Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
🤣🤣🤣Wahuni sio watu wazuri, Mayele kashinda NGOMBE
Sio ng'ombe😂😂😂😂
Kutokuwa na furaha kunachangiwa. Na🦁kuihujumu timu kubwa mabingwa wa kihistoria hata kufanya fitna Hadi kumfungia Mnara boy🏃Mashabiki wa Yanga kwa mafanikio waliyoyapata msimu huu walipaswa kuwa na furaha sana ila imekuwa ndivyo sivyo hizi hapa sababu...
Nyani wa Utopolo wamefurahi sasa kwa picha hiiMashabiki wa Yanga kwa mafanikio waliyoyapata msimu huu walipaswa kuwa na furaha sana ila imekuwa ndivyo sivyo hizi hapa sababu...
Kwahio umekosa furaha kwa mashabiki wa Yanga kukosa furaha?Mashabiki wa Yanga kwa mafanikio waliyoyapata msimu huu walipaswa kuwa na furaha sana ila imekuwa ndivyo sivyo hizi hapa sababu...
You are not serious!Mashabiki wa Yanga kwa mafanikio waliyoyapata msimu huu walipaswa kuwa na furaha sana ila imekuwa ndivyo sivyo hizi hapa sababu...
NGOMBE wa Mayele uyo[emoji28][emoji23]Wahuni sio watu wazuri, Mayele kashinda NGOMBE
Sio ng'ombe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣 sasa mbona mmenuna?Furaha ya klabu ni kutwaa Makombe tena ukimfanya mpinzaniwako kuwa kibonde wako. Yanga wametwaa Mataji na wanaendelea ku mmburuza Simba, yaani Yanga Kila siku furaha na kwasasa mashabiki wa Yanga wanatamani tarehe 13 iwahi kufika Ili kuendelea ku twaa Mataji.
Unaandika huku unalia, poleeeeeeeeeeeeeeh.You are not serious!
The Citizens are always happy.
Sasa ndo uandike huku kwikwi imekushika? Kunywa kwan Maji afu pumzikaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Furaha ya klabu ni kutwaa Makombe tena ukimfanya mpinzaniwako kuwa kibonde wako. Yanga wametwaa Mataji na wanaendelea ku mmburuza Simba, yaani Yanga Kila siku furaha na kwasasa mashabiki wa Yanga wanatamani tarehe 13 iwahi kufika Ili kuendelea ku twaa Mataji.