Licha ya Yanga sc kupata mafanikio ndani ya nchi msimu huu ila ndiyo club inayoongoza kwa mashabiki wake kutokuwa na furaha

Wakat yanga akitaka kufikia level za simba kwa kutaka kushndana nae..Simba yeye yupo level nyingine za juu ambazo zitamchukua yanga nusu karne kuzifikia...mwachen tu ajitututmue kwa mkubwa wake..ndo raha yao hyo
 
kolo's tunaanza kuwazagamua mwezi ujao hapo kwenye ngao ya jamii na pira lenu la kwenye media
 
Mayele tushapiga misumali miguu,akifikisha gori kumi njoo jiue nipo hapa jangwani klabuni
 
Unaambiwa 'Wezi Wa Magari Wamehamia Utopolo, Yupo mmoja Ilishindikana Kwenda kupambania timu na Orlando'.....!
Na Kwamba Eti Msukule naye aliwahi kutuhumiwa Wizi Wa Magari huko nyuma....
 
Samahn hivi wale mifugo wa kaka fistoo wakwapi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…