia ng’ombe hii inauma sana.

3: Aziz Ki kasepa na pesa yote mpaka ya pre season.

4: Mpole kuwa mfungaji bora.

5: Sopu kuwapiga magoli matatu peke yake

6: Manara kupigwa bani ya miaka miwili.

7: Sakho kuibuka kidedea goli bora la caf 2021/22.

8: usajili wa Bernard Morrison.

9: kambi ya simba Misri.


2EE7BCD9-0F44-410F-8369-CE3902DB943D.jpeg
 
Mashabiki wa Yanga kwa mafanikio waliyoyapata msimu huu walipaswa kuwa na furaha sana ila imekuwa ndivyo sivyo hizi hapa sababu...
Kutokuwa na furaha kunachangiwa. Na🦁kuihujumu timu kubwa mabingwa wa kihistoria hata kufanya fitna Hadi kumfungia Mnara boy🏃
 
Mashabiki wa Yanga kwa mafanikio waliyoyapata msimu huu walipaswa kuwa na furaha sana ila imekuwa ndivyo sivyo hizi hapa sababu...
You are not serious!

The Citizens are always happy.
 
Mashabiki wa simba wakilala wanaiota yanga wakiamka wanatafuta bando la kuisimanga yanga mitandaoni. Wao kutwa kulalama tu. Yanga hivi yanga vile yanga yanga yanga yanga ila akitajwa Mo na bilioni zake wanapotelea wasipojulikana
 
Furaha ya klabu ni kutwaa Makombe tena ukimfanya mpinzaniwako kuwa kibonde wako. Yanga wametwaa Mataji na wanaendelea ku mmburuza Simba, yaani Yanga Kila siku furaha na kwasasa mashabiki wa Yanga wanatamani tarehe 13 iwahi kufika Ili kuendelea ku twaa Mataji.
 
Furaha ya klabu ni kutwaa Makombe tena ukimfanya mpinzaniwako kuwa kibonde wako. Yanga wametwaa Mataji na wanaendelea ku mmburuza Simba, yaani Yanga Kila siku furaha na kwasasa mashabiki wa Yanga wanatamani tarehe 13 iwahi kufika Ili kuendelea ku twaa Mataji.
🤣🤣🤣 sasa mbona mmenuna?
 
Ukweli rahisi ni kua Yanga atashinda Tena ligi ya msimu ujao ni kweli Mayele hakushinda tuzo ya mfungaji Bora lakini still ni Bora kuliko huyo mpole muda utaongea hata wewe ukiambiwa uchague mchezaji mmoja Kati ya Mayele na mpole najua unajua utamchagua Nani.

Tusubiri msimu uanze ndo watu watajua who is Mayele..! Simba Kuna tatizo somewhere lakini kwa sababu za kishabiki kolozi watabisha....
 
Furaha ya klabu ni kutwaa Makombe tena ukimfanya mpinzaniwako kuwa kibonde wako. Yanga wametwaa Mataji na wanaendelea ku mmburuza Simba, yaani Yanga Kila siku furaha na kwasasa mashabiki wa Yanga wanatamani tarehe 13 iwahi kufika Ili kuendelea ku twaa Mataji.
Sasa ndo uandike huku kwikwi imekushika? Kunywa kwan Maji afu pumzikaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Byuti byuti.
 
Back
Top Bottom