Ukweli rahisi ni kua Yanga atashinda Tena ligi ya msimu ujao ni kweli Mayele hakushinda tuzo ya mfungaji Bora lakini still ni Bora kuliko huyo mpole muda utaongea hata wewe ukiambiwa uchague mchezaji mmoja Kati ya Mayele na mpole najua unajua utamchagua Nani.
Tusubiri msimu uanze ndo watu watajua who is Mayele..! Simba Kuna tatizo somewhere lakini kwa sababu za kishabiki kolozi watabisha....